Kanisa Katoliki mko wapi kulinda amani ya nchi?

Kanisa Katoliki mko wapi kulinda amani ya nchi?

Warokole hakuna wanachujua zaidi yakulialia tu? Ngwajima mbona anatoa matamko bila kusubili kanisa katoliki inakuwaje waislamu na anglikana waliosambaa nchi nzima kushindwa kutoa tamko na kuwalilia wakatoliki? walokole na wasabato kila tatizo inaliwapata chanzo ni katoliki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwa suala la amani ni moja ya majukumu yenu kuhakikisha amani inakuwepo katika nchi lakini kwa kipindi kirefu sasa tunaona kama viashiria vingi vya uvunjifu wa amani vipo tena vingi sana na vinaonekana waziwazi.

Wasiwasi wangu ni kwamba huenda kuna jambo halipo sawa, hivi kule ambapo Amani ilitoweka ilikua ni tukio la ghafla au ilikuwa ni mwendelezo wa kutojari concern za watu? hivi mnavyofanya ndivyo matatizo yaliyoleteleza machafuko duniani yalivyo anza.

Mnapo ona chombo Kama bunge kinatumika kupora HAKI za wananchi kwa Spika kutumia nafsi yake atakavyo na wala si sheria inavyoelekeza hili sio jambo dogo nduguzanguni.

Unapoona Taasissi kama tume YA uchaguzi inatoa majina kinyume na sheria inavoelekeza ujue kwamba utawala wa sheria ndo unaondoka hivo. Ukiondoka utawala wa sheria haitabaki vaccum kuna jambo litakuja kujaza uwazi huo.

Nimalizie kwa kuasa kwamba kwa kua mlikaa kimya wakati wa viashiria kamwe msijejitokeza wakati wa kusaka ushuruhishi pindi mambo yakishafika huko maana mtaonekana wazi kwamba nyie ni wanafiki.

Mwenye masikio na asikie
Wamegeuka jwtz tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani wapi ulisikia kanisa katoliki ndiyo jeshi la wananchi. Mbona husemi waislamu wala hutaji wapentekoste au hutusemi sisi mashahidi wa jehova.
Ujue viongozi hufanya uovu mkubwa sana na huenda kuungama kwa siri na siri hiyo hutunzwa. Maaskofu na mapadri na wengineo wanawajua vyema.

Viongozi wenyewe waanze kuilinda amani wanayofundishwa makanisani na misikitini ndipo kitaeleweka siyo kuapply uongo na propaganda lukuki kuharibu nchi.

Hatunyamazi hadi tuwe wafu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pengo ni mtu wa jirani sana na JPM miaka hii mitano kanisa katoliki linapitia magumu na linaumia kimya kimya hakuna mwenye ubavu wa kutoa sauti. Wilaya ya Mbinga mkurugenzi katoa watumishi wa serikali wote waliokua ktk vituo vya afya vya makanisa, hakuna wa kupiga kelele kila mtu mwoga. Kwa uwoga huu ni bora kanisa lifunge tu hizo Huduma libaki na kazi ya kiroho serikali ibaki na wajibu wake wa kuhudumia wananchi. Wakitaka kuendelea kukomaa basi wasiilalamikie serikali tena waendelee kumsifia JPM huku wakiendelea kuumia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwa suala la amani ni moja ya majukumu yenu kuhakikisha amani inakuwepo katika nchi lakini kwa kipindi kirefu sasa tunaona kama viashiria vingi vya uvunjifu wa amani vipo tena vingi sana na vinaonekana waziwazi.

Wasiwasi wangu ni kwamba huenda kuna jambo halipo sawa, hivi kule ambapo Amani ilitoweka ilikua ni tukio la ghafla au ilikuwa ni mwendelezo wa kutojari concern za watu? hivi mnavyofanya ndivyo matatizo yaliyoleteleza machafuko duniani yalivyo anza.

Mnapo ona chombo Kama bunge kinatumika kupora HAKI za wananchi kwa Spika kutumia nafsi yake atakavyo na wala si sheria inavyoelekeza hili sio jambo dogo nduguzanguni.

