Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,170
Kwanini mkuuKamwe siwezi kumpigia magoti mwanamke never,ever in my lifeView attachment 961299
Iwe goti moja au mawili,huo upuuzi siwezi kufanyaKupiga Goti moja sio mbaya.
Magoti yote mawili. OK
Tafsiri ya kupiga goti moja na kupiga magoti mawili ni tofauti.
Kama unaweza kupiga magoti kuzama uvinza sembuse Pete?Iwe goti moja au mawili,huo upuuzi siwezi kufanya
Mbaya zaidi badae unakuta anakusaliti akat before ndo kama hvo ulipiga gotiIwe goti moja au mawili,huo upuuzi siwezi kufanya
Huwa sizami uvinza,hata nikizama it's a different case na hiiKama unaweza kupiga magoti kuzama uvinza sembuse Pete?
Pia kuzama uvinza sio lazima upige magotiKama unaweza kupiga magoti kuzama uvinza sembuse Pete?
Pia kuzama uvinza sio lazima upige magoti
Unampigia magoti kumbe anakustahi tu, na unakuta apo unapigiwa mpaka chumbani kwako.wanawake si wakuwaoneshea Upendo zaidi ya anavyokupenda weweKamwe siwezi kumpigia magoti mwanamke never,ever in my lifeView attachment 961299
Kamwe siwezi kumpigia magoti mwanamke never,ever in my lifeView attachment 961299
ExactlyHayo mambo mengine ya kupiga goti ni kuiga uzungu ambao nina hakika kiitikadi zetu hauna mahusiano yeyote na uhalisia wa maisha yetu.
Kibongo bongo demu unaenda kuchagua nae pete ya uchumba, mnaita watu halafu unajifanya kupiga goti na yeye anajifanya kushangaa na kilio juu wakati amepanga kila kitu mwenyewe.
Za kwetu sisi ni kumleta demu kwako, kila siku anajifanya kusahau nguo moja moja, ukitahamaki chumba chote kimejaa nguo zake. Baada ya muda anakwambia sioni siku zangu, anazaa, unaenda kujitambulisha kwao. Baada ya miaka 10 na watoto 3 mnachangisha ndugu na marafiki kufanya sherehe ya ndoa na mtu mloishi kindoa kwa miaka 10. Hakuna mambo ya goti hapo.
Good girlKama unaweza kupiga magoti kuzama uvinza sembuse Pete?