Kujibu swali lako Dr. Duniani kuna taasisi mbili zinazohusika na maswala ya kifedha na uchumi taasisi hzo ni International Monetary Fund (IMF) na World Bank (WB) taasisi hzi zinaongozwa na money policy act (MPA) ndani ya MPA kuna mfumo unaoitwa Global financial system (GFS) mfumo huu unamilikiwa na Rothschild family kumekuwa na fikra ya kuwa Rothschild family ndio wamiliki wa Bank kubwa kubwa ikiwamo WB , IMF na Federal Reserve System japo wengi wanajua ni Federal Reserve bank lakini ukweli ni Federal Reserve System huku bank ikiwa ni Bank of America (FRS ) ni mfumo tu unaoendesha bank hzo ambapo unaendeshwa na sheria ya federal reserve system act ya mwaka 1913
Rothschild si wamiliki wa banks hzo bali wanamiliki mfumo wa GFS unaotumika kwenye banks nying duniani kuelewa vizuri ni kama leo MAX malipo wanamfumo wao wa maxcom mfumo unaotumika kufanya malipo kwa huduma mbalimbali so ndio mfumo wa GFS unavyofanya kazi
Money policy act (MPA) ndio mwongozo wa centro banks zote duniani na kazi ya centro bank duniani ni
1 print money
2 control supply of money
3 Set the Reserve Requirement
4 Influence Interest Rates
5 Engage in Open Market Operations
6 Control inflation
Hii ndio kazi ya CB zote duniani kuhusu kushuka kwa thamani ya fedha au uchumi
Kwanza unatakiwa kujua hakuna mahusiano ya thamani ya fedha na uchumi japo wengi wanajua kuna mahusiano ya vtu hv lakini ukweli ni kwamba hakuna wakati formula ya uchumi wa ndani ni
MV=PY
M=Money suppy
V=Velocity of circulation
P=price level
Y=National income
Wakati formula ya kushusha au kupandisha thamani ya fedha ni vitu hv
1 INFLATION
2 INTREST RATES
3 Current-Account Deficits
4 Public Debt
5 . Terms of Trade
6 . Political Stability and Economic Performance
Kutokana na kutokuwa na mahusiano hayo ndio unaona dola ya US kuna fedha duniani zimeizidi thamani kama Euro,paund,dinar ya oman pia ukiangalia uchumi wa US na uchumi ya Omani ni vichekesho leo kama kungekuwa na mahusiano ya uchumi na thamani ya fedha basi leo fedha ya Japani ,China zingekuwa ni moja ya sarafu zenye nguvu kubwa duniani na USD ndio ingekuwa fedha yenye thamani kuliko zote
Kuna kitu kinaitwa Balance of trade na ambayo mfumo wake ndio unakwenda kwenye mfumo wa uchumi mkuu moja kwa moja yani GDP
GDP = C + I + G (Ex - Im)
C = Consumer spendng
I= Investment spendng
G= Govement spendng
Ex= Export
Im=Import
Sasa kuhusu uchumi wetu Tanganyika na thamani yetu ya fedha kushuka au kuteteleka aidha kuna vitu viwili
1 Wataalamu wetu wameshindwa kutumia maarifa (Ufahamu) wao vizuri (kwani kwa binadamu kuna vitu vitatu
(A) Utashi (B) Akili ( C) Ufahamu
Sasa Akili ni matumizi mazuri ya ufahamu ambao mara nying unapatikana kwa uzoefu au kwa kwenda shule
2 Labda wataalamu wetu hawajui kupigana vita hii ya kiuchumi na kifedha
Duniani kuna vita tatu
1 Vita vya silaha na majeshi
2 Cyber war(Vita vya mifumo ya technologia ya habari na mawasiliano)
3Economic war (Vita vya kiuchumi)
Vita vya kiuchumi ndio vita inayopiganwa sasa duniani kuliko vita vingine vyote unavijua zipo mpaka mbinu za kimafia za kupigana vta hii ya kiuchumi
ambazo zipo njia 6 za kupadisha uchumi na fedha
Matola jibu lako ni wanapokuchejia dola iliyoexpire kwanza unachenjiwa chini ya exchange rate ya siku hyo kama ni dola mia ni sh 200,000 ww kwa fedha yako ya zamani utachengiwa chini ya laki mbili then wanazipeleka Zanzibar fedha za zamani huko wanapewa wageni au wazungu wanaorudi makwao wanarudi nazo US
mwenye swali anaweza uliza kwani JF ndio sehemu pekee ambapo hakuna bodi ya mikopo hapa unapata elimu bure
Mkuu
MALCOM LUMUMBA unaweza kujazia nilichosahau kuweka hapa
brazuca Paprika k_dizle Juma chief MNANSO mtimkav Dux_1234 LIKE Niku ADD Kalamu Yangu