Kampuni ya Dar Lux ruti ya Mwanza-Dar muache ubabaishaji

Kampuni ya Dar Lux ruti ya Mwanza-Dar muache ubabaishaji

Trayvess Daniel

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
705
Reaction score
1,369
Hii kampuni imekua na tabia ya kuondoka jijini Mwanza kuanzia saa tatu asubuhi karibia safari zote. Imekua ni tabia sugu mno.
Hili sio jambo la kiungwana.
Ni usumbufu kwa abiria na uharibifu wa ratiba za abiria.
kama kuna namna mamlaka ya usafiri inaweza kukomesha hili wanajamvi naomba muongozo ntalisimamia hili mpaka wanyooke.
 
Wajinga sana watu wa ma bus.kuna kampuni nimeisahau.
Nilipanda bus tokea dodoma nikiwa na mtu fulani tuna bag size ya kati moja na kubwa moja pamoja na gunia nusu la mchele sasa badala wa charge lile gunia hela ya mzigo wakataka na zile bag tulipie ikabidi tu nilipie
 
IMG_20181120_205833_803.jpg
 
Sa hivi wameleta ujambazi eti wameuza gari za zamani wakanunua mpya hivyo nauli imepanda kutoka 45,000/= mpaka 50,000/=
 
Sikujua kama ni kasumba, kuna siku tumeanza safari saa 4 asubuhi pale Nyegezi.... Japo walituma taarifa usiku kuwa tutachelewa kuondoka kisa gari ililala njiani. Wamulikwe kuanzia kupandisha nauli yao, hawana uspesho wowote..... Wi-Fi hainaga hata bando mkwara tu.
 
Back
Top Bottom