Kanisa katoliki linahitaji reforms

Kanisa katoliki linahitaji reforms

images.png
 
Hili kanisa linalotajwa kama kanisa katoliki takatifu la mitume linahitaji reforms ili kwenda sawa na amri ya upendo iliyoamriwa na Yesu Kristo. Viongozi wa kanisa wapunguze chuki dhidi ya kiongozi wa nchi ambaye wanaona haendi vile wanavyotaka wao.

Tunajua huu mwongozo wao wa kutaka viongozi wasipewe nafasi za kuongea ibadani umemlenga Mama yetu kipenzi ila sisi tumeamua kuwajibu RC kwa kuwataka waache unafiki. Kwenye awamu ya 5 tuliona mkatoliki mwenzao akiongea karibu kila jumapili kanisani ila kwa sasa sijui kuna kitu gani wamegundua zaidi ya chuki za kijinga.

Tunajua misiba ya matajiri wa kikatoliki huhudhuriwa na maaskofu ila akifa maskini hata katekista anaweza asiendeshe ibada na kuwekwa mizengwe kuwa marehemu alikuwa hahudhurii jumuiya na kutoa zaka. RC acheni ubaguzi. Onyesheni upendo kwa watu wote.
kanisa katoliki limeshamiri na kunawiri kwa ubaguzi wa kiwango kibaya sana miongoni mwa wanandamu, achilia mbali uchafu wa ufirauni unao anadamana makasisi wake kote ulimwenguni
 
Dkt Magufuli alikuwa mkatoliki asiyeheshimu maa Askofu. Dkt Samia hana shida kabisa na Kanisa Katoliki na anawapenda mno tofauti na Dkt Magufuli aliyewashughulikia kwa kuwabambika kodi kibao. In short waliomharibia Dkt Samia ni hao kina duli na kikundi chake cha wauaji na watekaji
Kipindi cha Magufuli aliumizwa padri? wewe unafikiri kwa kutumia matako eti
 
Hili kanisa linalotajwa kama kanisa katoliki takatifu la mitume linahitaji reforms ili kwenda sawa na amri ya upendo iliyoamriwa na Yesu Kristo. Viongozi wa kanisa wapunguze chuki dhidi ya kiongozi wa nchi ambaye wanaona haendi vile wanavyotaka wao.

Tunajua huu mwongozo wao wa kutaka viongozi wasipewe nafasi za kuongea ibadani umemlenga Mama yetu kipenzi ila sisi tumeamua kuwajibu RC kwa kuwataka waache unafiki. Kwenye awamu ya 5 tuliona mkatoliki mwenzao akiongea karibu kila jumapili kanisani ila kwa sasa sijui kuna kitu gani wamegundua zaidi ya chuki za kijinga.

Tunajua misiba ya matajiri wa kikatoliki huhudhuriwa na maaskofu ila akifa maskini hata katekista anaweza asiendeshe ibada na kuwekwa mizengwe kuwa marehemu alikuwa hahudhurii jumuiya na kutoa zaka. RC acheni ubaguzi. Onyesheni upendo kwa watu wote.
Kanisa linabariki pombe aisee
 
Hili kanisa linalotajwa kama kanisa katoliki takatifu la mitume linahitaji reforms ili kwenda sawa na amri ya upendo iliyoamriwa na Yesu Kristo. Viongozi wa kanisa wapunguze chuki dhidi ya kiongozi wa nchi ambaye wanaona haendi vile wanavyotaka wao.

Tunajua huu mwongozo wao wa kutaka viongozi wasipewe nafasi za kuongea ibadani umemlenga Mama yetu kipenzi ila sisi tumeamua kuwajibu RC kwa kuwataka waache unafiki. Kwenye awamu ya 5 tuliona mkatoliki mwenzao akiongea karibu kila jumapili kanisani ila kwa sasa sijui kuna kitu gani wamegundua zaidi ya chuki za kijinga.

