Kamwe siwezi kumpigia magoti mwanamke

Kamwe siwezi kumpigia magoti mwanamke

Hayo mambo mengine ya kupiga goti ni kuiga uzungu ambao nina hakika kiitikadi zetu hauna mahusiano yeyote na uhalisia wa maisha yetu.
Kibongo bongo demu unaenda kuchagua nae pete ya uchumba, mnaita watu halafu unajifanya kupiga goti na yeye anajifanya kushangaa na kilio juu wakati amepanga kila kitu mwenyewe.
Za kwetu sisi ni kumleta demu kwako, kila siku anajifanya kusahau nguo moja moja, ukitahamaki chumba chote kimejaa nguo zake. Baada ya muda anakwambia sioni siku zangu, anazaa, unaenda kujitambulisha kwao. Baada ya miaka 10 na watoto 3 mnachangisha ndugu na marafiki kufanya sherehe ya ndoa na mtu mloishi kindoa kwa miaka 10. Hakuna mambo ya goti hapo.
Kama tunavaa mpaka chupi za wazungu,wanatusaidia silaha,budget na misaada kemkem tutashindwa kuiga upigaji wa magoti kweli?
 
Mkuu una matatizo kwenye maGoti au kuna shida nyingine coz una hate tu halafu huna reason ya kwanini usifanye hvo..

Enewei, hizi ni mambo tu za kuiGa western culture. tumeiga style za seX sembuse Goti
 
Kuna watu wanaliwa ndogo,, we unaona noma kupiga goti,,,mkuu vipi bana,,,?!
 
Kama tunavaa mpaka chupi za wazungu,wanatusaidia silaha,budget na misaada kemkem tutashindwa kuiga upigaji wa magoti kweli?
Sidhani kuna sehemu nimesema tusiige ama tunashindwa kuiga. Nini chupi mkuu, kuwa huru kuiga hata ushoga pia. It's a free world bro.
 
Unajifanya hupigi goti ukiwa ghetto kwako unamlamba mwanamke matako kabisa?hii ni style tuu ya ku propose, kupiga goti haina maana yote kama unavyofikiri acha ku complicate mambo, dondoka goti kila mtu arudi kwao na furaha
 
Kuna shida kwenye malezi yako nenda kajitafakari. Ndo nyie mnaoibiwa wake kwa kujifanya ngumu hiphop
 
Back
Top Bottom