Kamwe siwezi kumpigia magoti mwanamke

Kamwe siwezi kumpigia magoti mwanamke

Mwanaume anapotaka K hua anajifanya bwege sana ata akiambiwa wika kama jogoo ana wika ole wako afunue tu, utamtafuta kwa tochi
Sasa we unafkiri kwa matako kama yako hayo kwenye Avatar kwani nisiwike nini kuku hata kama nyoka ntawika nikutafune
 
Mwanaume unapigia goti mwanamke wakati hapo hapo Kuna kijamaa kijinga jinga kinamuendesha mpaka tumbo la uzazi linamuuma.
Ni ujinga ambao sijui vijana wameutoa wapi!!
Kwetu mwanaume unapigishwa goti Kama umekosea kosa ambalo unahitaji kushushwa heshima yako.
Yaani unakuwa umefananishwa na wanawake tu.!!
 
Magoti mpaka nipige sijui atakuwa amenipa kitu gani maishani mwangu
 
Eti mwanaume mzima mwenye akili timamu upige magoti? kwa lipi? ume mkuta bikra? au ndio aliisha tumika mbele nyuma kapakatwa mpaka na vibabu!
Kupiga magoti maana yake ni kutii mamlaka yake. Kuna kenge wanajiona wanakwenda na wakati na wengine wanafika mbali zaidi wanaanza na kulia machozi!! Huu ni usaliti, usaliti wa jinsia kum*****zenu wote.
 
Naunga mkono hoja ataje umri wake kwanza mi nakumbuka nilifanya hvyo wakati wa kwenda kutoa mahali uchagani watu kibao walishuhudia tukio ilo maalum la kumvisha pete mkewangu kipenzi.
unampigia magoti mwanamke hahahaha[emoji2][emoji2][emoji2]. vipi maisha ya ndoa lakini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom