covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 4,895
- 10,638
habari zenu wadau
niende moja kwa moja kwenye mada,
mimi ni kijana wa makamo nia ya kuja hapa jukwaani ni kuomba mbia/mshiriki wa kampuni mwenye uwezo wa kuwekeza mtaji wake katika kampuni yetu kwa makubaliano maalumu.
kampuni inajihusisha na mambo ya tehama/ict technology katika sector mbalimbali.
1. kazi na hali ya kampuni kwa sasa.
-kazi tunazojihushisha nazo ni kusuka mifumo mbalimbali ya tehama (ict system), mafunzo ya tehama(ict training) na uuzaji wa vifaa vya tehama kwenye kampuni, mashirika na shule mbalimbali.
-kwa sasa kampuni ipo dar es salaam ila lengo ni kufungua matawi mikoani kwa baadhi ya mikoa baadae mwaka huu
-kwa sasa kampuni kimtaji haipo vizuri
-kimasoko ipo vizuri sana na wateja wapo wa kutosha shida ni mtaji wa kuhudumia wateja ni mdogo sana. (hivyo tunaishia kufanya kazi ndogo ndogo)
-kiujuzi kampuni inawataalm wazuri na wenye weledi sana wa tehama na usimamizi.
2. mahitaji ya kampuni kwa sasa
-mtaji wa kuhudumia oda za wateja mbalimbali (hili ndio hitaji kuu)
-eneo la ofisi na baadhi ya vifaa
-wezeshaji kifedha kwa rasilimali watu (tupo 3 tu kwa sasa )
3. sifa za mbia/mshiriki tunayemuhitaji
- awe na uwezo wa kuweka mtaji kuanzia tsh. 8.million na kuendelea
-aweze kutoa ushirikiano kwenye mawazo katika uboreshaji au kuendeleza na kukuza mtaji
-awe mlezi (mentor)
pia
-tutamruhusu alete mtu wake au yeye mwenyewe asimame fedha
-tutatoa ushirikiano kwa uwazi bila kuficha ficha vitu.
kwa ambaye anaweza kujiunga nasisi kama mbia/mshiriki karibu inbox nawasubiri pia kwa mwenye ushauri wazo karibu kwa komenti zako ni muhimu kwetu.
N.B - nilishawahi kutafuta fedha kwenye taasisi za benki ila usumbufu ni mkubwa na masharti ni mengi sana baadhi sisi hatuna vigezo wanavyotaka. kwenye mikopo ya vijana huko nimejaribu pia ila mlolongo ni mkubwa foleni sio ya leo wala kesho kuisha. nilishawahi kutafuta wabia/kama miezi 3 nyuma ila niliyempata hakuwa serious ni tia maji tia maji anataka apate pesa ndio atoe pesa kwa hiyo tuliona hakuwa serious bali alikuwa anatuchora tu. hivyo naomba mbia/mshiriki mwenye nia ya dhati kweli hii sisi ni kazi ya maisha yetu tunapenda pia mshiriki wetu afahamu hilo na sio kupotezeana muda.
karibuni tulijenge taifa letu pamoja!
niende moja kwa moja kwenye mada,
mimi ni kijana wa makamo nia ya kuja hapa jukwaani ni kuomba mbia/mshiriki wa kampuni mwenye uwezo wa kuwekeza mtaji wake katika kampuni yetu kwa makubaliano maalumu.
kampuni inajihusisha na mambo ya tehama/ict technology katika sector mbalimbali.
1. kazi na hali ya kampuni kwa sasa.
-kazi tunazojihushisha nazo ni kusuka mifumo mbalimbali ya tehama (ict system), mafunzo ya tehama(ict training) na uuzaji wa vifaa vya tehama kwenye kampuni, mashirika na shule mbalimbali.
-kwa sasa kampuni ipo dar es salaam ila lengo ni kufungua matawi mikoani kwa baadhi ya mikoa baadae mwaka huu
-kwa sasa kampuni kimtaji haipo vizuri
-kimasoko ipo vizuri sana na wateja wapo wa kutosha shida ni mtaji wa kuhudumia wateja ni mdogo sana. (hivyo tunaishia kufanya kazi ndogo ndogo)
-kiujuzi kampuni inawataalm wazuri na wenye weledi sana wa tehama na usimamizi.
2. mahitaji ya kampuni kwa sasa
-mtaji wa kuhudumia oda za wateja mbalimbali (hili ndio hitaji kuu)
-eneo la ofisi na baadhi ya vifaa
-wezeshaji kifedha kwa rasilimali watu (tupo 3 tu kwa sasa )
3. sifa za mbia/mshiriki tunayemuhitaji
- awe na uwezo wa kuweka mtaji kuanzia tsh. 8.million na kuendelea
-aweze kutoa ushirikiano kwenye mawazo katika uboreshaji au kuendeleza na kukuza mtaji
-awe mlezi (mentor)
pia
-tutamruhusu alete mtu wake au yeye mwenyewe asimame fedha
-tutatoa ushirikiano kwa uwazi bila kuficha ficha vitu.
kwa ambaye anaweza kujiunga nasisi kama mbia/mshiriki karibu inbox nawasubiri pia kwa mwenye ushauri wazo karibu kwa komenti zako ni muhimu kwetu.
N.B - nilishawahi kutafuta fedha kwenye taasisi za benki ila usumbufu ni mkubwa na masharti ni mengi sana baadhi sisi hatuna vigezo wanavyotaka. kwenye mikopo ya vijana huko nimejaribu pia ila mlolongo ni mkubwa foleni sio ya leo wala kesho kuisha. nilishawahi kutafuta wabia/kama miezi 3 nyuma ila niliyempata hakuwa serious ni tia maji tia maji anataka apate pesa ndio atoe pesa kwa hiyo tuliona hakuwa serious bali alikuwa anatuchora tu. hivyo naomba mbia/mshiriki mwenye nia ya dhati kweli hii sisi ni kazi ya maisha yetu tunapenda pia mshiriki wetu afahamu hilo na sio kupotezeana muda.
karibuni tulijenge taifa letu pamoja!