Kanisa Katoliki mko wapi kulinda amani ya nchi?

Kanisa Katoliki mko wapi kulinda amani ya nchi?

Ikiwa suala la amani ni moja ya majukumu yenu kuhakikisha amani inakuwepo katika nchi lakini kwa kipindi kirefu sasa tunaona kama viashiria vingi vya uvunjifu wa amani vipo tena vingi sana na vinaonekana waziwazi.

Wasiwasi wangu ni kwamba huenda kuna jambo halipo sawa, hivi kule ambapo Amani ilitoweka ilikua ni tukio la ghafla au ilikuwa ni mwendelezo wa kutojari concern za watu? hivi mnavyofanya ndivyo matatizo yaliyoleteleza machafuko duniani yalivyo anza.

Mnapo ona chombo Kama bunge kinatumika kupora HAKI za wananchi kwa Spika kutumia nafsi yake atakavyo na wala si sheria inavyoelekeza hili sio jambo dogo nduguzanguni.

Unapoona Taasissi kama tume YA uchaguzi inatoa majina kinyume na sheria inavoelekeza ujue kwamba utawala wa sheria ndo unaondoka hivo. Ukiondoka utawala wa sheria haitabaki vaccum kuna jambo litakuja kujaza uwazi huo.

Nimalizie kwa kuasa kwamba kwa kua mlikaa kimya wakati wa viashiria kamwe msijejitokeza wakati wa kusaka ushuruhishi pindi mambo yakishafika huko maana mtaonekana wazi kwamba nyie ni wanafiki.

Mwenye masikio na asikie

Nawaomba watanzania tuongeze ufahamu hasa kwa kupenda kujisomea.

Ukisema Kanisa Katoliki kwa kweli is an ambiguous term. Nahisi pengine unamaanisha Kanisa Katoliki la Tanzania!!!! Ukisema Kanisa Katoliki is an ambiguous terminology. Kanisa Katoliki ni la Roma, hawa unawaona wala sio wamiliki wake wala sio wasemaji wake.

Kanisa Katoliki hujivunia sana utajiri wa elimu waliojikusanyia watendaji wake. Kwa wenyewe ukisema kanisa unamaanisha Mashemasi, Mapadre na Maaskofu wengine wote waliobaki ni walei, maana nyingine wanyamugi. Kumbe itumike akili kubwa ya utambuzi wa mambo unapoongelea hawa jamaa.

Kanisa Katoliki ni serikali, haiyumkiniki serikali moja kuingilia serikali nyingine. Kanisa Katoliki hutaliona pale tu maslahi yake yanapokuwa hatarini. Isitoshe Marais Wakatoliki huwa juu ya Maaskofu wa nchi zao, Sheria ya Kanisa hilo Rais Mkatoliki anakuwa summoned na pope peke yake.

Jiulize Kanisa Katoliki lilikuwa wapi wakati wa utawala wa Ubaguzi wa Rangi Afrika ya Kusini, Vita ya kimbari Rwanda, wakati wa mauaji ya wayahudi ya Hitler etc
 
Nchi ya kigalatia hii, Mkulu ni mkatoliki, wakatoliki kwa sasa wanakula bata tu, Wengine mkae kimya tu.

Kwa sasa ni mwendo wa kwaya na kiti moto tu, hakuna shida tena kwa kanisa katoliki, matamko ni kupoteza muda wa waumini kwa sasa.
Eti mwendo wa kwaya na Kitimoto....Daaah
 
Mkuu waelekeze kwa ustarabu na staha. Hongera kwa maandalizi ya ujenzi na ununuzi wa gari.
 
Huwa linasubiri rais akiwa muislamu ndipo linaanza kumsakama,angalia mwinyi NA kikwete walivyosumbuliwa NA kanisa hili,


Ni kama idara ndogo ya ccm hili kanisa,hata lenyewe lina historia chafu ya mauaji huko ulaya dhidi ya watu waliolikataa,

Kwa ujumla kanisa katoliki limeua sana binadamu NA limeenezwa kwa mkono wa damu,ni kanisa lisilotaka mabadiliko


Dunia ilianza kupata maendeleo ya kifikra,kisayansi,kisiasa NA kiuchumi baada ya kulivunja vunja kanisa katoliki NA kuzaliwa KKKT,wasabato,Anglican, na mengine


