Kampuni zinazohusika na kutengeneza pesa

Kampuni zinazohusika na kutengeneza pesa

Kujibu swali lako Dr. Duniani kuna taasisi mbili zinazohusika na maswala ya kifedha na uchumi taasisi hzo ni International Monetary Fund (IMF) na World Bank (WB) taasisi hzi zinaongozwa na money policy act (MPA) ndani ya MPA kuna mfumo unaoitwa Global financial system (GFS) mfumo huu unamilikiwa na Rothschild family kumekuwa na fikra ya kuwa Rothschild family ndio wamiliki wa Bank kubwa kubwa ikiwamo WB , IMF na Federal Reserve System japo wengi wanajua ni Federal Reserve bank lakini ukweli ni Federal Reserve System huku bank ikiwa ni Bank of America (FRS ) ni mfumo tu unaoendesha bank hzo ambapo unaendeshwa na sheria ya federal reserve system act ya mwaka 1913
Rothschild si wamiliki wa banks hzo bali wanamiliki mfumo wa GFS unaotumika kwenye banks nying duniani kuelewa vizuri ni kama leo MAX malipo wanamfumo wao wa maxcom mfumo unaotumika kufanya malipo kwa huduma mbalimbali so ndio mfumo wa GFS unavyofanya kazi


Money policy act (MPA) ndio mwongozo wa centro banks zote duniani na kazi ya centro bank duniani ni

1 print money
2 control supply of money
3 Set the Reserve Requirement
4 Influence Interest Rates
5 Engage in Open Market Operations
6 Control inflation

Hii ndio kazi ya CB zote duniani kuhusu kushuka kwa thamani ya fedha au uchumi

Kwanza unatakiwa kujua hakuna mahusiano ya thamani ya fedha na uchumi japo wengi wanajua kuna mahusiano ya vtu hv lakini ukweli ni kwamba hakuna wakati formula ya uchumi wa ndani ni

MV=PY
M=Money suppy
V=Velocity of circulation
P=price level
Y=National income


Wakati formula ya kushusha au kupandisha thamani ya fedha ni vitu hv
1 INFLATION
2 INTREST RATES
3 Current-Account Deficits
4 Public Debt
5 . Terms of Trade
6 . Political Stability and Economic Performance

Kutokana na kutokuwa na mahusiano hayo ndio unaona dola ya US kuna fedha duniani zimeizidi thamani kama Euro,paund,dinar ya oman pia ukiangalia uchumi wa US na uchumi ya Omani ni vichekesho leo kama kungekuwa na mahusiano ya uchumi na thamani ya fedha basi leo fedha ya Japani ,China zingekuwa ni moja ya sarafu zenye nguvu kubwa duniani na USD ndio ingekuwa fedha yenye thamani kuliko zote

Kuna kitu kinaitwa Balance of trade na ambayo mfumo wake ndio unakwenda kwenye mfumo wa uchumi mkuu moja kwa moja yani GDP

GDP = C + I + G (Ex - Im)

C = Consumer spendng
I= Investment spendng
G= Govement spendng
Ex= Export
Im=Import

Sasa kuhusu uchumi wetu Tanganyika na thamani yetu ya fedha kushuka au kuteteleka aidha kuna vitu viwili

1 Wataalamu wetu wameshindwa kutumia maarifa (Ufahamu) wao vizuri (kwani kwa binadamu kuna vitu vitatu

(A) Utashi (B) Akili ( C) Ufahamu

Sasa Akili ni matumizi mazuri ya ufahamu ambao mara nying unapatikana kwa uzoefu au kwa kwenda shule

2 Labda wataalamu wetu hawajui kupigana vita hii ya kiuchumi na kifedha

Duniani kuna vita tatu
1 Vita vya silaha na majeshi

2 Cyber war(Vita vya mifumo ya technologia ya habari na mawasiliano)

3Economic war (Vita vya kiuchumi)

Vita vya kiuchumi ndio vita inayopiganwa sasa duniani kuliko vita vingine vyote unavijua zipo mpaka mbinu za kimafia za kupigana vta hii ya kiuchumi
ambazo zipo njia 6 za kupadisha uchumi na fedha

Matola jibu lako ni wanapokuchejia dola iliyoexpire kwanza unachenjiwa chini ya exchange rate ya siku hyo kama ni dola mia ni sh 200,000 ww kwa fedha yako ya zamani utachengiwa chini ya laki mbili then wanazipeleka Zanzibar fedha za zamani huko wanapewa wageni au wazungu wanaorudi makwao wanarudi nazo US
mwenye swali anaweza uliza kwani JF ndio sehemu pekee ambapo hakuna bodi ya mikopo hapa unapata elimu bure

Mkuu MALCOM LUMUMBA unaweza kujazia nilichosahau kuweka hapa

brazuca Paprika k_dizle Juma chief MNANSO mtimkav Dux_1234 LIKE Niku ADD Kalamu Yangu
Nashukuru sana mkuu hakika umenipa chakula cha ubongo..i salute you and i wish you well!
 