Unapoona Taasissi kama tume YA uchaguzi inatoa majina kinyume na sheria inavoelekeza ujue kwamba utawala wa sheria ndo unaondoka hivo. Ukiondoka utawala wa sheria haitabaki vaccum kuna jambo litakuja kujaza uwazi huo.

Nimalizie kwa kuasa kwamba kwa kua mlikaa kimya wakati wa viashiria kamwe msijejitokeza wakati wa kusaka ushuruhishi pindi mambo yakishafika huko maana mtaonekana wazi kwamba nyie ni wanafiki.

Mwenye masikio na asikie
Kanisa katoliki litasema nini wakati Kilaini amelinajisi kwa kujiunga na mtandao wa wezi na majambazi, hii ni cult sasa inabidi aitumikie, eti kapeleka hela kwa wahitaji, na mpaka leo kanisa halijamtimulia mbali, hii dhambi inatofauti gani na ya uzinzi? amezidi against mustakabali wa wananchi wa Tanzania na kuliponza kanisa kwa kumuaibisha kristo.
 
Acheni uchochezi wa kidini, kuhusiana na kuitunza na kuilinda amani hili ni suala la kila mtanzania na si taasisi tu kama kanisa katoliki,unapoanza kulaum kanisa katoliki unapaswa uanze kwanza na taasisi za haki za binadamu maana zipo mahususi kwaajili ya mambo kama haya.Ulitaka kanisa katoliki liseme nn wakati nchi inaendeshwa kwa mfumo wa utawala wa sheria na si kwa mfumo wa kanuni na sheria za dini?Tanzania sio Vatican na uache unaa wa kutaka kanisa litende unavyotaka ww?kwan Tanzania dini ni katoliki tu?kuna waislam,walokole,wasabato,waanglican,wapentecoste hujawaona wote hawa?
 
Mwandishi upeo wako una walakini.Kanisa hili limepoteza hadhi yake ya kulinda amani baada ya baadhi ya maaskofu wake kuchotewa fedha na Rugemalila Huwezi kusimamia amani wakati huohuo unapokea rushwa.
Na wakati huohuo prezdaa anaepingana na rushwa yupo kila j2 kubusu Pete zao na kuwapigia magoti wamwombee na kumbariki. Amazing
 
Mbona BAKWATA wapi kimya mmekazana na makanisa?

Sent using Jamii Forums mobile app
BAKWATA si dhehebu la dini, na wala si balaza linaloundwa na waislam hiyo ni obvious haihitaji cheti cha chekechea kujua hiyo kitu. Pili BAKWATA si watoa matamko atawale mkristo au muislam wale ilimradi wanaisifu ccm na wanashiriki hafla mbalimbali basi imetosha. Turudi kwenye mada why these so called R. Catholic church wanabweka sana akikaa muumini was dini ya mwenyezi Mungu.?????
 
Hili siyo kanisa,ni himaya ya kidunia tuu.Kanisa la Yesu lingesimikwa nyumbani kwao na Yesu,siyo ughaibuni tena kwenye mji wa wapagani wa kirumi yaani Roma.Kilichofanyka ni watawala wa Roma kupenyeza vibaraka wao katika kanisa halisi kisha kanisa likanajisiwa kwa kusilimishwa kufuata mila na desturi za kipagani za warumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa linasubiri rais akiwa muislamu ndipo linaanza kumsakama,angalia mwinyi NA kikwete walivyosumbuliwa NA kanisa hili,


Ni kama idara ndogo ya ccm hili kanisa,hata lenyewe lina historia chafu ya mauaji huko ulaya dhidi ya watu waliolikataa,

Kwa ujumla kanisa katoliki limeua sana binadamu NA limeenezwa kwa mkono wa damu,ni kanisa lisilotaka mabadiliko


Dunia ilianza kupata maendeleo ya kifikra,kisayansi,kisiasa NA kiuchumi baada ya kulivunja vunja kanisa katoliki NA kuzaliwa KKKT,wasabato,Anglican, na mengine


Hili kanisa lina historia chafu sana NA mpaka leo mapadri wana kesi za kubaka NA kushawishi NA kudhalilisha WATOTO kingono

