The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,218
- 17,369
kinachonikwaza ni kwamba wanaojiunga au kutajwa kujiunga ni wale ambao wamepima upepo na kuona either hawakubaliki na chama au wapiga kura. yaani makapi hakuna pure grain hata mmoja. feel sad to cdm
Hivi kama hukubaliki kwa wapiga kura, ukihama ndiyo utakubalika!!?