Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 16,818
- 62,027
Hpo makumbusho stand kuna maspika Makubwa, muziki unapigwa kuanzia asubuhi mpaka Jioni, Muziki wenyewe unatangaza kampuni ya mix by Yass. Yaani wafanyabiashara wengine walioko hapo wanateseka, makelele mtindi mmoja hakuna kusikilizana. Hii siyo sawa.
Pia tunauliza mamlaka za kudhibiti kelele, hii imekaaje?. Au kwa sababu siku hizi wafantabiashara wanatoa mabilioni kwa Samia kwa hiyo hamna hata uwezo wa kusimimamia sheria?
Hii siyo sawa ni kero kubwa sana.
Pia tunauliza mamlaka za kudhibiti kelele, hii imekaaje?. Au kwa sababu siku hizi wafantabiashara wanatoa mabilioni kwa Samia kwa hiyo hamna hata uwezo wa kusimimamia sheria?
Hii siyo sawa ni kero kubwa sana.