Tunajua misiba ya matajiri wa kikatoliki huhudhuriwa na maaskofu ila akifa maskini hata katekista anaweza asiendeshe ibada na kuwekwa mizengwe kuwa marehemu alikuwa hahudhurii jumuiya na kutoa zaka. RC acheni ubaguzi. Onyesheni upendo kwa watu wote.
Kichwa chako kinahitaji reforms
 
Kipindi cha Magufuli aliumizwa padri? wewe unafikiri kwa kutumia matako eti
Hakuna tofauti bosi, Dkt Magufuli aliwabambika Kanisa Katoliki kodi za ajabu na kupelekea miradi mingi kuathirika. Lakini pia ndiyo kipindi chake Askofu aliambiwa siyo raia wa Tanzania, huyu wa sasa kupitia duli kaagiza padre auawe, so wote kama wanafanana wanapigana na nguvu ambayo mmoja alishakufa na mwingine probably soon will
 
Hili kanisa linalotajwa kama kanisa katoliki takatifu la mitume linahitaji reforms ili kwenda sawa na amri ya upendo iliyoamriwa na Yesu Kristo. Viongozi wa kanisa wapunguze chuki dhidi ya kiongozi wa nchi ambaye wanaona haendi vile wanavyotaka wao.

Tunajua huu mwongozo wao wa kutaka viongozi wasipewe nafasi za kuongea ibadani umemlenga Mama yetu kipenzi ila sisi tumeamua kuwajibu RC kwa kuwataka waache unafiki. Kwenye awamu ya 5 tuliona mkatoliki mwenzao akiongea karibu kila jumapili kanisani ila kwa sasa sijui kuna kitu gani wamegundua zaidi ya chuki za kijinga.

Tunajua misiba ya matajiri wa kikatoliki huhudhuriwa na maaskofu ila akifa maskini hata katekista anaweza asiendeshe ibada na kuwekwa mizengwe kuwa marehemu alikuwa hahudhurii jumuiya na kutoa zaka. RC acheni ubaguzi. Onyesheni upendo kwa watu wote.
CCM mnamatatizo makubwa
Liambieni lile Jini lenu la kutoka Zanzibar lilokunywa damu ya Mzee Kibao .

Yesu wa Ekaristi amesema !
 
Hili kanisa linalotajwa kama kanisa katoliki takatifu la mitume linahitaji reforms ili kwenda sawa na amri ya upendo iliyoamriwa na Yesu Kristo. Viongozi wa kanisa wapunguze chuki dhidi ya kiongozi wa nchi ambaye wanaona haendi vile wanavyotaka wao.

Tunajua huu mwongozo wao wa kutaka viongozi wasipewe nafasi za kuongea ibadani umemlenga Mama yetu kipenzi ila sisi tumeamua kuwajibu RC kwa kuwataka waache unafiki. Kwenye awamu ya 5 tuliona mkatoliki mwenzao akiongea karibu kila jumapili kanisani ila kwa sasa sijui kuna kitu gani wamegundua zaidi ya chuki za kijinga.

Tunajua misiba ya matajiri wa kikatoliki huhudhuriwa na maaskofu ila akifa maskini hata katekista anaweza asiendeshe ibada na kuwekwa mizengwe kuwa marehemu alikuwa hahudhurii jumuiya na kutoa zaka. RC acheni ubaguzi. Onyesheni upendo kwa watu wote.
OLE WAKE MWANANCHI ATAKAYE ENDA KUPIGA KURA
OLE WAKE MWALIMU ATAKAYE SIMAMIA UCHAGUZI
OLE WAKE MGAMBO ATAKAYE SIMAMIA UCHAGUZI

NO REFORMS NO ELECTION.
 
Hili kanisa linalotajwa kama kanisa katoliki takatifu la mitume linahitaji reforms ili kwenda sawa na amri ya upendo iliyoamriwa na Yesu Kristo. Viongozi wa kanisa wapunguze chuki dhidi ya kiongozi wa nchi ambaye wanaona haendi vile wanavyotaka wao.

Tunajua huu mwongozo wao wa kutaka viongozi wasipewe nafasi za kuongea ibadani umemlenga Mama yetu kipenzi ila sisi tumeamua kuwajibu RC kwa kuwataka waache unafiki. Kwenye awamu ya 5 tuliona mkatoliki mwenzao akiongea karibu kila jumapili kanisani ila kwa sasa sijui kuna kitu gani wamegundua zaidi ya chuki za kijinga.

