Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,748
- Thread starter
- #241
Pamoja sana chief Guasa AmboniShukran the bold nimepita anga hizi
Pamoja sana chief Guasa AmboniShukran the bold nimepita anga hizi
Pamoja mkuu! Soon sehemu ya tatuShukrani sana mkuu The Bold
Maji nimeyanywa ila kiu bado haijaisha, nasubiri tena toleo la Tatu ili niweze kimaliza au kupunguza kou yangu juu ya huu Uhondo.
Ni wazo zuri sana mkuu...Mkuu hongera na asante kwa kutupatia chakula kizuri cha ubongo sisi wavivu wa kusakanya materio mbali mbali.
Lakini nikuombe kitu kinoja kama ikiwezekana uwe unatufanyia sisi wasoma headings tu kwenye majukwaa...
Mfano mimi husoma vichwa vya habari tu,nikivutiwa na heading ndo naifungua ili nipitie,sasa kuna wakati threads zako nazikuta zilishafikisha siku mbili tatu,na hata ukiniweka ktk taglist yako nadhani ninakua nachelewa kuona...
Sasa ombi langu ni kwamba,anza na neno THE BOLD ktk kila heading subject ya thread zako mpya,ili mtu akioona iyo neno tu...afungue mara moja.
Mfano hii ungeianza hivi:-
THE BOLD:"Kanali Muammar Gadaf......"
Yaani utakua umetuokoa sana sisi...
Thanks
Sawa mkuu..Niongeze hapo please
Shukrani mkuuthnks kwa stori tamu hii..
mimi nakuombea uwe kama gadafii wish nitakuja kushika dola ya tanzania
amina kwasababu nia ninaayo na nguvu ninazomimi nakuombea uwe kama gadafi
Fala ww ***** kabisaWaiting for...
Jamii intelligence iko very active na nikiona The bold huwa nafurahi Hata kabla sijasoma. big up mkuu keep it up. Usimsahau KING DUBU.Pamoja mkuu..
Daaah!! Vp mbona unanitukana???Fala ww ***** kabisa