Kujibu swali lako Dr. Duniani kuna taasisi mbili zinazohusika na maswala ya kifedha na uchumi taasisi hzo ni International Monetary Fund (IMF) na World Bank (WB) taasisi hzi zinaongozwa na money policy act (MPA) ndani ya MPA kuna mfumo unaoitwa Global financial system (GFS) mfumo huu unamilikiwa na Rothschild family kumekuwa na fikra ya kuwa Rothschild family ndio wamiliki wa Bank kubwa kubwa ikiwamo WB , IMF na Federal Reserve System japo wengi wanajua ni Federal Reserve bank lakini ukweli ni Federal Reserve System huku bank ikiwa ni Bank of America (FRS ) ni mfumo tu unaoendesha bank hzo ambapo unaendeshwa na sheria ya federal reserve system act ya mwaka 1913
Rothschild si wamiliki wa banks hzo bali wanamiliki mfumo wa GFS unaotumika kwenye banks nying duniani kuelewa vizuri ni kama leo MAX malipo wanamfumo wao wa maxcom mfumo unaotumika kufanya malipo kwa huduma mbalimbali so ndio mfumo wa GFS unavyofanya kazi


Money policy act (MPA) ndio mwongozo wa centro banks zote duniani na kazi ya centro bank duniani ni

1 print money
2 control supply of money
3 Set the Reserve Requirement
4 Influence Interest Rates
5 Engage in Open Market Operations
6 Control inflation

Hii ndio kazi ya CB zote duniani kuhusu kushuka kwa thamani ya fedha au uchumi

Kwanza unatakiwa kujua hakuna mahusiano ya thamani ya fedha na uchumi japo wengi wanajua kuna mahusiano ya vtu hv lakini ukweli ni kwamba hakuna wakati formula ya uchumi wa ndani ni

MV=PY
M=Money suppy
V=Velocity of circulation
P=price level
Y=National income


Wakati formula ya kushusha au kupandisha thamani ya fedha ni vitu hv
1 INFLATION
2 INTREST RATES
3 Current-Account Deficits
4 Public Debt
5 . Terms of Trade
6 . Political Stability and Economic Performance

Kutokana na kutokuwa na mahusiano hayo ndio unaona dola ya US kuna fedha duniani zimeizidi thamani kama Euro,paund,dinar ya oman pia ukiangalia uchumi wa US na uchumi ya Omani ni vichekesho leo kama kungekuwa na mahusiano ya uchumi na thamani ya fedha basi leo fedha ya Japani ,China zingekuwa ni moja ya sarafu zenye nguvu kubwa duniani na USD ndio ingekuwa fedha yenye thamani kuliko zote

Kuna kitu kinaitwa Balance of trade na ambayo mfumo wake ndio unakwenda kwenye mfumo wa uchumi mkuu moja kwa moja yani GDP

GDP = C + I + G (Ex - Im)

C = Consumer spendng
I= Investment spendng
G= Govement spendng
Ex= Export
Im=Import

Sasa kuhusu uchumi wetu Tanganyika na thamani yetu ya fedha kushuka au kuteteleka aidha kuna vitu viwili

1 Wataalamu wetu wameshindwa kutumia maarifa (Ufahamu) wao vizuri (kwani kwa binadamu tuna vitu vitatu

(A) Utashi (B) Akili ( C) Ufahamu

Sasa Akili ni matumizi mazuri ya ufahamu ambao mara nying unapatikana kwa uzoefu au kwa kwenda shule

2 Labda wataalamu wetu hawajui kupigana vita hii ya kiuchumi na kifedha

Duniani kuna vita tatu
1 Vita vya silaha na majeshi

2 Cyber war(Vita vya mifumo ya technologia ya habari na mawasiliano)

3Economic war (Vita vya kiuchumi)

