Kanisa katoliki linahitaji reforms

Damuuu za watu kisa kutawala hapanaaa
 
 
Duh! Huu ni ugoro wa kumalizia weekend,,mkuu uwe unabwia kidogo usizidishe sana😂😂
 
Hao jamaa wamekurupuka tu kwa vile mtawala hayupo upande wao, 2030 mtawala atoke KKKT tu ambao tunaona ni sehemu ya walinda amani zaidi ya hao political contractor TEC
 
Kumbuka tu Maaskofu wote wa RC pamoja na Katibu wao Mtendaji wa TEC ni PhD holder! Sasa kama unafikiri wamekurupuka! Basi utakuwa umekosea sana. Binafsi nawaunga mkono kwa 💯%
 
Hao jamaa wamekurupuka tu kwa vile mtawala hayupo upande wao, 2030 mtawala atoke KKKT tu ambao tunaona ni sehemu ya walinda amani zaidi ya hao political contractor TEC
Bora tupate mkristu ajaye asiwe RC

ITALETA AMANI
 
Wakatoliki wana akili za karne ya 15 walipokuwa na nguvu sasa wanaumia wanapojikuta wanaonekana si chochote
 
Hapo hakuna kanisa, ni kundi la matapeli tu ili waishi vizuri hp duniani. Wakatoliki ht huyo Mungu wa kweli hawamjui. Ni wabaguzi, wenye chuki na makundi mengine ya jamii, askofu anajiona yuko juu ya Rais km huyo mkibosho wa hapo Dsm. Wana arrogance, egoism. Sahv kwa kuwa Rais ni muislam ndiyo maana wametoa huo uchafu wao. Mabwege tu hayo Samia mwenye ameshawagundua na amewapuuza, Rais wetu hahitaji kwenda kwenye hayo magenge yao wanayaita makanisa, hana haja. Hawana ht aibu walivyokuwa na upeo mdogo
 
Wa
Kanisa katoliki halihitaji reforms ili politicians wapate nafasi, roma haijawahi kufanya huo ujinga
Wakati wa Magu lilikuwa linaitwaje? Pengo hakumwita Magu chaguo la Mungu? Wapumbavu nyie kaeni na ubaguzi wenu. Watu wenyewe wanajiita wafuasi wa Roma km siyo mazuzu ni nini? Nyie bado ni koloni la mroma
 
Linahitaji Reform kwa sabubu mmepigwa kwenye mshono na bado kingine kizito kinakuja
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kanisa katoliki halihitaji reforms ili politicians wapate nafasi, roma haijawahi kufanya huo ujinga
Bila ht aibu anaiita roma? Roma? Makao makuu ya Italia? Nyumbu tu nyie hakuna mnayeweza kumbabaisha. Mtakaa na gundu letu Rais wetu akidunda. P
Punguza pombe Mkuu.Alcohol is hell
Pombe iko wapi, we umekunywa mkojo wa paroko? Wazungu wenyewe wanawadharau, majinga tu nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…