Kanisa Katoliki mko wapi kulinda amani ya nchi?

Kanisa Katoliki mko wapi kulinda amani ya nchi?

Unaandika huku unajazba...

Kanisa Katoliki halijawahi kuvunjwa vunjwa wala haitokaa itokee...

Yalivunjika ni hayo ukiyoyataja ..maana walikuwa KKKT na Mwanzilishi wao...ila nini kilitokea baada ya hapo...leo tuna makanisa zaidi ya laki moja..

Ila Moja Takatifu Katoliki lipo tangu Yesu alipolianzisha mwenyewe

Bwana Yesu Asifiwe ndugu yangu...Yesu Kristo Alikuja kuitimiliza Torati au Sheria au Neno baada ya makuhani na mafarisayo kuhubiri habari za Mungu lakini wao hawafuati matendo na neno la Mungu hivyo Dini sio njia yakufanikisha kusudi la Mungu Kutuumba yani Mungu Pamoja na Sisi Emmanuel bali Yesu Ndiyo Njia Ya Wokovu ni lazima Kuifuata Imani ya Wokovu Aliyoianzisha Bwana Yesu ili tuishindanie mara moja tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KIla nikisoma kuhusu Vita ya BIAFRA huwa naumizwa roho sana jinsi watu mamilioni waafrika walivyouawa huko!!​
 
Ikiwa suala la amani ni moja ya majukumu yenu kuhakikisha amani inakuwepo katika nchi lakini kwa kipindi kirefu sasa tunaona kama viashiria vingi vya uvunjifu wa amani vipo tena vingi sana na vinaonekana waziwazi.

Wasiwasi wangu ni kwamba huenda kuna jambo halipo sawa, hivi kule ambapo Amani ilitoweka ilikua ni tukio la ghafla au ilikuwa ni mwendelezo wa kutojari concern za watu? hivi mnavyofanya ndivyo matatizo yaliyoleteleza machafuko duniani yalivyo anza.

Mnapo ona chombo Kama bunge kinatumika kupora HAKI za wananchi kwa Spika kutumia nafsi yake atakavyo na wala si sheria inavyoelekeza hili sio jambo dogo nduguzanguni.

Unapoona Taasissi kama tume YA uchaguzi inatoa majina kinyume na sheria inavoelekeza ujue kwamba utawala wa sheria ndo unaondoka hivo. Ukiondoka utawala wa sheria haitabaki vaccum kuna jambo litakuja kujaza uwazi huo.

Nimalizie kwa kuasa kwamba kwa kua mlikaa kimya wakati wa viashiria kamwe msijejitokeza wakati wa kusaka ushuruhishi pindi mambo yakishafika huko maana mtaonekana wazi kwamba nyie ni wanafiki.

Mwenye masikio na asikie
Ulinzi sio kazi ya kanisa

Hizo Ni kazi za vyombo vya usslama
 
Ukiondoa mambo mengine, mfumo umejengwa kikristo na ndio maana ikitokea katika taasisi yenye watumishi 100, head akiwa muislmu na kukawa na watumishi 40 tu waislamu waliobaki wakristu basi taasisi hiyo itachukuliwa ina udini...good example refer NSSF au baraza la mawaziri kipindi cha kikwete.

from Katesh using Siemens C55
Umenimumbusha kipindi cha JK ukiangalia thread humu ndani ni full matamko. Ya kwanza Shk. Ponda gaidi , ya pili mahakama ya kadhi, ya tatu serikali ina udini , ya nne zanzibar wameuawa mapadri mara sijui chama cha cuf chama cha waislam chama cha mashoga, udini NSSF Mara sijui nini.....yàani hii nchi acha tunyooke tu na wala msimsingizie Magu kua analeta maisha magumu...nooo ni Mungu mwenyewe anatutia bakora kwa unafiki wetu na roho mbaya.
 
Kama vijana ndio mnatafakari hivi sijui ni nini hatima ya maisha yenu hapo baadae. Kuna jambo nimejifunza......mtu yeyote huwa anakuwa kulingana na kile anachokiwaza,kusoma,kutazama na kufuatilia......sasa kama wewe unandoto za kuja kuwa na maisha mazuri na kipato kizuri na kuishi maisha ya kisasa yasiyokuwa na changamoto ya kukosa milo zaidi ya mitatu kwa siku, watoto watakaopata mahitaji yao yote ya msingi, na wewe ukawa na nguvu na uhuru wa kiuchumi sidhani kama utafanikiwa kufika hizo level kama huu ndio ukoko uliokuganda kichwani. Watanzania wengi mnahali mbaya kiuchumi kwasababu mnaamini kuwa ccm ndio imeshika hatima ya maisha yenu ila ukweli ni kuwa ccm wanapata nguvu ya kuwacontrol akili maana mnao muda wa kufuatilia upuuzi wao wa kwenye media baada ya kufanya mambo ya msingi kiuchumi........sasa wewe utatumia miaka hii kumi kulalamika upumbavu kama huo na mwengineo ukifuatilia kwa makini matukio ya kubishana wanasiasa ukiamini ndio wanafanya maamuzi ya mwisho kuhusu maisha yako kumbe ni ujinga wa kujitakia.......kuna vijana wenzako kama sisi ambao 90% ya fikra zinazozunguka vichwani mwetu ni business, new business ideas, how to change and improve life, namna za kuongeza kipato, kwenye social media kama Instagram tunafollow influential individuals kama akina mohamed enterprise, akina jeff bezos, akina billgates sio hawa akina mange kimambi sijui udaku nini sijui.......na tunaona mabadiliko kila siku.... Kwa taarifa yako tu miezi michache kutoka sasa nitaagiza gari yangu, na ninataka kuanza ujenzi. Sasa wewe kaa unajadili sijui raisi sijui chadema sijui kanisa katoliki sijui bakwata......umri unaenda......huo upumbavu unaojaza kwenye kichwa chako hautakuja kukupa kiinua mgongo uzeeeni......na nyie ndio watu mnaozaa watoto wengi ili muwageuze kiinua mgongo uzeeni maana hamna akili ya kujitafutia maisha........na mpo wengi sana kwenye population ya tanzania.........kwakifupi.....umri wako wa sasa ongezea miaka kumi.......magufuri atamaliza wewe uko vile vile hauna mbele wala nyuma.......kalaga baho