Vita vya kiuchumi ndio vita inayopiganwa sasa duniani kuliko vita vingine vyote unavijua zipo mpaka mbinu za kimafia za kupigana vta hii ya kiuchumi
ambazo zipo njia 6 za kupadisha uchumi na fedha

Matola jibu lako ni wanapokuchejia dola iliyoexpire kwanza unachenjiwa chini ya exchange rate ya siku hyo kama ni dola mia ni sh 200,000 ww kwa fedha yako ya zamani utachengiwa chini ya laki mbili then wanazipeleka Zanzibar fedha za zamani huko wanapewa wageni au wazungu wanaorudi makwao wanarudi nazo US
mwenye swali anaweza uliza kwani JF ndio sehemu pekee ambapo hakuna bodi ya mikopo hapa unapata elimu bure

Mkuu MALCOM LUMUMBA unaweza kujazia nilichosahau kuweka hapa

brazuca Paprika k_dizle Juma chief MNANSO mtimkav Dux_1234 LIKE Niku ADD Kalamu Yangu

Mkuu Izzo umemaliza yote na mimi sina cha kuongezea hapo pia binafsi nimejifunza vitu vingi na vipya.
Labda tu niwape watu nondo waende wakapitie wenyewe. Mambo yote kuhusu International Trade and Finance and Banking System yameelezewa kiundani kidogo na wameweka hadi reference kutoka sehemu mbalimbali.
Ubarikiwe sana kwa kutoa Maarifa.

CC: MSEZA MKULU , Red Giant , herikipaji , Dotworld Quinine Mwitu , Raimundo , cognition , Maxence Melo , Sabasaba , George Betram , Consigliere , UncleBen , SirChief , Prof , mchambawima1
 

Attachments

Mkuu swali lako ni zuri sana na majibu yake ni marefu sana nitakuja na jibu lako kwa urefu coz inabidi tuanze kuchambua kuanzia tulipo potea kuanzia miaka ya 1985 na mbaya zaidi 2014 kumekuwa na tatizo juu ya watalamu wetu wa maswala ya kifedha na uchumi tumeacha soko ndio liamue thamani ya huduma au bidhaa baada ya mahitaji ndio yaamue thamani ya bidhaa au huduma
Mkuu izzo bado nasubiri majibu ya maswali yangu.
 
Pesa zinazalishwa nje zinakuja Tanzanzania bila sahihi ya waziri wa fedha na gavana ili kuzuia kuibwa na ili kiifanya kampuni iliyotengeneza wasiibe.

Ikipigwa sahihi za hao wawili ndipo neno FEDHA HALALI HUANDIKWA. Kwahiyo kampuni hupewa tenda kama zinavyopewa kampuni zingine kutengeneza vitabu au chupa.
 
Wewe acha kuhidhihaki pesa ya Tanzania nyie ndio watu mnaoidhihaki nchi, kukejeli na kudharau viongozi. Mkishikwa eti oh oh oh mara viongozi wanawaonea wanatumia mabavu kumbe sijui dikteta uchwara kumbe ni nyinyi wenyewe sasa kwa mfano wewe uongozi ukija kukuchukua kwa mahojiano kuhusu hiki ulichoandika utasema umeonewa em fanya haraka ufute hii comment haraka haraka. Maxence Melo alitiwa nguvuni sababu ya wapumbavu wachache kama ninyi. Futa hii comment chap chap ukaanzishe uzi jukwaa la Kilimo, Ufugaji na Uvuvi. Si unafahamu kwamba KAZA ROHO. HAPA KAZI TU.
yani unanilazimisha kusifia chenye kasoro hiv wewe zimo??
 
Pesa ya Tanzania inatengenezwa Ujerumani lakini chakushangaza tuna mahusiano nao kidogo sana! Na sijui ni kwa nini? Simaniishi tujipendekeze kwao La hasha! Ila ikiangalia Vitu walivyowekeza hapa kwetu ni Vichache sana ukilinganisha na China pamoja Japan!
Wameshaona thamani ya pesa ya nchi yetu ni ndogo kwakuwa wanaitengeneza wao hivyo wanajua hatutawasumbua chochoye
 
