Kangi Lugola akataa mabadiliko feki

Kangi Lugola akataa mabadiliko feki

Kangi hana ushawishi kabisa,kura yake ni moja tu tofauti na Lowassa
Huyu Kangi aliposema Lowassa asipochaguliwa ,patachimbika pale Sheikh Amri Abeid siku Lowassa alipotangaza safari hewa ya matumaini alishangiliwa na kuonekana shujaa,leo kabadili gear angani mnasema Kangi hana ushawishi,kweli malofa mko katika ubora wenu.
 
Huyu Kangi aliposema Lowassa asipochaguliwa ,patachimbika pale Sheikh Amri Abeid siku Lowassa alipotangaza safari hewa ya matumaini alishangiliwa na kuonekana shujaa,leo kabadili gear angani mnasema Kangi hana ushawishi,kweli malofa mko katika ubora wenu.

Malofa hawajui wanachokitaka...
 
Hii ni taarifa mbaya kwa UKAWA waliodanganywa kuwa ujio wa lowassa ndani ya UKAWA ulifanyiwa utafiti na kuonesha kuwa atakuja na wanaccm wengi.


Kada machachari wa ccm ndugu Kangi lugola amesema alitanguliza mizigo kwenye basi la mabadiliko lakini ameshtuka kuw basi hilo ni bovu hivyo ameamua kulitosa.


Huyu ndio nani?dr slaa alitoka na bado tunadunda..
 
Ngoja ifike tarehe 25/10 ndo atajua kuwa ni gari bovu au ni tumaini la mabadiliko ya Tanzania Lugora ni wale wale wanaowageuka wananchi wao.
 
Leo Lugola hana ushawishi. Ageingia Ukawa angeitwa kamanda. Ushabiki kitu kwingine ni mbaya sana.

Yeyote asiye upande wetu ni adui yetu, elewa hilo. Tumemtosa binti wa Sokoine kule Monduli, hutuna masikhara ktk hili.
 
Kangi Lugola ni CCM mchana lakini usiku ni UKAWA DAMU, tuulizeni tuliyohuku Mwibara tunayafahamu mengi kuhusu huyo mlopo wa kizazi hiki
 
Hii ni taarifa mbaya kwa UKAWA waliodanganywa kuwa ujio wa lowassa ndani ya UKAWA ulifanyiwa utafiti na kuonesha kuwa atakuja na wanaccm wengi.


Kada machachari wa ccm ndugu Kangi lugola amesema alitanguliza mizigo kwenye basi la mabadiliko lakini ameshtuka kuw basi hilo ni bovu hivyo ameamua kulitosa.

Do you ever write about your own party!? Just cutious!
 
Siasa ni biashara kama zilivyo biashara nyingine. Ningemshangaa sana Lugola angeenda kwenye biashara ambayo haitamlipa

Kumbe ccm inalipa heee. ndiyo Maana Mnakesha humu kikupigania chama. Wengi wenu ni Wachumia Tumbotu,

Safari hii tafuteni Kazi nyingine za Kufanya ccm lazima ife Mwaka huu, Mtazibua Mitaro, pambafu sana.
 
Do you ever write about your own party!? Just cutious!

Umesoma threads zangu zote?
Ni kipi kinachozuia kuandika juu ya chama flani.
Hata Nyumbu wana akili ya kufuata njia yao kila mwaka...nyie ni zaidi ya Nyumbu.
 
Umesoma threads zangu zote?
Ni kipi kinachozuia kuandika juu ya chama flani.
Hata Nyumbu wana akili ya kufuata njia yao kila mwaka...nyie ni zaidi ya Nyumbu.

I was expecting a Yes or No on whether you ever write about your party! Look at what you have written and be your own judge.
 
I was expecting a Yes or No on whether you ever write about your party! Look at what you have written and be your own judge.

Intellectuals never see things in a binary idea/vision as you were trying to expect a YES/NO response..Intellectuals do research and conclude basing on the best available evidence.
 
Intellectuals never see things in a binary idea/vision as you were trying to expect a YES/NO response..Intellectuals do research and conclude basing on the best available evidence.

And you consider your answer to be reseached one! Wonders shall never end!
 
Umeona wapi sisimizi (Lugora) akamzua tembo (Ukawa /Lowassa) njia? UKAWA ni MABADILIKO na MABADILIKO ni UKAWA kwisha!

kwanza hana impact, kachelewa, treni lishaondoka, kama dr. mihogo na prof pumba walishindwa ataweza huyo mnywa viroba
 
kwanza hana impact, kachelewa, treni lishaondoka, kama dr. mihogo na prof pumba walishindwa ataweza huyo mnywa viroba

Unajua kinywaji anachotumia mgombea wenu?
 
kwa hiyo ameona ni vizuri kupeleka Pombe Ikulu, huu ni hujinga kama Kikwete ameshindwa na alikuwa hana kashfa yoyote atawezaje Pombe? tatizo letu sio mtu tatizo letu ni ccm ndio maana wenye busara wameamua kuhama baada ya kuona ndani ya ccm haiwezekani hata kama ukiwa malaika

KUMBE Kuna Malaika Alishawahi kushindwa kuwatumikia watanzania eeeh!
 
Huyo je? Hakuwa waziri mkuu ( executive power ) yote ya serikali na administration ni yake. # hapa ni kazi tu.
attachment.php

Wewe ni mmojawapo wa vielelezo vya mafanikio ya CCM (UMBUMBUMBU) kuamini kuwa ukiwa kiongozi uwe na Ukabila/Ukanda, kupendelea unakotokea kuliko kutimiza majukumu yako uliyokabiziwa.
 
Nitaamini ni hadaa baada ya baraza la mawaziri kuvunjwa...jiulize ni kwanini jk anasifa vunja baraza la mawaziri?!!!
Alivunje uone Mafuriko yake
Kwani Kuna sheria ya kumzuia waziri kujiuzulu na kuhamia kambi ya upinzani? Tena atakayefanya hivyo, japo atakuwa kachelewa sn, TUTAMUONA SHUJAA KIMTINDO. Vinginevyo kuhama baada ya kuwa kalipwa kipindi chote huku akiwa hana moyo wa Kuwatumikia watanzania kwa moyo mmoja NI USALITI KWA WATANZANIA WOTE KWA UJUMLA WETU
 
Magufuli ana kashfa gani? ukiniambia ya kuuzwa nyumba za serikali umtaje na waziri mkuu wake alikuwa nani na amechukua mgao wa nyumba ngapi! Lowasa na Sumaye ni wanufaika wakubwa wa nyumba za serikali.

meli ya bagamoyo, si walisema ni mpya ipo wapi sasa
 
Back
Top Bottom