Watu wa Biharamlo itabidi atueleze kwanza barabara inayotoka Mwanza kuja B'mlo ilitakiwaijengwe kwa kiwango cha lami mpaka Biharamlo mjini ilipofika eneo la jimbo lake akachepusha na kupeleka jimboni kwake Chato na kuacha watu wa Biharamlo tukiendelea kupigwa na vumbi.
Je mtu mbinafsi na mubaguzi kiasi hiki anafaa kuwa Rais?huduma zote za kimaendeleo zinazohusu nchi si atakuwa ana zipeleka chumbani kwake na mke wake.
Na huyo utakae mchagua atakua anapeleka huko kaskazini we hato kujali kwa chochote