Mkuu kumbuka hata majangili wanatengeneza fedha na kujaribu kuziingiza kwenye mzunguko hata marekani mpaka Leo wanapambana na kuzuia fedha bandia kuingizwa katika mzunguko wao kazi nyingine ya kikosi cha secret service si kumlinda rais wa marekani peke yake pia na kuhakikisha federal reserved system FRS ya marekani inakuwa safe and secure secret service walisha wai kukamata mabilion ya fedha bandia katika godawn huko Colombia

kama nilivyo sema hapo mwanzo kampuni hizi zote zinakuwa controlled by the government pia kila kampuni inakuwa na material ya utengenezaji wa zile karatasi inakuwa ni top secret au classified kwa kampuni husika na ndo kitu kinachofanya kampuni kupewa tenda kwani isingekuwa hvyo kumbuka kuwa kuna watu wanatengeneza fedha bandia pia utakiwa kujua kinacholindwa si fedha bali makaratasi ya kutengeneza fedha

kuhusu ss kutengeneza fedha zetu hapa tunaweza bt kuna vitu unatakiwa kujiuliza kama tunaweza? ?
1 je thamani ya fedha yetu nani atakuwa anaicontrol kulinganisha na fedha za wenzetu kwani tunaweza kuwa tunaprint tuuuuu mifedha mfano Zimbabwe kuna mpaka noti ya laki moja


2 je tuna technology ya kutengeneza fedha zetu ili watu wasiweze kucopy na kutengeneza zao na kuziingiza kwenye mzunguko

3 maswala ya kifedha duniani yanakuwa controlled by IMF na WB bt kuna nchi hazipo kwenye mfumo wa kinyonyaji wa IMF mfano Iran na china tatizo lake linakuja pale unapotaka kufanya international transaction kwani bank zako zinakuwa hazipo kwenye mifumo ya kibenk zingine mfano ilifikia kipindi ukitaka biashara Iran itakulazimu uende na fedha kwani bank zao zilikuwa hazipo katika mfumo wa mabanki mengine so huwezi kufanya wire transaction

Imebidi nirudie mara mbli nipate kuelewa....swali langu je kipi kinafanya thaman ya pesa kupanda? kama sio kuprint ovyo je tufanyeje pesa yetu iwe na thaman kubwa.. umesema zimbambwe wana noti ya laki 1 lkn haina thamn sisi kwetu tuna not kubwa ni elf 10 je kuwa na noti ndogo ndo kupanda thamn au hali ikoje?? Pia nashukuru umetufungua maana mm huwa nkiwa habari za utengenezaji pesa najkuta nasemehe kujiulza maana huwa sipati majawabu
 
Mkuu kumbuka hata majangili wanatengeneza fedha na kujaribu kuziingiza kwenye mzunguko hata marekani mpaka Leo wanapambana na kuzuia fedha bandia kuingizwa katika mzunguko wao kazi nyingine ya kikosi cha secret service si kumlinda rais wa marekani peke yake pia na kuhakikisha federal reserved system FRS ya marekani inakuwa safe and secure secret service walisha wai kukamata mabilion ya fedha bandia katika godawn huko Colombia

kama nilivyo sema hapo mwanzo kampuni hizi zote zinakuwa controlled by the government pia kila kampuni inakuwa na material ya utengenezaji wa zile karatasi inakuwa ni top secret au classified kwa kampuni husika na ndo kitu kinachofanya kampuni kupewa tenda kwani isingekuwa hvyo kumbuka kuwa kuna watu wanatengeneza fedha bandia pia utakiwa kujua kinacholindwa si fedha bali makaratasi ya kutengeneza fedha

kuhusu ss kutengeneza fedha zetu hapa tunaweza bt kuna vitu unatakiwa kujiuliza kama tunaweza? ?
1 je thamani ya fedha yetu nani atakuwa anaicontrol kulinganisha na fedha za wenzetu kwani tunaweza kuwa tunaprint tuuuuu mifedha mfano Zimbabwe kuna mpaka noti ya laki moja


2 je tuna technology ya kutengeneza fedha zetu ili watu wasiweze kucopy na kutengeneza zao na kuziingiza kwenye mzunguko

3 maswala ya kifedha duniani yanakuwa controlled by IMF na WB bt kuna nchi hazipo kwenye mfumo wa kinyonyaji wa IMF mfano Iran na china tatizo lake linakuja pale unapotaka kufanya international transaction kwani bank zako zinakuwa hazipo kwenye mifumo ya kibenk zingine mfano ilifikia kipindi ukitaka biashara Iran itakulazimu uende na fedha kwani bank zao zilikuwa hazipo katika mfumo wa mabanki mengine so huwezi kufanya wire transaction

