Kanali Muammar Gaddafi (1942 - 2011)

Kanali Muammar Gaddafi (1942 - 2011)

Kumbe mapinduzi ni rahisi kiasi hicho??? Kwa hapa bongo redio inayosikilizwa sana ni EFM so ukienda pale unamaliza kila kitu[ natania lakini]

Naona, Mabepandwe, inakuita Kwa sauti ya upoleeee!!
Ila, nikuhakikishie kabla hujatimiza azima yako hiyo, kuny'ofolewa viungo hivi meno, kucha na ngozi ya tumboni bila ganzi itakuhusu moja Kwa moja iseeeh!!
 
huyu alipiga ukristo marufuku libya afe kabisa

Sasa, alipopiga marufuku Ukristo Libya wewe huko Tanzania au kokote kule uliko umepungukiwa nini!?

Acha utumwa na habari za hizi dini za kigeni,

Binafsi, sina hizo dini uchwara za kigeni na bado na dunda tu.

Angalia Gaddafi alivyofanya maendeleo na alichofanyia nchi yake. Ila, wapumbavu hao hao wa dini iyo hiyo aliyoitetea huko Libya wakamuua!!

Hapo , ndipo ninapoona na kuachana kabisa na hizi dini uchwara.
 
Safi sana
Although he is dead, our stance remains the same – that the fighting in Libya was wrong in the first place, and that it is going to be a big challenge to bring that country together. by Bernard Membe
 
SEHEMU YA PILI, POST # 190


Nifah Divine... glory to yhwh BansenBurner Alisen Papushikashi Magazine Fire miss chagga SANCTUS ANACLETUS mngony Excel Mussolin5 Jimena Inferiority Complex gwijimimi wambura marwa Hoshea shareef conscious wambeke The Boss Deejay nasmile gkileo Juma chief Mangi flani hivi Ngongo makaveli10 KENZY kadada wa pili Root aretasludovick jonnie_vincy Clkey KAFA.cOm mbewe makedonia Afande Nyati peterchoka Leonard Robert Nchi Kavu STUNTER Chrizo jully Van persie Khalidoun Tetramelyz punje haradari Mazigazi @Alybaba babu na mjukuu platozoom jimmyfoxxgongo Nicodemas Tambo Mwikozi Ls man Heaven Sent sifongo Infantry Soldier haa mym 20acres MTS MarkHilary compos Tembo2 Erick the future nancy1983 Bulah binsaad Fazzaly the wolf everhurt Melvine Mgibeon kijana wa leo samsun Coolant Jagood pacesetter apologize payton George Betram kisengeli Kiranga Jiwe Linaloishi Madame B jay john Guasa Amboni Dinazarde Analyse Diva Beyonce snowhite Mmanu Expected Value onechromosome Missy rose Innocenthezron Immortal_MH Ficus sunola Robot la Matope mamaafacebook II JEKI likikima Compact scorpio me G'taxi YNWA adna yuzo ntamaholo Otorong'ong'o naan ngik-kundie kandukamo1 AFRICA101 mwalidebe Kobe Blaki Womani kalendi savius The Great Emanuel r2ga Ntaluke.N. Transcend Msemachochote Mchumiajuone mwampepec MTOTO WA KUKU Fukara proto cute kawombe zinginary MLALUKO JR Vupu barafu BlackPanther Ntuzu Matola impongo ntamaholo Mkoroshokigoli Deadbody KING easy mahoza Msolo kkenzki deborah1 KIDUDU buffalo44 winlicious riziki Allys MUHUNZI Moses2015 nacktary Liuumi dochivele Renzo @barbers hmjamii mbere TATIANA famicho LUCKDUBE mwanadome Straton memphis ghazar Graph Theory Honey Faith Shunie Slave ddcmanesto zinginary pacesetter Nkanaga KOMUGISHA mikatabafeki johnsonmgaya lee empire wigo MJINI CHAI Asprin mtzmweusi Erasto kalinga Chrizo kichakaa man LULU bike FORTALEZA poleni shibumi ZE DONE umande Edger Sr sir joshua sammoo Roram Password Bavaria hambiliki mwanangu Asili100 Evarist Massawe nice1 Jumong S Rogie 1babake nasreen uberito baest dustless Kilemachocho Tumosa mtembea kwa miguu Debbs Joe scorpnose musacha shibumi seeker of knowledge Simuchi Veni Vidi Vici TUJITEGEMEE abuu garcia Hon Nkundwe Festo Festo marion09 mike2k The dream bro kay vandelintz kirikou1 POINT LOAD lusaka city Dirham Rodcones bato MANCNOO multiphill90 GEORGE Dalali mwanamalundi90 MwaFreeca Roram Ta-kibombo troublemaker mambo KOMUGISHA calabocatz Papaa Azonto Msemachochote Mdomo bakuli tizo1 option dikembe iL Buono fakalava ABDUL KAREEM @Gobe Justine Marack Goodluck Mchika MR UNINFORMED darcity nkasoukumu nG'aMBu thatonegAl kabanga MPARE KIBOGOYO Edward Sambai Rassa mnonje srinavas last king of uscoch proto cute Kennedy krava Rais2020 kbosho Mzee wa BsN sam2000 fuma 999 Bableee dawa yenu The Certified DON SINYORI mij adden