Tunajua misiba ya matajiri wa kikatoliki huhudhuriwa na maaskofu ila akifa maskini hata katekista anaweza asiendeshe ibada na kuwekwa mizengwe kuwa marehemu alikuwa hahudhurii jumuiya na kutoa zaka. RC acheni ubaguzi. Onyesheni upendo kwa watu wote.
Mmekataza viongozi wa Dini kuchanganya Dini na Siasa, Baada ya kuona mmelifungia kanisa la Gwajima imebidi na wao wajihami ili msije mkawafungia na wao kanisa. Sasa Shida hapo iko wapi?
 
Hili kanisa linalotajwa kama kanisa katoliki takatifu la mitume linahitaji reforms ili kwenda sawa na amri ya upendo iliyoamriwa na Yesu Kristo. Viongozi wa kanisa wapunguze chuki dhidi ya kiongozi wa nchi ambaye wanaona haendi vile wanavyotaka wao.

Tunajua huu mwongozo wao wa kutaka viongozi wasipewe nafasi za kuongea ibadani umemlenga Mama yetu kipenzi ila sisi tumeamua kuwajibu RC kwa kuwataka waache unafiki. Kwenye awamu ya 5 tuliona mkatoliki mwenzao akiongea karibu kila jumapili kanisani ila kwa sasa sijui kuna kitu gani wamegundua zaidi ya chuki za kijinga.

Tunajua misiba ya matajiri wa kikatoliki huhudhuriwa na maaskofu ila akifa maskini hata katekista anaweza asiendeshe ibada na kuwekwa mizengwe kuwa marehemu alikuwa hahudhurii jumuiya na kutoa zaka. RC acheni ubaguzi. Onyesheni upendo kwa watu wote.
Kumbee, dawa inafanya kazi
 
Hili kanisa linalotajwa kama kanisa katoliki takatifu la mitume linahitaji reforms ili kwenda sawa na amri ya upendo iliyoamriwa na Yesu Kristo. Viongozi wa kanisa wapunguze chuki dhidi ya kiongozi wa nchi ambaye wanaona haendi vile wanavyotaka wao.

Tunajua huu mwongozo wao wa kutaka viongozi wasipewe nafasi za kuongea ibadani umemlenga Mama yetu kipenzi ila sisi tumeamua kuwajibu RC kwa kuwataka waache unafiki. Kwenye awamu ya 5 tuliona mkatoliki mwenzao akiongea karibu kila jumapili kanisani ila kwa sasa sijui kuna kitu gani wamegundua zaidi ya chuki za kijinga.

Tunajua misiba ya matajiri wa kikatoliki huhudhuriwa na maaskofu ila akifa maskini hata katekista anaweza asiendeshe ibada na kuwekwa mizengwe kuwa marehemu alikuwa hahudhurii jumuiya na kutoa zaka. RC acheni ubaguzi. Onyesheni upendo kwa watu wote.
Ndio matatizo ya kuwa na akili kwenye mkunduh , hapo unaona umeandika hoja , mbwa wewe .Kanisa Katoliki ni taasisi na si genge la vibaka kama CCM we zoba ,kuna rules na standards za kufuatwa .
Matako ya bibi yako maushungi
 
Hili kanisa linalotajwa kama kanisa katoliki takatifu la mitume linahitaji reforms ili kwenda sawa na amri ya upendo iliyoamriwa na Yesu Kristo. Viongozi wa kanisa wapunguze chuki dhidi ya kiongozi wa nchi ambaye wanaona haendi vile wanavyotaka wao.

Tunajua huu mwongozo wao wa kutaka viongozi wasipewe nafasi za kuongea ibadani umemlenga Mama yetu kipenzi ila sisi tumeamua kuwajibu RC kwa kuwataka waache unafiki. Kwenye awamu ya 5 tuliona mkatoliki mwenzao akiongea karibu kila jumapili kanisani ila kwa sasa sijui kuna kitu gani wamegundua zaidi ya chuki za kijinga.