Imebidi nirudie mara mbli nipate kuelewa....swali langu je kipi kinafanya thaman ya pesa kupanda? kama sio kuprint ovyo je tufanyeje pesa yetu iwe na thaman kubwa.. umesema zimbambwe wana noti ya laki 1 lkn haina thamn sisi kwetu tuna not kubwa ni elf 10 je kuwa na noti ndogo ndo kupanda thamn au hali ikoje?? Pia nashukuru umetufungua maana mm huwa nkiwa habari za utengenezaji pesa najkuta nasemehe kujiulza maana huwa sipati majawabu.

na hzo karatasi napenda kufahamu huwa wanapewa na serikali hzo kampun au wanazitengeneza wenyew hzo kampun? kama wanaztengeneza wenyew ina maana wapo wataalaam wanaojua inakuwaje wakitoa siri??
 
Kampuni za Wayahudi ndio deal zao wanapanga kila kitu...

Acha uongo wayahud kwenye pesa hawapo ...wanao control ni hao waingereza wamarekani na canada...

na kila mtu na ujanja wake kuifanya pesa yake iwe na thamani....
 
Imebidi nirudie mara mbli nipate kuelewa....swali langu je kipi kinafanya thaman ya pesa kupanda? kama sio kuprint ovyo je tufanyeje pesa yetu iwe na thaman kubwa.. umesema zimbambwe wana noti ya laki 1 lkn haina thamn sisi kwetu tuna not kubwa ni elf 10 je kuwa na noti ndogo ndo kupanda thamn au hali ikoje?? Pia nashukuru umetufungua maana mm huwa nkiwa habari za utengenezaji pesa najkuta nasemehe kujiulza maana huwa sipati majawabu.

na hzo karatasi napenda kufahamu huwa wanapewa na serikali hzo kampun au wanazitengeneza wenyew hzo kampun? kama wanaztengeneza wenyew ina maana wapo wataalaam wanaojua inakuwaje wakitoa siri??
Majibu ya maswali yako mengi tayali nimeshajibu mkuu pitia thread kuanzia mwanzo kujibu kifupi ni

Thamani ya fedha haipimwi kwa matumizi bali inapimwa kwa maitaji so unapozungumzia matumizi yanaingia kwenye category ya nguvu ya soko na nguvu ya soko ndio inaamua bei ya bidhaa au huduma
Thamani ya kitu inapimwa kwa ubora(quality) si wingi(quantity)au uchache wa zero
Thamani ya fedha Inapimwa dhidi ya fedha zingine na thamani ya fedha aina mahusiano yeyote na Uchumi wa Nchi

Kuhusu materials yanayotumika kutengeneza karatasi za fedha ni

1 cotton fiber 80-99%
2 wood fiber 1-3%
3 titanium white 2-3.5%
4 polyamide epichlorohydrin 2-3.5%
5 aluminium chloride
6 melamine,formal dehyde resin , na animal grue
so unaweza kujiuliza kama material ya kutengeneza fedha yanajulikana why majangili wanatengeneza counterfeit money?? jibu ni kwamba unaweza kujua material ya kutengeneza kitu husijue formula ya utengenezaji sasa formula ya jinsi ya kuchanganya hizo kunaitaji natural resources ,critical moments in time and human engineer .
 
Nmekuelewa ndugu naomba niambia njia ya kimafia wanayotumia wenzetu kujiweka juu pesa yao au uchumi wao.....

je kuna world hackers hawa waliweza kuhack had mfumo wa CIA je hivyo viwanda vya pesa vp ishindikane kupata formula? je imewekwa kwenye makaratsi au kichwan? lkn camera pia watu wana weza kuhack wamejiwekea ulinzi gan wa kimtandao ishindkane
 
Wewe acha kuhidhihaki pesa ya Tanzania nyie ndio watu mnaoidhihaki nchi, kukejeli na kudharau viongozi. Mkishikwa eti oh oh oh mara viongozi wanawaonea wanatumia mabavu kumbe sijui dikteta uchwara kumbe ni nyinyi wenyewe sasa kwa mfano wewe uongozi ukija kukuchukua kwa mahojiano kuhusu hiki ulichoandika utasema umeonewa em fanya haraka ufute hii comment haraka haraka. Maxence Melo alitiwa nguvuni sababu ya wapumbavu wachache kama ninyi. Futa hii comment chap chap ukaanzishe uzi jukwaa la Kilimo, Ufugaji na Uvuvi. Si unafahamu kwamba KAZA ROHO. HAPA KAZI TU.
..uvuvi kilimo na mifugo
 
Back
Top Bottom