Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
Asante MKJJ,
Khanga zina matumizi mengi sana.Yafaa tuanzishe thread ya "Matumizi ya Khanga"
Baadhi ya matumizi ni:
1.Kutoa jumbe mbalimbali
2.Ni ishara ya mambo mbalimbali hasa ya mapenzi
3.Ni vazi lenye matumizi mengi ( Versatile) - huvaliwa na kina mama kama nguo bila hata kushonwa, Hushonwa, hutumika kama mbeleko kubebea watoto, hutumika kama matandiko kitandani,
4.Ni zawadi nzuri
etc etc!!
Kanga siku hizi zinatumiwa sana hata na wanasiasa na imekuwa kama sehemu ya zile Takrima. Lakini pia kanga mitaani pia ni kama sms zenye kutuma ujumbe mfupi uwe wa kheri au wa shari. Labda tuulizane ni jumbe gani tumewahi kuziona au kuzituma hasa sisi kina mama kwa kutumia kanga. Rangi gani tunapenda, n.k Na kwanini wakati mwingine tunanunua kanga ambazo hatuzivai alimradi tunaweka kwenye "collection" zetu za kanga?
Khanga zina matumizi mengi sana.Yafaa tuanzishe thread ya "Matumizi ya Khanga"
Baadhi ya matumizi ni:
1.Kutoa jumbe mbalimbali
2.Ni ishara ya mambo mbalimbali hasa ya mapenzi
3.Ni vazi lenye matumizi mengi ( Versatile) - huvaliwa na kina mama kama nguo bila hata kushonwa, Hushonwa, hutumika kama mbeleko kubebea watoto, hutumika kama matandiko kitandani,
4.Ni zawadi nzuri
etc etc!!
Kanga siku hizi zinatumiwa sana hata na wanasiasa na imekuwa kama sehemu ya zile Takrima. Lakini pia kanga mitaani pia ni kama sms zenye kutuma ujumbe mfupi uwe wa kheri au wa shari. Labda tuulizane ni jumbe gani tumewahi kuziona au kuzituma hasa sisi kina mama kwa kutumia kanga. Rangi gani tunapenda, n.k Na kwanini wakati mwingine tunanunua kanga ambazo hatuzivai alimradi tunaweka kwenye "collection" zetu za kanga?