Kangi Lugola akataa mabadiliko feki

Kangi Lugola akataa mabadiliko feki

Hii ni taarifa mbaya kwa UKAWA waliodanganywa kuwa ujio wa lowassa ndani ya UKAWA ulifanyiwa utafiti na kuonesha kuwa atakuja na wanaccm wengi.


Kada machachari wa ccm ndugu Kangi lugola amesema alitanguliza mizigo kwenye basi la mabadiliko lakini ameshtuka kuw basi hilo ni bovu hivyo ameamua kulitosa.

ndo nani huyu kangi lugola, sijawahi msikia
 
kwa hiyo ameona ni vizuri kupeleka Pombe Ikulu, huu ni hujinga kama Kikwete ameshindwa na alikuwa hana kashfa yoyote atawezaje Pombe? tatizo letu sio mtu tatizo letu ni ccm ndio maana wenye busara wameamua kuhama baada ya kuona ndani ya ccm haiwezekani hata kama ukiwa malaika

Jk asie na kashfa hakuweza sasa Mwizi, Fisadi, Mlafi,mdini, mbaguzi atawezaje?
 
Wewe ni mmojawapo wa vielelezo vya mafanikio ya CCM (UMBUMBUMBU) kuamini kuwa ukiwa kiongozi uwe na Ukabila/Ukanda, kupendelea unakotokea kuliko kutimiza majukumu yako uliyokabiziwa.

Weka point bwana # hapa ni kazi tu.
 
Hii ni taarifa mbaya kwa UKAWA waliodanganywa kuwa ujio wa lowassa ndani ya UKAWA ulifanyiwa utafiti na kuonesha kuwa atakuja na wanaccm wengi.


Kada machachari wa ccm ndugu Kangi lugola amesema alitanguliza mizigo kwenye basi la mabadiliko lakini ameshtuka kuw basi hilo ni bovu hivyo ameamua kulitosa.


Kangi ndo nani
 
And you consider your answer to be reseached one! Wonders shall never end!

Analenga utafiti juu ya threads zake... Ingekusaidia kupata jibu la ndiyo au hapana kwa ulichokihoji
 
Kangi lugola yuko timamu hawezi kupanda basi ambalo ni bovu na oct.25 inawezekana kabisa lisifike salama. Ukawa wanajiunga watu ambao wamepoteana kisiasa kama Sumaye, Masha,Mungai,Karamagi,Mahanga na makapi mengine ambayo hayana nafasi kwenye vyama vyao. Basi la mabadiliko la lowassa ni feki.
Twende na ANNA E MGWHIRA
UTU,UZALENDO NA UADILIFU

Hivo nyie ACT WAZALENDO adui mnawaona ni CHADEMA na si huyu mwenye madaraka (ccm)???!. Basi mnashindana na kivuli chenu
 
Hii ni taarifa mbaya kwa UKAWA waliodanganywa kuwa ujio wa lowassa ndani ya UKAWA ulifanyiwa utafiti na kuonesha kuwa atakuja na wanaccm wengi.


Kada machachari wa ccm ndugu Kangi lugola amesema alitanguliza mizigo kwenye basi la mabadiliko lakini ameshtuka kuw basi hilo ni bovu hivyo ameamua kulitosa.

Yaani wewe akili zako ni kama mwanamke wa kilabuni
 
Umefungwa akili na macho huwezi ona pointi zangu wewe.

Pole kwa kuwa unajifanya unaona na huoni utakaa ulivyo.# hapa ni kazi tu.
 

Attachments

  • 1443864422214.jpg
    1443864422214.jpg
    29.8 KB · Views: 98
Leo Lugola hana ushawishi. Ageingia Ukawa angeitwa kamanda. Ushabiki kitu kwingine ni mbaya sana.

Watakuwepo lakini sio Lugola,Kibajaji,Nape,Bulembo au wanaofanana nao. Hao hata kwa ndimu wala kitunguu swaumu hata kupokelewa tu ni mwiko. Ubora wao hauonekani waliko sembuse ukawa?
 
Kangi hana ushawishi kabisa,kura yake ni moja tu tofauti na Lowassa
Yaani nyie ni wapumbavu'* sana na malofaa. Yaani kila kitu mnadharau, na mtakapotoswa najua mtaandamana na polisi lazima wawapige kweli kweli
 
Who is Kangi Lugola?Anajua nini kuhusu mimi Mtanzania wa hali ya chini ninayeishi chini ya dola moja kwa siku hadi nimsikilize?
Yeye na tumbo lake,mimi na kura yangu kwa Lowassa.

Sasa katika hili ni nini hasa tofauti kati ya Kangi na Lowassa. Ni nani kati yao anayejua chochote kukuhusu wewe mtanzania wa hali ya chini unayeishi chini ya dola moja kwa siku? Hebu Jiongeze wewe acha ushabiki.
 
Back
Top Bottom