Bukwabi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 3,352
- 1,154
huko Mwibara chadema haipo? Hili jimbo lilikuwa la Mutungerehi nae akajichanganya akaenda TLP, yaani tabu tupu.
Mutamwega mugaya ndio alikuwa mbunge wa mwibara kabla ya Lugola!
Sio Mtungirehi
huko Mwibara chadema haipo? Hili jimbo lilikuwa la Mutungerehi nae akajichanganya akaenda TLP, yaani tabu tupu.
huko Mwibara chadema haipo? Hili jimbo lilikuwa la Mutungerehi nae akajichanganya akaenda TLP, yaani tabu tupu.
Ndugu, niweke habari hii kwa uhakika. Ukweli ni kuwa Jimbo la MWIBARA siko aliko kuwa Mutungirehi. Mwibara iko MARA. Ukweli ni kuwa Jimbo hili liko Wilaya ya Butiama, kwa Nyrere. Mutungirehi alikuwa Mbunge wa KYERWA. Iko Mkoa wa Kagera. Sasa ni Wilaya, lakini wakati wa Benedikto, Kyerwa lilkuwa Jimbo katika Wilaya ya Karagwe.
Mutamwega mugaya ndio alikuwa mbunge wa mwibara kabla ya Lugola!
Sio Mtungirehi
Kabla ya Lugola alikuwa Kajege, kabla ya Kajege alikuwa Mutamwega Mugaywa, kabla ya Mtamwega jimbo lilikuwa Bunda kwa Wasira (kabla ya kugawanywa 1995).
Ccm ilikuwa ikiakilisha wananchi na wabunge wasiozidi kumi. Ester bulaya, kangi lugora, James lembeli, luhaga mpina, , deo filikunjombeo, ole sendeka, Kingwangala, nk. Wakiondoka hao ccm linabki kabila moja tu (mafisadi)
Pitia vizuri kumbukumbu zako,Mwibara ilikuwa chini ya TLP kwa Mhe. Mutamwega Mugahywa.
Mutungirehi alikuwa mbunge wa TLP pia jimbo la Kyerwa mkoani Kagera,siku nyingine kama huna uhakika uliza utaelezwa bila tatizo kuepuka kupotosha,tupo hapa kuelimishana,wewe unajua hiki na mimi najua kile basi tuelimishane.
Naomba nikili mm pia siku zote nmekuwa nikichanganya kati hao watu wawili miaka ya 90s nilipata bahati kifahamiana na mutamwega alikuwa ni kijana niliyemkubali na baada ya kupoteana nae na kutopata habari zake imetokea mara zote niposoma habari za mutungirehi uwa najichanganya mutamwega mugahywa!hivyo nashuruku kuniondoa huu utata.sio mbaya ukitujulisha iwapo una taarifa zake.SHUKRAN SANA
kinachonikwaza ni kwamba wanaojiunga au kutajwa kujiunga ni wale ambao wamepima upepo na kuona either hawakubaliki na chama au wapiga kura. yaani makapi hakuna pure grain hata mmoja. feel sad to cdm
huu ndo wakati mzuri wa ccm kuiteka chadema nzimanzima.
tuma makada 150 wahamie chadema na watapewa nafasi ya kugombea ubunge na wakipita wanakuwa wamo kwa maslahi ya ccm.
inaitwa infiltration
Kwani tarehe za kura za maoni ya watia nia ubunge cdm hazijapita? Au anakwenda cdm kuwa mwanachama wa kawaida?
Asante ndugu..Mwibara iko Butiama?. Badala ya kumsahihisha, we ndo umeharibu zaidi. Get fact before correction.
kinachonikwaza ni kwamba wanaojiunga au kutajwa kujiunga ni wale ambao wamepima upepo na kuona either hawakubaliki na chama au wapiga kura. yaani makapi hakuna pure grain hata mmoja. feel sad to cdm