evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,970
- 9,898
Kanisa litupe tu Muongozo sisi waumini tusishiriki huu uchaguzi unaokuja .Ili mimi nihalalishe kutokushiriki kwangu kikamilifu
Basi tuseme amelengwa yeye, kwani analazimishwa kwenda huko kanisani? Tumekataa upumbavu wa wachache kulitumia Kanisa kama jukwaa la kuimbia mapambio ya mama mama mamaaaa!Hili kanisa linalotajwa kama kanisa katoliki takatifu la mitume linahitaji reforms ili kwenda sawa na amri ya upendo iliyoamriwa na Yesu Kristo. Viongozi wa kanisa wapunguze chuki dhidi ya kiongozi wa nchi ambaye wanaona haendi vile wanavyotaka wao.
Tunajua huu mwongozo wao wa kutaka viongozi wasipewe nafasi za kuongea ibadani umemlenga Mama yetu kipenzi ila sisi tumeamua kuwajibu RC kwa kuwataka waache unafiki. Kwenye awamu ya 5 tuliona mkatoliki mwenzao akiongea karibu kila jumapili kanisani ila kwa sasa sijui kuna kitu gani wamegundua zaidi ya chuki za kijinga.
Tunajua misiba ya matajiri wa kikatoliki huhudhuriwa na maaskofu ila akifa maskini hata katekista anaweza asiendeshe ibada na kuwekwa mizengwe kuwa marehemu alikuwa hahudhurii jumuiya na kutoa zaka. RC acheni ubaguzi. Onyesheni upendo kwa watu wote.
Ibirisi wa ccm acheni kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoniHili kanisa linalotajwa kama kanisa katoliki takatifu la mitume linahitaji reforms ili kwenda sawa na amri ya upendo iliyoamriwa na Yesu Kristo. Viongozi wa kanisa wapunguze chuki dhidi ya kiongozi wa nchi ambaye wanaona haendi vile wanavyotaka wao.
Tunajua huu mwongozo wao wa kutaka viongozi wasipewe nafasi za kuongea ibadani umemlenga Mama yetu kipenzi ila sisi tumeamua kuwajibu RC kwa kuwataka waache unafiki. Kwenye awamu ya 5 tuliona mkatoliki mwenzao akiongea karibu kila jumapili kanisani ila kwa sasa sijui kuna kitu gani wamegundua zaidi ya chuki za kijinga.
Tunajua misiba ya matajiri wa kikatoliki huhudhuriwa na maaskofu ila akifa maskini hata katekista anaweza asiendeshe ibada na kuwekwa mizengwe kuwa marehemu alikuwa hahudhurii jumuiya na kutoa zaka. RC acheni ubaguzi. Onyesheni upendo kwa watu wote.
Chuki na roho mbaya ni asili ya Watanzania! Ona walioko serikalini, wanavyotumia vibaya nyadhifa zao kumkomoa, kutesa hata kuua Watanzania wenzao!Hili kanisa linalotajwa kama kanisa katoliki takatifu la mitume linahitaji reforms ili kwenda sawa na amri ya upendo iliyoamriwa na Yesu Kristo. Viongozi wa kanisa wapunguze chuki dhidi ya kiongozi wa nchi ambaye wanaona haendi vile wanavyotaka wao.
Tunajua huu mwongozo wao wa kutaka viongozi wasipewe nafasi za kuongea ibadani umemlenga Mama yetu kipenzi ila sisi tumeamua kuwajibu RC kwa kuwataka waache unafiki. Kwenye awamu ya 5 tuliona mkatoliki mwenzao akiongea karibu kila jumapili kanisani ila kwa sasa sijui kuna kitu gani wamegundua zaidi ya chuki za kijinga.
Tunajua misiba ya matajiri wa kikatoliki huhudhuriwa na maaskofu ila akifa maskini hata katekista anaweza asiendeshe ibada na kuwekwa mizengwe kuwa marehemu alikuwa hahudhurii jumuiya na kutoa zaka. RC acheni ubaguzi. Onyesheni upendo kwa watu wote.