Tunajua misiba ya matajiri wa kikatoliki huhudhuriwa na maaskofu ila akifa maskini hata katekista anaweza asiendeshe ibada na kuwekwa mizengwe kuwa marehemu alikuwa hahudhurii jumuiya na kutoa zaka. RC acheni ubaguzi. Onyesheni upendo kwa watu wote.
Magu alimwaga neno kanisani utadhani yuko uwanja wa mpira sabasaba morogoro
 
Kanisa limejiingizakwenye siasa weeeee sasa limeshtuka ikiwa late

Kama ilivyokua Kwa magu na mkapa… Akija mkristu litapoa tena
Kwamba sasa linaongea kwa sababu anayeongoza siyo Mkristo?hilo Kanisa halijawahi kuzungumza kipindi viongozi wakiwa Wakristo?

Hii mentality huwa mnaitoa wapi?kumbe ndiyo maana waislam hamzungumzi madhaifu ya raisi hasa upande wa usalama kwa sababu anayeongoza mwenzenu?kwa hiyo mmekubali roho za watu zipotee bila maelezo kisa mkisema mtakuwa mnamsema mwenzenu ktk imani?inasikitisha!
 
Ni rahisi sana. Pungusa hasira na mihemuko, mwambien mama yenu akahutubie msikitini anakosali, uzuri nyie huwa mnasali mara 5 kwa siku, basi anayo nafasi ya kuhutubia mara 5 kwa siku.
Vyema sana umenena,akahutubie huko wanakompongeza kwa kufifisha usalama wa raia anaowaongoza.

Watu wanakufa vifo tata akiambiwa anatuma kukamata wanaopaza sauti wakimkumbusha jukumu lake,misikitini kutamfaa sana
 
Kuzuia siasa makanisani ni reform pia.

Walitakiwa waende mbali waseme na viongozi wa kikatoliki wasipokee mialiko yoyote ya wanasiasa.

Hii itasaidia pande zote, siasa zisiletwe kanisani, na dini zisiletwe kwenye siasa.

Kila mmoja akae na ale kwao.
Hilo ni gumu kwasababu wote hao mtaji wao ni wananchi.Kwahiyo lazima kwanamna fulani waingiliane kwa namna yakung'ata na kupuliza.
 
Hili kanisa linalotajwa kama kanisa katoliki takatifu la mitume linahitaji reforms ili kwenda sawa na amri ya upendo iliyoamriwa na Yesu Kristo. Viongozi wa kanisa wapunguze chuki dhidi ya kiongozi wa nchi ambaye wanaona haendi vile wanavyotaka wao.

Tunajua huu mwongozo wao wa kutaka viongozi wasipewe nafasi za kuongea ibadani umemlenga Mama yetu kipenzi ila sisi tumeamua kuwajibu RC kwa kuwataka waache unafiki. Kwenye awamu ya 5 tuliona mkatoliki mwenzao akiongea karibu kila jumapili kanisani ila kwa sasa sijui kuna kitu gani wamegundua zaidi ya chuki za kijinga.

Tunajua misiba ya matajiri wa kikatoliki huhudhuriwa na maaskofu ila akifa maskini hata katekista anaweza asiendeshe ibada na kuwekwa mizengwe kuwa marehemu alikuwa hahudhurii jumuiya na kutoa zaka. RC acheni ubaguzi. Onyesheni upendo kwa watu wote.


Nina hakika wewe ni mwongo. Kanisa halijawahi kuwa na chuki na Samia kiasi eti cha kuweka utaratibu wa kuzuia wanasiasa kuongea madhabahuni. Kwanza Rais Samia sijawahi kusikia ikiongea kwenye mimbari ya Kanisa.

Kanisa halijawahi kuwa na chuki na Samia, bali lina chuki na ushetani unaofanywa dhidi ya Watanzania.
Kikwete aliyeambiwa na askofu wa Dar kuwa eti ni chaguo la Mungu, alikuwa wa dini gani?

Magufuli aliyeandikiwa waraka mkali kuhusu vitendo vya dhuluma, alikuwa wa dini gani? Mafundisho ya upendo wa Kristo ndiyo yanawafanya wakristo kutowafanyia lolote baya wa imani tofauti. Waislam wanaweza kuwa 10 tu wakaenda nchi waliyojaa wakristo, wakajenga msikiti wao na wakaabudu bila shida, tofauti kabisa na wakristo wachache waende kwenye nchi yenye waislam wengi.
 
Back
Top Bottom