Hili kanisa lina historia chafu sana NA mpaka leo mapadri wana kesi za kubaka NA kushawishi NA kudhalilisha WATOTO kingono
Ni chuki dhidi ya Manisa katoliki,sipendi wanavyonyama wakati mkulu anaharibu nchi,ila ww umeandika ukiwa na chuki dhidi ya Kanisa Katoliki Takatifu la Mitume,limejengwa chini ya misingi ya Mitume na Manabii,na hakuna mizimu ya kuzimu ya kulitengua. Maneno aya ni amini na kweli!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwa suala la amani ni moja ya majukumu yenu kuhakikisha amani inakuwepo katika nchi lakini kwa kipindi kirefu sasa tunaona kama viashiria vingi vya uvunjifu wa amani vipo tena vingi sana na vinaonekana waziwazi.

Wasiwasi wangu ni kwamba huenda kuna jambo halipo sawa, hivi kule ambapo Amani ilitoweka ilikua ni tukio la ghafla au ilikuwa ni mwendelezo wa kutojari concern za watu? hivi mnavyofanya ndivyo matatizo yaliyoleteleza machafuko duniani yalivyo anza.

Mnapo ona chombo Kama bunge kinatumika kupora HAKI za wananchi kwa Spika kutumia nafsi yake atakavyo na wala si sheria inavyoelekeza hili sio jambo dogo nduguzanguni.

Unapoona Taasissi kama tume YA uchaguzi inatoa majina kinyume na sheria inavoelekeza ujue kwamba utawala wa sheria ndo unaondoka hivo. Ukiondoka utawala wa sheria haitabaki vaccum kuna jambo litakuja kujaza uwazi huo.

Nimalizie kwa kuasa kwamba kwa kua mlikaa kimya wakati wa viashiria kamwe msijejitokeza wakati wa kusaka ushuruhishi pindi mambo yakishafika huko maana mtaonekana wazi kwamba nyie ni wanafiki.

Mwenye masikio na asikie

Wewe mheshimiwa. Moja MPUMBAVU. Mbili. MJINGA. Tatu. Hufikiri. Hujifunzi wala huna Muda wa kujua mambo kabla hujakurupuka na kufitisha Sio tu chuki zako Binafsi bali uharo wako .hivi kweli ndo ufupi wa mawazo yako umekuleta kutukana na kuleta UDINI NA UDHEHEBU. Huna kazi kweli. Unapenda tu kujaza ujinga wako kwa lolote lile. Watu kama wewe mmejaa sana Hapa JF sijui lengo hata La JF ni nini. MAY GOD HELP YOU.
 
Kama vijana ndio mnatafakari hivi sijui ni nini hatima ya maisha yenu hapo baadae. Kuna jambo nimejifunza......

Mtu yeyote huwa anakuwa kulingana na kile anachokiwaza,kusoma,kutazama na kufuatilia......

Sasa kama wewe unandoto za kuja kuwa na maisha mazuri na kipato kizuri na kuishi maisha ya kisasa yasiyokuwa na changamoto ya kukosa milo zaidi ya mitatu kwa siku, watoto watakaopata mahitaji yao yote ya msingi, na wewe ukawa na nguvu na uhuru wa kiuchumi sidhani kama utafanikiwa kufika hizo level kama huu ndio ukoko uliokuganda kichwani. Watanzania wengi mnahali mbaya kiuchumi kwasababu mnaamini kuwa ccm ndio imeshika hatima ya maisha yenu ila ukweli ni kuwa ccm wanapata nguvu ya kuwacontrol akili maana mnao muda wa kufuatilia upuuzi wao wa kwenye media baada ya kufanya mambo ya msingi kiuchumi........

sasa wewe utatumia miaka hii kumi kulalamika upumbavu kama huo na mwengineo ukifuatilia kwa makini matukio ya kubishana wanasiasa ukiamini ndio wanafanya maamuzi ya mwisho kuhusu maisha yako kumbe ni ujinga wa kujitakia.......

kuna vijana wenzako kama sisi ambao 90% ya fikra zinazozunguka vichwani mwetu ni business, new business ideas, how to change and improve life, namna za kuongeza kipato, kwenye social media kama Instagram tunafollow influential individuals kama akina mohamed enterprise, akina jeff bezos, akina billgates sio hawa akina mange kimambi sijui udaku nini sijui.......

na tunaona mabadiliko kila siku.... Kwa taarifa yako tu miezi michache kutoka sasa nitaagiza gari yangu, na ninataka kuanza ujenzi. Sasa wewe kaa unajadili sijui raisi sijui chadema sijui kanisa katoliki sijui bakwata......umri unaenda......

