Ccm ilikuwa ikiakilisha wananchi na wabunge wasiozidi kumi. Ester bulaya, kangi lugora, James lembeli, luhaga mpina, , deo filikunjombeo, ole sendeka, Kingwangala, nk. Wakiondoka hao ccm linabki kabila moja tu (mafisadi)
Haya wanakubalika waambieni wakafanye mkutano bunda na Kahama, watu wajenge chama wao warukie tu ka chura kisimani.
Una uhakika na ulichoandika lakini...??
Esther Bulaya hakubaliki Bunda..?? na James Lembeli hakubaliki Kahama..??
Usitumie za kuambiwa tu, changanya na zako japo unazo kidogo.
Mnamwona kapi baada ya kuwatosa..
Mnamwona kapi baada ya kuwatosa..
kinachonikwaza ni kwamba wanaojiunga au kutajwa kujiunga ni wale ambao wamepima upepo na kuona either hawakubaliki na chama au wapiga kura. yaani makapi hakuna pure grain hata mmoja. feel sad to cdm
Mnamwona kapi baada ya kuwatosa..
kinachonikwaza ni kwamba wanaojiunga au kutajwa kujiunga ni wale ambao wamepima upepo na kuona either hawakubaliki na chama au wapiga kura. yaani makapi hakuna pure grain hata mmoja. feel sad to cdm
huu ndo wakati mzuri wa ccm kuiteka chadema nzimanzima.
tuma makada 150 wahamie chadema na watapewa nafasi ya kugombea ubunge na wakipita wanakuwa wamo kwa maslahi ya ccm.
inaitwa infiltration
Fikiri Vema,huko Mwibara chadema haipo? Hili jimbo lilikuwa la Mutungerehi nae akajichanganya akaenda TLP, yaani tabu tupu.
Fikiri Vema,
Kuanzia Karukekere Hadi Mgala, Mwisenyi Hadi Kisorya, Mchigondo Hadi Mwiruruma Chadema Inatamba Ccm Wataponea Wapi?
eddy acha kuchanganya watu, Mwibara iko wilaya ya Bunda Mkoa wa Mara, Mutungirehi ni Muhaya wa Kagera. Siasa za haya haya maeneo mawili ni za kikabila mno tofauti na maeneo ya miji mikubwa. Mwibara watachagua Mjita au mtu mwenye nasaba na makabila ya huko. Mkoa wa Kagera kwa wahaya kama wewe ni mtu wa kabila jingine ni vigumu sana kuchaguliwa kuwa kiongozi wao. Nenda hata Halmashauri zao, karibu wote ni wenyeji wa mkoa ule, yaani ofisini ni lugha inayotumika ni kikabila tu.huko Mwibara chadema haipo? Hili jimbo lilikuwa la Mutungerehi nae akajichanganya akaenda TLP, yaani tabu tupu.
Salam Wakuu.
Kwenye MAWIO la leo, page 2 kwenye story ya UKAWA WAMFUKUZA ZITTO kuna habari ndani ya hii story kuwa Mh Kangi Lugola Mbunge wa Mwibara leo anatarajia kujiunga na Chadema pale Mwanza. Yeyote mwenye uhakika wa hii taarifa atumwagie tafadhali.
huko Mwibara chadema haipo? Hili jimbo lilikuwa la Mutungerehi nae akajichanganya akaenda TLP, yaani tabu tupu.
Wataziona hasira za watanzania wapenda mabadiliko. Au unadhani watanzania hawawezi kuchukua maamuzi magumu? Usaliti wa aina yoyoye hauwezi kuvumiliwa mahali popote.huu ndo wakati mzuri wa ccm kuiteka chadema nzimanzima.
tuma makada 150 wahamie chadema na watapewa nafasi ya kugombea ubunge na wakipita wanakuwa wamo kwa maslahi ya ccm. inaitwa infiltration