SONY Xperia Z5 Premium
Thanks brother ushauri mzuri...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwa suala la amani ni moja ya majukumu yenu kuhakikisha amani inakuwepo katika nchi lakini kwa kipindi kirefu sasa tunaona kama viashiria vingi vya uvunjifu wa amani vipo tena vingi sana na vinaonekana waziwazi.

Wasiwasi wangu ni kwamba huenda kuna jambo halipo sawa, hivi kule ambapo Amani ilitoweka ilikua ni tukio la ghafla au ilikuwa ni mwendelezo wa kutojari concern za watu? hivi mnavyofanya ndivyo matatizo yaliyoleteleza machafuko duniani yalivyo anza.

Mnapo ona chombo Kama bunge kinatumika kupora HAKI za wananchi kwa Spika kutumia nafsi yake atakavyo na wala si sheria inavyoelekeza hili sio jambo dogo nduguzanguni.

Unapoona Taasissi kama tume YA uchaguzi inatoa majina kinyume na sheria inavoelekeza ujue kwamba utawala wa sheria ndo unaondoka hivo. Ukiondoka utawala wa sheria haitabaki vaccum kuna jambo litakuja kujaza uwazi huo.

Nimalizie kwa kuasa kwamba kwa kua mlikaa kimya wakati wa viashiria kamwe msijejitokeza wakati wa kusaka ushuruhishi pindi mambo yakishafika huko maana mtaonekana wazi kwamba nyie ni wanafiki.

Mwenye masikio na asikie
Mbona sijawasikia KKKT watoe tamko?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaandika huku unajazba...

Kanisa Katoliki halijawahi kuvunjwa vunjwa wala haitokaa itokee...

Yalivunjika ni hayo ukiyoyataja ..maana walikuwa KKKT na Mwanzilishi wao...ila nini kilitokea baada ya hapo...leo tuna makanisa zaidi ya laki moja..

Ila Moja Takatifu Katoliki lipo tangu Yesu alipolianzisha mwenyewe
yesu alianzisha katoliki please msiamini kilaanchoambiwa jamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brother sawa bado lipo ila limepungua ile nguvu ya ushawishi after fall of the Roman empire to new independent States hawa jamaa walikua wanafanya uvamizi katika mataifa mbali mbali wakasahau kulinda empire yao

Kustuka ikawa imeanguka hivyo wakaamua kuyaacha mataifa waliyovamia kwenda kulinda milki yao Ila wakawa wamechelewa ndipo ikaanguka moja kwa moja walikua worldwide

Hii ni kwa ufupi tu ila kuna mengi sanaa

Sent using Jamii Forums mobile app

Kweli hizi sekondari za kata na walimu wa voda fasta ni janga la Taifa! Mtu wala hujui "Roman Empire" ni kitu gani halafu unakuwa na ujasiri wa kujimwaga JF eti na wewe ni GT!!! Haya ni majanga!!!
 
Nchi ya kigalatia hii, Mkulu ni mkatoliki, wakatoliki kwa sasa wanakula bata tu, Wengine mkae kimya tu.

Kwa sasa ni mwendo wa kwaya na kiti moto tu, hakuna shida tena kwa kanisa katoliki, matamko ni kupoteza muda wa waumini kwa sasa.
 
Huwa linasubiri rais akiwa muislamu ndipo linaanza kumsakama,angalia mwinyi NA kikwete walivyosumbuliwa NA kanisa hili,


Ni kama idara ndogo ya ccm hili kanisa,hata lenyewe lina historia chafu ya mauaji huko ulaya dhidi ya watu waliolikataa,

Kwa ujumla kanisa katoliki limeua sana binadamu NA limeenezwa kwa mkono wa damu,ni kanisa lisilotaka mabadiliko


Dunia ilianza kupata maendeleo ya kifikra,kisayansi,kisiasa NA kiuchumi baada ya kulivunja vunja kanisa katoliki NA kuzaliwa KKKT,wasabato,Anglican, na mengine


Hili kanisa lina historia chafu sana NA mpaka leo mapadri wana kesi za kubaka NA kushawishi NA kudhalilisha WATOTO kingono
Mi siku zote huwa nasema kanisa la Yesu ni Catholic Church na si Roman catholic church, the letter emerged after persecution of the Catholic Church na baada ya hapo likaingiza paganism in Christianity
 
Sasaivi uwezi kuwasikia tena kuinua mdomo,,maana yupo wa upande wao,,,walimsakama mzee Kikwete hadi basi kipindi kile wanafiki wakubwa hao wala hela za escrow
 
Back
Top Bottom