balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,513
- 15,154
Kanisa limekamata mamlaka ya nchi ,ni mpango wa mwaka 1993.kumbuka MOU.Huyu wa sasa ni wakwetu.
Kanisa ni wanafiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanisa limekamata mamlaka ya nchi ,ni mpango wa mwaka 1993.kumbuka MOU.Huyu wa sasa ni wakwetu.
Kanisa ni wanafiki
Acha kumsingizia Yesu mambo ya kijinga.Unaandika huku unajazba...
Kanisa Katoliki halijawahi kuvunjwa vunjwa wala haitokaa itokee...
Yalivunjika ni hayo ukiyoyataja ..maana walikuwa KKKT na Mwanzilishi wao...ila nini kilitokea baada ya hapo...leo tuna makanisa zaidi ya laki moja..
Ila Moja Takatifu Katoliki lipo tangu Yesu alipolianzisha mwenyewe
Umeshanena mkuu huu ndo ukweliHuwa linasubiri rais akiwa muislamu ndipo linaanza kumsakama,angalia mwinyi NA kikwete walivyosumbuliwa NA kanisa hili,
Ni kama idara ndogo ya ccm hili kanisa,hata lenyewe lina historia chafu ya mauaji huko ulaya dhidi ya watu waliolikataa,
Kwa ujumla kanisa katoliki limeua sana binadamu NA limeenezwa kwa mkono wa damu,ni kanisa lisilotaka mabadiliko
Dunia ilianza kupata maendeleo ya kifikra,kisayansi,kisiasa NA kiuchumi baada ya kulivunja vunja kanisa katoliki NA kuzaliwa KKKT,wasabato,Anglican, na mengine
Hili kanisa lina historia chafu sana NA mpaka leo mapadri wana kesi za kubaka NA kushawishi NA kudhalilisha WATOTO kingono
Ingekuwa haina dini hela za Escrow ziliwafikaije na bank yao ile!Kanisa linahusika vipi? Serikali si haina dini au?
Mbona awamu ya kikwete ilikuwa ni mwendo Wa matamko tu!?Kanisa linahusika vipi? Serikali si haina dini au?
Dini zikiingilia serikali sidhani kama ni sahihi. Kanisa libaki kurekebisha waumini wake kiimaniMbona awamu ya kikwete ilikuwa ni mwendo Wa matamko tu!?
from Katesh using Siemens C55
Haikuwa sahihi. Kwa hiyo unaniambia serikali ni dini gani?Ingekuwa haina dini hela za Escrow ziliwafikaije na bank yao ile!
Ukiondoa mambo mengine, mfumo umejengwa kikristo na ndio maana ikitokea katika taasisi yenye watumishi 100, head akiwa muislmu na kukawa na watumishi 40 tu waislamu waliobaki wakristu basi taasisi hiyo itachukuliwa ina udini...good example refer NSSF au baraza la mawaziri kipindi cha kikwete.Haikuwa sahihi. Kwa hiyo unaniambia serikali ni dini gani?
Ni wananchi wenyewe ndio wanaudini, boss akiwa mkristu ataleta ndugu zake wakristu na akiwa muislamu ataleta wenzake waislam. Pia kumbuka kuwa zamani wasomi wengi walikuwa ni wakristu na ndo wengi waliajiriwa nafasi za juu ila sasa hivi kila mtu amesoma.Ukiondoa mambo mengine, mfumo umejengwa kikristo na ndio maana ikitokea katika taasisi yenye watumishi 100, head akiwa muislmu na kukawa na watumishi 40 tu waislamu waliobaki wakristu basi taasisi hiyo itachukuliwa ina udini...good example refer NSSF au baraza la mawaziri kipindi cha kikwete.
from Katesh using Siemens C55
Huku likisubiri kiongozi awe muislam. Hapo umenena.....Dini zikiingilia serikali sidhani kama ni sahihi. Kanisa libaki kurekebisha waumini wake kiimani