Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,429
Wakuu,
kama kuna mtu ambaye yuko interested kuwekeza kwenye sekta ya Afya Dar es salaam, na ana uzoefu kwenye eneo hilo; Kampuni, zahanati na vifaa complete vinauzwa jumla M. 122.
Mahali; Dar
Thamani ya vifaa; zaidi ya 80 M
Hali ya Biashara: inafanya kazi vizuri na inahudumia wastani wa watu 15-25 kwa siku. Ina miezi 6 toka ianze kukanya kazi kikamilifu.
Haina deni lolote, tra na brela cleared. Pia wafanyakazi 7 wote wanalipwa kwa wakati.
Bima mbili ziko hatua za mwisho kabisa.
Sababu za kuuza, wamiliki wamehamishwa kikazi na wanafanya kazi zinazowaweka busy hivyo usimamizi unakuwa mgumu.
Kahiyo kampuni iko vizuri, inaenda vizuri inaboreshwa kila siku. Changamoto muda.
Kama uko interested karibu PM kwa maelezo zaidi
Baadhi ya picha
kama kuna mtu ambaye yuko interested kuwekeza kwenye sekta ya Afya Dar es salaam, na ana uzoefu kwenye eneo hilo; Kampuni, zahanati na vifaa complete vinauzwa jumla M. 122.
Mahali; Dar
Thamani ya vifaa; zaidi ya 80 M
Hali ya Biashara: inafanya kazi vizuri na inahudumia wastani wa watu 15-25 kwa siku. Ina miezi 6 toka ianze kukanya kazi kikamilifu.
Haina deni lolote, tra na brela cleared. Pia wafanyakazi 7 wote wanalipwa kwa wakati.
Bima mbili ziko hatua za mwisho kabisa.
Sababu za kuuza, wamiliki wamehamishwa kikazi na wanafanya kazi zinazowaweka busy hivyo usimamizi unakuwa mgumu.
Kahiyo kampuni iko vizuri, inaenda vizuri inaboreshwa kila siku. Changamoto muda.
Kama uko interested karibu PM kwa maelezo zaidi
Baadhi ya picha