Kampuni ya Marekani kununua korosho zote zilizobanguliwa Tanzania

Hii ni habari kubwa kwa wakulima wa korosho Tanzania. Kampuni ya Kimarekani, Ward Holdings Intl. imetangaza kununua korosho zote zilizobanguliwa Tanzania kwa bei ya juu ya ile ya soko. Hii ni faida kwa wakulima wa Tanzania na walaji wa Marekani.

Chanzo Ubalozi wa Marekani.
Wanunuzi wakati wote huwa wapo, tatizo ni Serikali isiyo na maono. Kila inapoingia, lazima iharibu.
 
Tatizo huwa sio kusema kwamba watanunua?, Tatizo litakuja kwenye Quality / Viwango wataweka viwango vya juu kuliko hadi kupelekea percent kubwa ya mzigo haina quality hadi watu kuuza bei ya chini, Hii ndio njia wanayotumia nchi za nje kukufanya wewe uuze malighafi na sio finished product kama vipi waje waweke processing plant wenyewe kwa kusaidiana na Serikali
 
Ni Afadhali Mmarekani angewekeza na kwenye kiwanda cha kubangua kwanza. Sasa viwanda vilivyopo uwezo wa kubangua ni tani 60,000 wakati uzalishaji ni zaidi ya tani 300,000. Hapo unaweza kuona shida ilipo
 
Yaani wataka kusema nchi imekosa hela za viwanda vya kubangua korosho tani hizo au hata zaidi mpaka waombe msaada Marekani? Same time tunaweza agiza ndege endlessly kwa cash!!! Haki tumerogwa kwenye uwanja wa prioritization.
Ni Afadhali Mmarekani angewekeza na kwenye kiwanda cha kubangua kwanza. Sasa viwanda vilivyopo uwezo wa kubangua ni tani 60,000 wakati uzalishaji ni zaidi ya tani 300,000. Hapo unaweza kuona shida ilipo
 
Viwanda vya processing and packaging, viwanda vya mbolea, viwanda vya kutengeza trekta, vifaa vya kilimo cha umwagiliaji, vibali vya exports, kupunguza urasimu. Hivyo ndivyo vingetakiwa kuwa vipaumbele vya Taifa.

Vitu vya maana, vya msingi, vya ukweli kumsaidia Wananchi serikali haina habari navyo.

Hivi vingeingiza pesa za kutosha za kigeni. Bidhaa hizi zina benzuri sana karibu 40Tshs kwa kilo dukani.

20210825_100442.jpg


20210825_101314.jpg
 
Viwanda vya processing and packaging, viwanda vya mbolea, viwanda vya kutengeza trekta, vifaa vya kilimo cha umwagiliaji, vibali vya exports, kupunguza urasimu. Hivyo ndivyo vingetakiwa kuwa vipaumbele vya Taifa.

Vitu vya maana, vya msingi, vya ukweli kumsaidia Wananchi serikali haina habari navyo.

Hivi vingeingiza pesa za kutosha za kigeni. Bidhaa hizi zina benzuri sana karibu 40Tshs kwa kilo dukani.

View attachment 1914306

View attachment 1914307
Bahati mbaya unakuta mtu kama wewe mwenye mawazo positive hauna mamlaka ya aina yeyote serikalini, nadhani kuna haja ya watu kama wewe kujipenyeza kwenye system kwa namna yeyote hadi kieleweke…. Ikibidi you fake it till you make it.
 
Bahati mbaya unakuta mtu kama wewe mwenye mawazo positive hauna mamlaka ya aina yeyote serikalini, nadhani kuna haja ya watu kama wewe kujipenyeza kwenye system kwa namna yeyote hadi kieleweke…. Ikibidi you fake it till you make it.

Kusema ukweli inashanga sana serikali haina dira,ipo ipo tu. Inaonekana haijui ipo hapo kwa ajiri ya kumpigania nani, kuifikisha wapi Tanzania. Hawajui au hawajari kutumia njia sahihi za kuwasaidia Watanzania wengi ambao ni wakulima.

Vitu vidogo sana vikifanywa watapata kodi za kutosha kwa kuongeza wigo wa walipa kodi, kuongeza export, kupunguza rushwa, urasimu, ukiritimba.

Kupunguza kodi za vifaa muhimu kwa uzalishaji, kutoa certain tax incentives kwa wawekezaji kama Rwanda walivyofanya na Volkswagen sisi tunaweza kufanya dili kama hizo na viwanda vya mbolea, umwagiliaji, trekta, lorries, solar panels.
 
Wanunuzi wakati wote huwa wapo, tatizo ni Serikali isiyo na maono. Kila inapoingia, lazima iharibu.

Huu uongozi hauna vision, no plan,no stragegies, no heart, no morals, don't care or give a damn about Watanzania, no good ideas, clueless.
 
Ni Afadhali Mmarekani angewekeza na kwenye kiwanda cha kubangua kwanza. Sasa viwanda vilivyopo uwezo wa kubangua ni tani 60,000 wakati uzalishaji ni zaidi ya tani 300,000. Hapo unaweza kuona shida ilipo
Kununua anunue na kiwanda akujengee? Kwanini tusijenge wenyewe viwanda vidogo?
 
Back
Top Bottom