Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
Huyu Kamrani ni nani ? anaishije hapa nchini ..kuna mbunge anasema kuwa maofisa wa serikali wanaogopa hata kufika nyumbani kwake..
huyu nani mwenye details za huyu mtu .imesemakana amewabeba tiga wawili, pofu 2, viboko 2 kudu 4 kuwapeleka Pakistan bila document yoyote..huyu ni nani?
huyu nani mwenye details za huyu mtu .imesemakana amewabeba tiga wawili, pofu 2, viboko 2 kudu 4 kuwapeleka Pakistan bila document yoyote..huyu ni nani?