bwii ONTARIO Kobe The Vein Mondray jaxonjaxon successor mzee wa liver sawariya Sitaki ukuda Domhome Mpatanishi MKANDAHARI mtugani wa wapi huyo wealthier cluecell Toyota escudo mgumu2 troublemaker Linamo shedede kamtu33 SteveMollel ngushi Donald stewart Mshuza2 Glycel mnonje Ochuanilove SingleFather Santi DEOD 360 ngushi anatory antony ukhuty chris van chicha auxillius Goma Son Hubeb pes KING DUBU VILLAIN mwayena donbeny Aleppo JipuKubwa shoo61 BOMBAY John mungo Nyakageni bato Dogo 1 sufra chamlungu painscott wegman Bravo Engliash MOSELBAY wa stendi FaizaFoxy bigmind cadabraa Internal Kelvin mwalukas mnonje Kelvin X Somoche Wgr30 Miiku Poise Jabman kalamuyamwalimu BOMBAY the say juxhb
Niongeze hapo please
 
Sasa, alipopiga marufuku Ukristo Libya wewe huko Tanzania au kokote kule uliko umepungukiwa nini!?

Acha utumwa na habari za hizi dini za kigeni,

Binafsi, sina hizo dini uchwara za kigeni na bado na dunda tu.

Angalia Gaddafi alivyofanya maendeleo na alichofanyia nchi yake. Ila, wapumbavu hao hao wa dini iyo hiyo aliyoitetea huko Libya wakamuua!!

Hapo , ndipo ninapoona na kuachana kabisa na hizi dini uchwara.
Kwann uwanjime watu uhuru wa kuabudu wamuuwe kabisa shetani mkubwa
 
Kwann uwanjime watu uhuru wa kuabudu wamuuwe kabisa shetani mkubwa

Aiseeeh ,,,

Hizi dini za kigeni kwa kweli tunahitaji kujitathimini tunakoenda.

Binasfi, Sitaki huo ujinga wa kumuona mwanadamu mwenzangu kuwa hafai Kwa sababu ya huu utumwa wa dini za kigeni.

Na hata marafiki zangu nikiona mtu ana hizo tabia za udini najiondoa kwenye hiyo network Sipendi ujinga mimi wa kitumwa na ukoloni huo wa kujiona bora Kwa majina ya dini za kigeni na wakati Kwa kingereza na kiarabu Kwa mfano majina hayo yote ni sawa Ila tatizo ni lugha tu.

Mfano, Yahya ni sawa na John,/Yohana, Issa ni Jesus /Yesu. Ibrahim na Abraham. Tatizo ni lugha tu huyu ajiita Kwa kiarabu mwingine kingereza mtanzania Kwa Kiswahili ila kila kitu ni sawa kabisa.
Sasa, akili ndogo zote na elimu za fa fa fa fa mnawaona wasio dini yako kuwa hawafai.

Acha kabisa hizo story za kitumwa na dini za kigeni.

