funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,535
- 31,199
Hii ni taarifa mbaya kwa UKAWA waliodanganywa kuwa ujio wa lowassa ndani ya UKAWA ulifanyiwa utafiti na kuonesha kuwa atakuja na wanaccm wengi.
Kada machachari wa ccm ndugu Kangi lugola amesema alitanguliza mizigo kwenye basi la mabadiliko lakini ameshtuka kuw basi hilo ni bovu hivyo ameamua kulitosa.
Kada machachari wa ccm ndugu Kangi lugola amesema alitanguliza mizigo kwenye basi la mabadiliko lakini ameshtuka kuw basi hilo ni bovu hivyo ameamua kulitosa.