Rwanda na Tanzania ni vitu viwili tofauti ndiyo maana leo hii Samiah anatumia mbinu za Rwanda kuteka watu na kuiharibu TanzaniaMaaskofu na mapadri waliohusika na Rwanda genocide walikuwa darasa la 7?
Hili kanisa linalotajwa kama kanisa katoliki takatifu la mitume linahitaji reforms ili kwenda sawa na amri ya upendo iliyoamriwa na Yesu Kristo. Viongozi wa kanisa wapunguze chuki dhidi ya kiongozi wa nchi ambaye wanaona haendi vile wanavyotaka wao.
Tunajua huu mwongozo wao wa kutaka viongozi wasipewe nafasi za kuongea ibadani umemlenga Mama yetu kipenzi ila sisi tumeamua kuwajibu RC kwa kuwataka waache unafiki. Kwenye awamu ya 5 tuliona mkatoliki mwenzao akiongea karibu kila jumapili kanisani ila kwa sasa sijui kuna kitu gani wamegundua zaidi ya chuki za kijinga.
Tunajua misiba ya matajiri wa kikatoliki huhudhuriwa na maaskofu ila akifa maskini hata katekista anaweza asiendeshe ibada na kuwekwa mizengwe kuwa marehemu alikuwa hahudhurii jumuiya na kutoa zaka. RC acheni ubaguzi. Onyesheni upendo kwa watu wote.
Kanisa katoliki sio ushirika wa mwamposa na vibaka wa CCMHili kanisa linalotajwa kama kanisa katoliki takatifu la mitume linahitaji reforms ili kwenda sawa na amri ya upendo iliyoamriwa na Yesu Kristo. Viongozi wa kanisa wapunguze chuki dhidi ya kiongozi wa nchi ambaye wanaona haendi vile wanavyotaka wao.
Tunajua huu mwongozo wao wa kutaka viongozi wasipewe nafasi za kuongea ibadani umemlenga Mama yetu kipenzi ila sisi tumeamua kuwajibu RC kwa kuwataka waache unafiki. Kwenye awamu ya 5 tuliona mkatoliki mwenzao akiongea karibu kila jumapili kanisani ila kwa sasa sijui kuna kitu gani wamegundua zaidi ya chuki za kijinga.
Tunajua misiba ya matajiri wa kikatoliki huhudhuriwa na maaskofu ila akifa maskini hata katekista anaweza asiendeshe ibada na kuwekwa mizengwe kuwa marehemu alikuwa hahudhurii jumuiya na kutoa zaka. RC acheni ubaguzi. Onyesheni upendo kwa watu wote.
Katoliki sio kama waumini wa mla vitoto vya miaka 6 mzee! Hiyo ni ngome tena ngome haswaa iliyo sheheni kila kituKanisa limejiingizakwenye siasa weeeee sasa limeshtuka ikiwa late
Kama ilivyokua Kwa magu na mkapa… Akija mkristu litapoa tena
makanisa yote yana element ya UHALIFU, ila RC uhalifu wao dhidi ya binadamu ni level ya juu sanaKanisa katoliki sio ushirika wa mwamposa na vibaka wa CCM
wa ROMA ndyo kazi yao, wamezoea kutawala, wakiwa chini ya utawala wa KAISARI lazima walete fitinaSahihi kabisa, Kitima akishavimbiwa sadaka anakuja kueneza chuki zake
Sahihi kabisawa ROMA ndyo kazi yao, wamezoea kutawala, wakiwa chini ya utawala wa KAISARI lazima walete fitina
Seeking Justice in the ICC: Holding Vatican Officials Responsible for Rape and Sexual Violence as Crimes Against Humanity (FAQ)
While the Catholic Church does not actively seek to destabilize governments, its involvement in political affairs can sometimes lead to unintended consequences that impact political stability
unawezaje kwenda kufanya religious disobedience kanisani?? hapa JF ni mahala sahihi na salama kuhoji na kujadili dini 😀Kaongeleeni misikitini na kwa Mwambosa, hakuwatoshi??