Njoo tena nikupe nondo ili upone na uachane na huo upoyoyo na uvuvuzera wa kidini!!
 
Aiseeeh ,,,

Hizi dini za kigeni kwa kweli tunahitaji kujitathimini tunakoenda.

Binasfi, Sitaki huo ujinga wa kumuona mwanadamu mwenzangu kuwa hafai Kwa sababu ya huu utumwa wa dini za kigeni.

Na hata marafiki zangu nikiona mtu ana hizo tambia za udini najiondoa kwenye hiyo network Sipendi ujinga mimi wa kitumwa na ukoloni huo wa kujiona bora Kwa majina ya dini za kigeni na wakati Kwa kingereza na kiarabu Kwa mfano majina hayo yote ni sawa Ila tatizo ni lugha tu.

Mfano, Yahya ni sawa na John,/Yohana, Issa ni Jesus /Yesu. Ibrahim na Abraham. Tatizo ni lugha tu huyu ajiita Kwa kiarabu mwingine kingereza mtanzania Kwa Kiswahili ila kila kitu ni sawa kabisa.
Sasa, akili ndogo zote na elimu za fa fa fa fa mnawaona wasio dini yako kuwa hawafai.

Acha kabisa hizo story za kitumwa na dini za kigeni.

Njoo tena nikupe nondo ili upone na uachane na huo upoyoyo na uvuvuzera wa kidini!!
Kila kitu hapa tanzania ni cha kigeni
 
Aiseeeh ,,,

Hizi dini za kigeni kwa kweli tunahitaji kujitathimini tunakoenda.

Binasfi, Sitaki huo ujinga wa kumuona mwanadamu mwenzangu kuwa hafai Kwa sababu ya huu utumwa wa dini za kigeni.

Na hata marafiki zangu nikiona mtu ana hizo tambia za udini najiondoa kwenye hiyo network Sipendi ujinga mimi wa kitumwa na ukoloni huo wa kujiona bora Kwa majina ya dini za kigeni na wakati Kwa kingereza na kiarabu Kwa mfano majina hayo yote ni sawa Ila tatizo ni lugha tu.

Mfano, Yahya ni sawa na John,/Yohana, Issa ni Jesus /Yesu. Ibrahim na Abraham. Tatizo ni lugha tu huyu ajiita Kwa kiarabu mwingine kingereza mtanzania Kwa Kiswahili ila kila kitu ni sawa kabisa.
Sasa, akili ndogo zote na elimu za fa fa fa fa mnawaona wasio dini yako kuwa hawafai.

Acha kabisa hizo story za kitumwa na dini za kigeni.

Njoo tena nikupe nondo ili upone na uachane na huo upoyoyo na uvuvuzera wa kidini!!
Kila kitu hapa tanzania ni cha kigeni
 
Kila kitu hapa tanzania ni cha kigeni

Aaah, sasa naona sindano na dawa vinakuingia vizuri.


Sasa tumia jambo ilo hilo , kukutoa katika utumwa wa dini za kigeni huo uliokufunga akili zako hadi ujione kuwa ukristo au uislamu ni bora kuliko kundi au imani zingine.

Hebu, jiulize, mbona ukivaa viatu vya mokasi na mwingine akavaa raba mbona tunaheshimiana mitaani!
Kwa nini , kwenye dini tuonane vile , hivi au hii haifai ile yafaa!!

Basi, chukulia dini nazo vivyo hivyo kama kitu cha kawaida na siyo kitu cha kuleta misuguano, utofauti na hadi vita na mapigano .

Tunahitaji, jamii iliyostaarabika na kuelimika na siyo wafia dini uchwara hizi za kigeni.

Kwa hiyo, jitathimini na uache huo ubaguzi wa kidini.
 
Ghadafi ni mmoja wa my role modes na niliumia sana namna alivyotendewa. Kila nikisoma habari zake moyo wangu unaumia sana kwa alivyosalitiwa.

Kweli kitu huwa kizuri ukikipoteza tena hasa kwa upuuzi.

Asante The bold.
Pamoja sana mkuu Jumong S
 
Back
Top Bottom