Kanda ya Ziwa ni Lowassa

Kanda ya Ziwa ni Lowassa

Manina zako tuache na mawazo yetu kachague hayo majinga menzango ya huko kaskazini tuache na magufuli wetu mpumbavu wewe.

ahahaha,acha kupaniki!
uku bukoba chikwete alituahidi meli kubwa mbadala wa mv bukoba,bado mwezi mmoja aondoke,meli hajaileta!
maghufuli akija naye akazungumzia meli tunamzomea!
labda kama akija nayo yy mbele meli nyuma tutampa kura,kinyume na hapo-nooo!
 
Ushauri wangu kwa watu wa ukanda wa ziwa kabla hamja pokea ahadi mpya naombeni mulize kuhusu meli mbili alizo aidi kikwete. Mkipewa meli hizo basi chagueni ccm

Hizi siasa zenye mlengo wa kushadadia ukanda hazitatufanya tutoboe.
 
Halafu ninyi mnaojidai kutushawishi Kanda ya ziwa mmetumwa,na sisi tunaomba Kanda ya kaskazini mpigieni magufuli kwani anafaa.
 
kanda ya ziwa hatuna msemaji wa kanda, hivyo anayesema kanda ya ziwa ni magufuli tu anawadanganya, labda yeye na familia yake ndiyo magufuli, kanda ya ziwa wanajua alivyowatendea kikwete na ccm yake, na mwaka huu watafanya maamuzi sahihi.
 
Kuna ziwa huko simiyu? watu wa kagera,mza,mara na geita ndo wamelengwa bwana,huyu wa simiyu hajitambui

Mkuu tatizo uelewa wako mdogo sana juu ya ramani ya Tanzania. Kwa kukusaidia simiyu inapakana na ziwa Victoria kwa wilaya ya busega.if you have no data don't speak.badirisha kauli.
 
Watu wa Biharamlo itabidi atueleze kwanza barabara inayotoka Mwanza kuja B'mlo ilitakiwaijengwe kwa kiwango cha lami mpaka Biharamlo mjini ilipofika eneo la jimbo lake akachepusha na kupeleka jimboni kwake Chato na kuacha watu wa Biharamlo tukiendelea kupigwa na vumbi.

Je mtu mbinafsi na mubaguzi kiasi hiki anafaa kuwa Rais?huduma zote za kimaendeleo zinazohusu nchi si atakuwa ana zipeleka chumbani kwake na mke wake.
 
Back
Top Bottom