Hahaha,wewe ndo mafiii kabisa,kwa hiyo ukipiga huibiwiKuna shida kwenye malezi yako nenda kajitafakari. Ndo nyie mnaoibiwa wake kwa kujifanya ngumu hiphop
😁😁😁😁Akipinga hili anashida
Unafanyeje?Pia kuzama uvinza sio lazima upige magoti
So long as you umeinama hakuna tofautiHuwa sizami uvinza,hata nikizama it's a different case na hii
Kama unanisema mimi vile !!Hayo mambo mengine ya kupiga goti ni kuiga uzungu ambao nina hakika kiitikadi zetu hauna mahusiano yeyote na uhalisia wa maisha yetu.
Kibongo bongo demu unaenda kuchagua nae pete ya uchumba, mnaita watu halafu unajifanya kupiga goti na yeye anajifanya kushangaa na kilio juu wakati amepanga kila kitu mwenyewe.
Za kwetu sisi ni kumleta demu kwako, kila siku anajifanya kusahau nguo moja moja, ukitahamaki chumba chote kimejaa nguo zake. Baada ya muda anakwambia sioni siku zangu, anazaa, unaenda kujitambulisha kwao. Baada ya miaka 10 na watoto 3 mnachangisha ndugu na marafiki kufanya sherehe ya ndoa na mtu mloishi kindoa kwa miaka 10. Hakuna mambo ya goti hapo.
Naunga mkono hoja ataje umri wake kwanza mi nakumbuka nilifanya hvyo wakati wa kwenda kutoa mahali uchagani watu kibao walishuhudia tukio ilo maalum la kumvisha pete mkewangu kipenzi.Hivi ngoja nikuulize
Wew toka uwanze mahusiano hujawai kumdanganya mwanamke? Unampenda na kumbe ni tamaa tu za kimwili?
Anza na kutaja umri wako.
Fateni mila na itikadi zilizowekwa na Mwenyezi Mungu. Hamtopotea.Bibi unatushaurije sisi Ma rijali kwenye huu upumbavu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizo zingine ni mbinu za kiumeni ili mtu atoe papuchi tu,baada ya hapo anamfyekelea mbali
Mfano wako mfuSo long as you umeinama hakuna tofauti
Upo sawaHayo mambo mengine ya kupiga goti ni kuiga uzungu ambao nina hakika kiitikadi zetu hauna mahusiano yeyote na uhalisia wa maisha yetu.
Kibongo bongo demu unaenda kuchagua nae pete ya uchumba, mnaita watu halafu unajifanya kupiga goti na yeye anajifanya kushangaa na kilio juu wakati amepanga kila kitu mwenyewe.
Za kwetu sisi ni kumleta demu kwako, kila siku anajifanya kusahau nguo moja moja, ukitahamaki chumba chote kimejaa nguo zake. Baada ya muda anakwambia sioni siku zangu, anazaa, unaenda kujitambulisha kwao. Baada ya miaka 10 na watoto 3 mnachangisha ndugu na marafiki kufanya sherehe ya ndoa na mtu mloishi kindoa kwa miaka 10. Hakuna mambo ya goti hapo.
Haaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duuKama unaweza kupiga magoti kuzama uvinza sembuse Pete?
Na huo ndiyo ukweli wenyewe atakayebisha na abisheUnampigia magoti kumbe anakustahi tu, na unakuta apo unapigiwa mpaka chumbani kwako.wanawake si wakuwaoneshea Upendo zaidi ya anavyokupenda wewe