Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,368
Shukrani mkuu
Mkuu kwa mtiririko unaoenda nao naona kama hautawaelezea wale mabodyguard wake wa kike, please hebu waelezee kidogo, maana walikuwa na mvuto wake
Shukrani mkuu
Shukrani sana mkuu.. Nimekuongeza kwa taglistMkuu the bold nakubali sana vitu vyako unitag na mimi sehem inayofuata
Asante sana mkuu..The Bold
Asante sanaaaaa tu Kwa story murwa ya Mzee Gaddafi.
Hongera zako Mkuu
Pamoja sana chiefKweli kuna nchi hatari sana pamoja na yote waliyofanyiwa bado watu wanaandamana na kumpinga? Hao wananchi wangekua bongo sipati picha patashika yake.
Story safi sana mkuu THE BOLD.
Shukrani sana comred..Heshima kwako mkuu THE BOLD
Hahahah!! Pamoja sana mkuu Mnonganepamoja mkuu The Bold. plz ni tag ukidondosha sehemu ya tatu na zinazoendelea. kwani kwangu umekua msaada mkubwa sana katika secta ya chakula cha ubongo. na nina kundi la watu nyuma yangu wanafaidika na hizi makala zako murua maana kama nilivyowahi kukwambia mtaani naitwa TEACHER kwa sababu yako.
Shukrani kwa pendekezo mkuu... Nitafanyia kaziMkuu kwa mtiririko unaoenda nao naona kama hautawaelezea wale mabodyguard wake wa kike, please hebu waelezee kidogo, maana walikuwa na mvuto wake
Hahahah... Leo Jioni mkuu wanguMkuu The bold hii inaendelea lini?tuna kiu, au mpaka tukuteke?
Ngoja akutukane tumshughulikie huyo taahira. Ndo tatizo la kuwa na vihiyo wengi ktk nchi kuliko werevuUnatafuta bwana humu ndani au?
Unavyokuwa unaquote Uzi mzima unamaanisha nini mshamba ww!
Nasubiri hilo tusi lako nikuzalishe hapa hapa bwege ww!
Mxiiiiiiuuuu..
pamoja mkuu The Bold. plz ni tag ukidondosha sehemu ya tatu na zinazoendelea. kwani kwangu umekua msaada mkubwa sana katika secta ya chakula cha ubongo. na nina kundi la watu nyuma yangu wanafaidika na hizi makala zako murua maana kama nilivyowahi kukwambia mtaani naitwa TEACHER kwa sababu yako.
Natamani ningekuona unavyowapa madini...Mkuu kwa mtiririko unaoenda nao naona kama hautawaelezea wale mabodyguard wake wa kike, please hebu waelezee kidogo, maana walikuwa na mvuto wake

Naomba unitag mkuu hyo jioniHahahah... Leo Jioni mkuu wangu
Sikai mbali leoShukrani sana mkuu.. Nimekuongeza kwa taglist