hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,799
Watu hawaeleweki, CCM inaweza kuja na mikakati ya hatari watu wakabadili upepo.
Kanda ya ziwa tunategemea uvuviPole sana ndugu. Kwani wakazi wote wa kanda ya ziwa ni Wavuvi?
Dr.john pombe magufuli kazi kubwa aliyoifanya ndani ya miaka kumi ni kuchoma nyumba za walalahoi (mazoba)(wapumbavu) na kuwabomolea nyumba zao hata bila kuwapa fidia,yeye ndie aliyesababisha wakazi wa kanda ya ziwa kukosa samaki kwa kuchoma makokoro(nyavu) na kuwakamata wavuvi wadogowadogo bila sababu hili kuwezesha viwanda vya nje kuchukua samaki kiulaini na kutuachia samaki wasio na nyama(mapanki).wakazi wa kanda ya ziwa hatuko tayari kurudia makosa.
Swali.kama alikuwa waziri wa uvuvi na baadae ujenzi akatuchomea makokoro(nyavu) na kutubomolea nyumba kidikteta je akiwa Rais si atatuchoma moto sisi na familia zetu?.
Kachanganyikiwa huyo. Anadhani propaganda za makorokoro zitaokoa UKAWAHujitambui kabisa bwamdogo
Pole ndugu. Sasa kama mnategemea uvuvi, kwa nini mnatumia makokoro mpaka hata dagaa wanakuwa adimu? Tunataka uvuvi endelevu na si ujinga mnaofanyaKanda ya ziwa tunategemea uvuvi
Kachanganyikiwa huyo. Magufuli kafuata nyayo za Mkapa. Hatutafuti Rais wa kanda ya Ziwa tuHivi wale waliotapakaa ziwa victoria na mitumbwi iliyosheheni bendera za kijani wakati wa kumpokea Magufuli kumbe walikuwa wachimba madini.HUJUI VIZURI kanda ya ziwa.Subiri kura uone.
Dr.john pombe magufuli kazi kubwa aliyoifanya ndani ya miaka kumi ni kuchoma nyumba za walalahoi (mazoba)(wapumbavu) na kuwabomolea nyumba zao hata bila kuwapa fidia,yeye ndie aliyesababisha wakazi wa kanda ya ziwa kukosa samaki kwa kuchoma makokoro(nyavu) na kuwakamata wavuvi wadogowadogo bila sababu hili kuwezesha viwanda vya nje kuchukua samaki kiulaini na kutuachia samaki wasio na nyama(mapanki).wakazi wa kanda ya ziwa hatuko tayari kurudia makosa.
Swali.kama alikuwa waziri wa uvuvi na baadae ujenzi akatuchomea makokoro(nyavu) na kutubomolea nyumba kidikteta je akiwa Rais si atatuchoma moto sisi na familia zetu?.
WEWE ni MVIVU SIO MVUVI.Kanda ya ziwa tunategemea uvuvi