Kamwe siwezi kumpigia magoti mwanamke

Kamwe siwezi kumpigia magoti mwanamke

Duke Tachez

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2018
Posts
5,461
Reaction score
4,170
Kamwe siwezi kumpigia magoti mwanamke never,ever in my life
 

Attachments

  • Screenshot_20181209-104259~2.jpeg
    Screenshot_20181209-104259~2.jpeg
    78.1 KB · Views: 125
Hayo mambo mengine ya kupiga goti ni kuiga uzungu ambao nina hakika kiitikadi zetu hauna mahusiano yeyote na uhalisia wa maisha yetu.
Kibongo bongo demu unaenda kuchagua nae pete ya uchumba, mnaita watu halafu unajifanya kupiga goti na yeye anajifanya kushangaa na kilio juu wakati amepanga kila kitu mwenyewe.
Za kwetu sisi ni kumleta demu kwako, kila siku anajifanya kusahau nguo moja moja, ukitahamaki chumba chote kimejaa nguo zake. Baada ya muda anakwambia sioni siku zangu, anazaa, unaenda kujitambulisha kwao. Baada ya miaka 10 na watoto 3 mnachangisha ndugu na marafiki kufanya sherehe ya ndoa na mtu mloishi kindoa kwa miaka 10. Hakuna mambo ya goti hapo.
 
Hayo mambo mengine ya kupiga goti ni kuiga uzungu ambao nina hakika kiitikadi zetu hauna mahusiano yeyote na uhalisia wa maisha yetu.
Kibongo bongo demu unaenda kuchagua nae pete ya uchumba, mnaita watu halafu unajifanya kupiga goti na yeye anajifanya kushangaa na kilio juu wakati amepanga kila kitu mwenyewe.
Za kwetu sisi ni kumleta demu kwako, kila siku anajifanya kusahau nguo moja moja, ukitahamaki chumba chote kimejaa nguo zake. Baada ya muda anakwambia sioni siku zangu, anazaa, unaenda kujitambulisha kwao. Baada ya miaka 10 na watoto 3 mnachangisha ndugu na marafiki kufanya sherehe ya ndoa na mtu mloishi kindoa kwa miaka 10. Hakuna mambo ya goti hapo.
Exactly
 
Hii picha nmeona kwny status ya mtu whtsap tena ni member wa humu
 
Back
Top Bottom