Kampuni, Zahanati na Vifaa vyake vinauzwa Dar. Sh. Milioni 122

Azizi Mussa

JF-Expert Member
May 9, 2012
9,172
7,428
Wakuu,

kama kuna mtu ambaye yuko interested kuwekeza kwenye sekta ya Afya Dar es salaam, na ana uzoefu kwenye eneo hilo; Kampuni, zahanati na vifaa complete vinauzwa jumla M. 122.

Mahali; Dar
Thamani ya vifaa; zaidi ya 80 M
Hali ya Biashara: inafanya kazi vizuri na inahudumia wastani wa watu 15-25 kwa siku. Ina miezi 6 toka ianze kukanya kazi kikamilifu.

Haina deni lolote, tra na brela cleared. Pia wafanyakazi 7 wote wanalipwa kwa wakati.

Bima mbili ziko hatua za mwisho kabisa.

Sababu za kuuza, wamiliki wamehamishwa kikazi na wanafanya kazi zinazowaweka busy hivyo usimamizi unakuwa mgumu.

Kahiyo kampuni iko vizuri, inaenda vizuri inaboreshwa kila siku. Changamoto muda.

Kama uko interested karibu PM kwa maelezo zaidi

Baadhi ya picha
IMG-20230930-WA0046.jpg
IMG-20230930-WA0045.jpg
IMG-20230930-WA0050.jpg
IMG-20230930-WA0020.jpg
IMG-20230930-WA0038.jpg
IMG-20230930-WA0037.jpg
IMG-20230930-WA0026.jpg
IMG-20230930-WA0032.jpg
IMG-20230930-WA0009.jpg
IMG-20230930-WA0036.jpg
 
Kampuni imeongezewa thamani na sasa bima zinafanya kazi na hivyo sasa bei imepanda kidogo hadi M.150.

Kama kuna mtu yuko interested na health industry anakaribishwa.

Ni vizuri awe na taaluma au uzoefu kwenye eneo hili
 
Wakuu hii bado ipo. Any potential buyer who is willing to invest in this sector is welcomed
 
Wakuu,

kama kuna mtu ambaye yuko interested kuwekeza kwenye sekta ya Afya Dar es salaam, na ana uzoefu kwenye eneo hilo; Kampuni, zahanati na vifaa complete vinauzwa jumla M. 122.

Mahali; Dar
Thamani ya vifaa; zaidi ya 80 M
Hali ya Biashara: inafanya kazi vizuri na inahudumia wastani wa watu 15-25 kwa siku. Ina miezi 6 toka ianze kukanya kazi kikamilifu.

Haina deni lolote, tra na brela cleared. Pia wafanyakazi 7 wote wanalipwa kwa wakati.

Bima mbili ziko hatua za mwisho kabisa.

Sababu za kuuza, wamiliki wamehamishwa kikazi na wanafanya kazi zinazowaweka busy hivyo usimamizi unakuwa mgumu.

Kahiyo kampuni iko vizuri, inaenda vizuri inaboreshwa kila siku. Changamoto muda.

Kama uko interested karibu PM kwa maelezo zaidi
Ninachowapendea hamuweki uongo
 
Mkuu,Jengo ni mali ya zahanati au la kukodi?Average revenue per month ni kiasi gani.Terms za Mauzo zikoje?
 
Back
Top Bottom