Kampuni ya TiGO, sasa yas by mix ina huduma mbovu za kifedha!

Kampuni ya TiGO, sasa yas by mix ina huduma mbovu za kifedha!

Joined
Jun 4, 2015
Posts
68
Reaction score
48
Habr wanajukwaa, napenda kuwasilisha malalamiko yangu kwa kampuni ya TiGo sasa yas by Mix. Nimekuwa mteja wa kampuni hii since 2006, sijawahi kupata usumbufu kama huu nilioupata jana baada ya kutuma hela kwenda airtel. Muamala mpaka sasa hivi haujamfikia mlengwa na ni mtu ana shida ya kimatibabu! Nawapigia customer care wananiambia wanashughulikia ndani ya masaa 72 muamala utamfikia mlengwa; nimewaambia waurudishe kwangu ili mimi niitoe nimtumie kupitia airtel money wananiambia nisubiri hela itamfikia baada ya masaa 72. Kwenye huduma za kifedha yas mmefeli.
 
Achana nayo hamia mtandao mwingine, kulaumu tu haisaidii.

Au anzisha kampuni yako itakayokuwa na huduma nzuri.
 
Na mtindo wao wa kubadilisha password 🔑 siupendi kweli, kila mara sms badilisha nywila
 
Habr wanajukwaa, napenda kuwasilisha malalamiko yangu kwa kampuni ya TiGo sasa yas by Mix. Nimekuwa mteja wa kampuni hii since 2006, sijawahi kupata usumbufu kama huu nilioupata jana baada ya kutuma hela kwenda airtel. Muamala mpaka sasa hivi haujamfikia mlengwa na ni mtu ana shida ya kimatibabu! Nawapigia customer care wananiambia wanashughulikia ndani ya masaa 72 muamala utamfikia mlengwa; nimewaambia waurudishe kwangu ili mimi niitoe nimtumie kupitia airtel money wananiambia nisubiri hela itamfikia baada ya masaa 72. Kwenye huduma za kifedha yas mmefeli.
Kuna baadhi ya masaa huwezi pata huduma nzuri za kifedha za Mix by Yas hasa jioni na alfajiri.
 
Habr wanajukwaa, napenda kuwasilisha malalamiko yangu kwa kampuni ya TiGo sasa yas by Mix. Nimekuwa mteja wa kampuni hii since 2006, sijawahi kupata usumbufu kama huu nilioupata jana baada ya kutuma hela kwenda airtel. Muamala mpaka sasa hivi haujamfikia mlengwa na ni mtu ana shida ya kimatibabu! Nawapigia customer care wananiambia wanashughulikia ndani ya masaa 72 muamala utamfikia mlengwa; nimewaambia waurudishe kwangu ili mimi niitoe nimtumie kupitia airtel money wananiambia nisubiri hela itamfikia baada ya masaa 72. Kwenye huduma za kifedha yas mmefeli.
Tatizo nikuwa hao customers care hawana acces na hiyo pesa yako. Inakuwa kwenye mfumo na hakuna wanachoweza kufanya zaidi yakuangalia processing ama pending au cancelled
 
Kiongozi
Habr wanajukwaa, napenda kuwasilisha malalamiko yangu kwa kampuni ya TiGo sasa yas by Mix. Nimekuwa mteja wa kampuni hii since 2006, sijawahi kupata usumbufu kama huu nilioupata jana baada ya kutuma hela kwenda airtel. Muamala mpaka sasa hivi haujamfikia mlengwa na ni mtu ana shida ya kimatibabu! Nawapigia customer care wananiambia wanashughulikia ndani ya masaa 72 muamala utamfikia mlengwa; nimewaambia waurudishe kwangu ili mimi niitoe nimtumie kupitia airtel money wananiambia nisubiri hela itamfikia baada ya masaa 72. Kwenye huduma za kifedha yas mmefeli.

Pole sana kwa changamoto
hata hivyo unavyotuma pesa kwenda kampuni nyingine (Yas/Airtel) mtoa huduma wa kwanza hana tena uwezo wa kukusaidia kwa haraka kwa sababu hela yako imeenda kwa mtu mwingine ndiye akalipe; kwa maana hiyo hao Customer care hawana kosa walijaribu kukujibu kwa kadri ya uwezo wao kwa wakati huo...
Huwa naona ukituma hela kwenda kwa mtandao huo huo mfano (YAS kwenda YAS, VODA kwenda VODA nk nk ndio unarudishiwa kwa haraka kama kuna changamoto
 
Mbona mimi sijawahi kuambiwa kubadilisha password!!!
Hata mimi pia.

Tumieni app mbona haina shida. Binafsi sijawahi kupata shida yyt ya kuhamisha au kupokea fedha. Na nautumia sana...ukute kwa upande wa mpokeaji ndio mtandao wao ulikuwa una shida. Na hapo kwa vile muhamala umehusisha mitandao miwili tofauti ya simu ndio maana kuna hio delay....
 
Huo mtandao kwenye upande wa miamala hasa kuanzia jioni mpaka alfajiri usiutumie kabisa utakuja kulia
 
Habr wanajukwaa, napenda kuwasilisha malalamiko yangu kwa kampuni ya TiGo sasa yas by Mix. Nimekuwa mteja wa kampuni hii since 2006, sijawahi kupata usumbufu kama huu nilioupata jana baada ya kutuma hela kwenda airtel. Muamala mpaka sasa hivi haujamfikia mlengwa na ni mtu ana shida ya kimatibabu! Nawapigia customer care wananiambia wanashughulikia ndani ya masaa 72 muamala utamfikia mlengwa; nimewaambia waurudishe kwangu ili mimi niitoe nimtumie kupitia airtel money wananiambia nisubiri hela itamfikia baada ya masaa 72. Kwenye huduma za kifedha yas mmefeli.
Niliwahi kulipia king'amuzi cha azam kupitia huu mtandao pesa haikuwafikia azam hawakiwashi, nikapiga customer care wakaniambia kwa tatizo hilo tupigie baadae, nilisema hivi ndo huduma gani hiyo mi nina tatizo we unaniambia nipige baadae tena baadae yenyewe haijulikani ni ipi. Nikawapigia tena baada ya saa 5 hivi jibu likawa hilo hilo. Pesa walirudisha baada ya siku 2
 
Yas ni hovyo, mimi wameniibia hela kwenye simu bila mimi kujua baada ya kuona statement nafuatilia wanasema hela imetumwa Rungwe namba hazipatikani
Wanachoweza kunisaidia ni kufauata taratibu za kisheria
 
Kiukweli kwenye maswara ya pesa Vodacom wapo vizurisana
 
Back
Top Bottom