Hakika wewe sio mtu mzuri kabisa, unaandika hisia zako zilizojaa chuki, dhuluma na unafiki. Watu kama wewe ni virus kwa jamii yoyote. Unawezaje kutuhumu watu namna hiyo? Tena kwa sababu ya shida zako bila chembe ya ushahidi? Ni lini na wapi kanisa hili liliwahi kufanya unayosema? Una ushahidi gani juu ya maneno yako? Kweli nchi hii ina safari ndefu sana, ndo maana nchi za wenzetu wanaowaza kuzalisha na kufanya maendeleo huenda kwao kizazi cha namna cha watu wenye vinyongo kama hiki hawapo
 
Hakika wewe sio mtu mzuri kabisa, unaandika hisia zako zilizojaa chuki, dhuluma na unafiki. Watu kama wewe ni virus kwa jamii yoyote. Unawezaje kutuhumu watu namna hiyo? Tena kwa sababu ya shida zako bila chembe ya ushahidi? Ni lini na wapi kanisa hili liliwahi kufanya unayosema? Una ushahidi gani juu ya maneno yako? Kweli nchi hii ina safari ndefu sana, ndo maana nchi za wenzetu wanaowaza kuzalisha na kufanya maendeleo huenda kwao kizazi cha namna cha watu wenye vinyongo kama hiki hawapo
Alichokisema ni sahihi kabisa,ukijua kazi halisi ya Jesuit hutapingana naye.Meli zilizobeba watumwa zilikuwa na baraka za papa na zikibeba msalaba kama utambulisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika wewe sio mtu mzuri kabisa, unaandika hisia zako zilizojaa chuki, dhuluma na unafiki. Watu kama wewe ni virus kwa jamii yoyote. Unawezaje kutuhumu watu namna hiyo? Tena kwa sababu ya shida zako bila chembe ya ushahidi? Ni lini na wapi kanisa hili liliwahi kufanya unayosema? Una ushahidi gani juu ya maneno yako? Kweli nchi hii ina safari ndefu sana, ndo maana nchi za wenzetu wanaowaza kuzalisha na kufanya maendeleo huenda kwao kizazi cha namna cha watu wenye vinyongo kama hiki hawapo
Tafiti hupingwa kwa Tafiti .
 
Ikiwa suala la amani ni moja ya majukumu yenu kuhakikisha amani inakuwepo katika nchi lakini kwa kipindi kirefu sasa tunaona kama viashiria vingi vya uvunjifu wa amani vipo tena vingi sana na vinaonekana waziwazi.

Wasiwasi wangu ni kwamba huenda kuna jambo halipo sawa, hivi kule ambapo Amani ilitoweka ilikua ni tukio la ghafla au ilikuwa ni mwendelezo wa kutojari concern za watu? hivi mnavyofanya ndivyo matatizo yaliyoleteleza machafuko duniani yalivyo anza.

Mnapo ona chombo Kama bunge kinatumika kupora HAKI za wananchi kwa Spika kutumia nafsi yake atakavyo na wala si sheria inavyoelekeza hili sio jambo dogo nduguzanguni.

Unapoona Taasissi kama tume YA uchaguzi inatoa majina kinyume na sheria inavoelekeza ujue kwamba utawala wa sheria ndo unaondoka hivo. Ukiondoka utawala wa sheria haitabaki vaccum kuna jambo litakuja kujaza uwazi huo.

Nimalizie kwa kuasa kwamba kwa kua mlikaa kimya wakati wa viashiria kamwe msijejitokeza wakati wa kusaka ushuruhishi pindi mambo yakishafika huko maana mtaonekana wazi kwamba nyie ni wanafiki.

Mwenye masikio na asikie
Huu ujumbe sijui kama njia iliyoenda ni sahihi,Kanisa na kulinda amani wapi na wapi? huko wajibu wao wanautimiza vizuri tu,wewe kama huridhiki iambie dola ambaye ina mkuu wake. Usitake kulisingizia kanisa ama msikiti.
 
Back
Top Bottom