Huo upumbavu unaojaza kwenye kichwa chako hautakuja kukupa kiinua mgongo uzeeeni......na nyie ndio watu mnaozaa watoto wengi ili muwageuze kiinua mgongo uzeeni maana hamna akili ya kujitafutia maisha........na mpo wengi sana kwenye population ya tanzania.........kwakifupi.....umri wako wa sasa ongezea miaka kumi.......

Magufuli atamaliza wewe uko vile vile hauna mbele wala nyuma.......kalaga baho

SONY Xperia Z5 Premium

Mkuu waelekeze kwa ustarabu na staha. Hongera kwa maandalizi ya ujenzi na ununuzi wa gari.
 
Kama kila siku anapiga magoti kubusu pete ya kadinali pengo unategemea kanisa litathubutu kumsema mwana wao mpendwa?

Tulia ni zam yao na wa kwao huyo.

Angekuwa ustadh yupo hapo magogon mbona kelele zake ungechoka?

By the way nyie Watu msiofanya research kabla ya kuja kunya mavi yenu hapa. Unajua kuwa katika vyuo vilivyokatazwa kudahili katoliki viko vingapi. Sekondary. Dispensaries. Ndani ya awamu hii. I TELL YOU JPM IS A VERY COMMITTED MAN. Endeleeni na chuki za mtandaoni. Badala ya kula maisha. Vijana wengi wanaojitambua wanawini haya maisha ya wewe unayekunya hapa kila siku.
 
Kama unaona amani imetoweka, utakuwa unawajua pia wanaosababisha amani kutoweka. Shughulika nao hao. Leave Kanisa Katoliki alone. Lissu ameshawaambia.. PIGA KELELE. Nyie mnakaa kimya kisha mnakuja hapa kulalamikia madhehebu ya dini?
 
Bwana Yesu Asifiwe ndugu yangu...Yesu Kristo Alikuja kuitimiliza Torati au Sheria au Neno baada ya makuhani na mafarisayo kuhubiri habari za Mungu lakini wao hawafuati matendo na neno la Mungu hivyo Dini sio njia yakufanikisha kusudi la Mungu Kutuumba yani Mungu Pamoja na Sisi Emmanuel bali Yesu Ndiyo Njia Ya Wokovu ni lazima Kuifuata Imani ya Wokovu Aliyoianzisha Bwana Yesu ili tuishindanie mara moja tu

Sent using Jamii Forums mobile app
"Imani ya wokovu" Vs Kanisa ndio kitu gani??? don't confuse us with your wrong teachings..
 
Ule ukosoaji wa viongozi wa dini hasa awamu iliyopita haupo tena. Ni kama yale waliyokuwa wakiyakosoa sasa yote 100% ni PERFECT.
Siku wakiguswa na wao kuhusu kufutwa misamaha wa kodi katika taasisi hizi sijui itakuwaje!!!!????? maana naona hawa yanayolalamikiwa kama hayawahusu vile!
Nimewaza kwa sauti tu kwa sababu nakumbuka kile kivumbi kwa JK mpaka akagwaya!
 
Nimekushangaa kwa maandiko yako as if hapa ni Vatican. Usichokijua ni usiku wa giza. Hapa tulipofika hakuna church,kanisa wala sinagogi litakaloyatatua mambo bali ni Mungu mwenyewe anayetakiwa kushuka. And I tell you "Mark my word" much more sòoner than later the almight God atashuka mwenyewe. Time is a very good teacher

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaandika huku unajazba...

Kanisa Katoliki halijawahi kuvunjwa vunjwa wala haitokaa itokee...

Yalivunjika ni hayo ukiyoyataja ..maana walikuwa KKKT na Mwanzilishi wao...ila nini kilitokea baada ya hapo...leo tuna makanisa zaidi ya laki moja..

Ila Moja Takatifu Katoliki lipo tangu Yesu alipolianzisha mwenyewe
Unasema Yesu alianzisha kanisa katoliki siyo? Unaushahidi unisaidie
 
mh kuna umuhimu wa kanisa kuwaonya watawala kabla moto haujawaka
Kanisa linaonya kila siku. Hata wanaotenda matendo ya kikatili na ovu wanakwenda makanisani na wanayasikia maonyo kila siku. That is how it is. Au wewe nawe ni mlokole usiyeamini kwamba katika maisha yetu ya kila siku ni tunatenda dhambi????
 
Back
Top Bottom