Kampuni ya Dar Lux ruti ya Mwanza-Dar muache ubabaishaji

Kampuni ya Dar Lux ruti ya Mwanza-Dar muache ubabaishaji

ukitaka kutoboa panda kibo/kisbo/JM
ukitaka uzuri wa bus ndani panda dar lux ila kutoboa ni ndoto
 
Nahisi dereva wa darlux aliusoma huu uzi mana jana darlux ile G7 imekuwa ya kwanza kuingia nyegezi ikifatiwa na Kibo safaris[emoji1787][emoji1787]
 
Wajinga sana watu wa ma bus.kuna kampuni nimeisahau.
Nilipanda bus tokea dodoma nikiwa na mtu fulani tuna bag size ya kati moja na kubwa moja pamoja na gunia nusu la mchele sasa badala wa charge lile gunia hela ya mzigo wakataka na zile bag tulipie ikabidi tu nilipie
Bag la zaidi ya kilo 25 wanaruhusiwa kuchaji mkuu.
 
Hii kampuni imekua na tabia ya kuondoka jijini Mwanza kuanzia saa tatu asubuhi karibia safari zote. Imekua ni tabia sugu mno.
Hili sio jambo la kiungwana.
Ni usumbufu kwa abiria na uharibifu wa ratiba za abiria.
kama kuna namna mamlaka ya usafiri inaweza kukomesha hili wanajamvi naomba muongozo ntalisimamia hili mpaka wanyooke.
usipande hilo basi.. lisusieni likose abiria..! Atabadili route mwenyewe
 
usipande hilo basi.. lisusieni likose abiria..! Atabadili route mwenyewe
Kila leo kuna abiria wapya na ni ngumu kujua kama lina shida mpaka uwe na safari za mara kwa mara. Kusafiri nalo once a year likachelewa kuondoka huoni kama ni hasara unapotezea. Na kinachowapa kiburi bus za Mwanza zote ndani ni mbaya mno
 
Humjui Sawaya(kilimanjaro)
Na huwajui watu wa Kaskazin wewe.
Dar express ana midude mibovu na bado watu wanapanda
Watu wameacha kukariri saivi ndo maana sawaya na mremi wameleta vitu vipya wanajua wasipokuwa makini wanapotea saivi kaskazini kuna gari Kali sana na huduma nzuri dar express alibaki nairobi tu ndo anasumbua. Dar lux atawanyoosha
 
Pole mkuu, Darlux wanabus nzuri sana juzi tu waliingiza Scania G7, Yutong 12+ na higer new model licha ya kuwa na bus mpya ila kwenye time keeping hawa jamaa ni zero kabisa.
Next time panda Kisbo/Kibo (a.k.a kirikiri generation) au Jm ya musoma hizi chuma zinajua kuthamini muda wa abilia, wenyewe wanakwambia hawataki kuharibu ndoa za watu kwa kuwalaza njiani[emoji1787]
Kwa vts hizi hawana jeuri hyo[emoji57] [emoji57]
Wananunua tochi tu,na kwenye 50 wanafunika kwa 80 na kwenye 80 wanaenda na 85
 
Hii kampuni imekua na tabia ya kuondoka jijini Mwanza kuanzia saa tatu asubuhi karibia safari zote. Imekua ni tabia sugu mno.
Hili sio jambo la kiungwana.
Ni usumbufu kwa abiria na uharibifu wa ratiba za abiria.
kama kuna namna mamlaka ya usafiri inaweza kukomesha hili wanajamvi naomba muongozo ntalisimamia hili mpaka wanyooke.
Kwani kwenye tiketi wameandika muda wa kuondoka ni saa ngapi
 
Hahahaaa licha ya ubovu wa kisbo ndani ila kila siku linatoboa na kwa pale ubungo huwa linapark nyuma kabisa ila ndo la kwanza kuingizana nyegezi.
IMG_20181121_144559_494.jpg

IMG_20181121_144642_380.jpg
 
USIOMBE KUSAFIRI SAFARI ZA MASAFA MAREFU NA BINTI MDADA MREMBO UTAJUTA KWA KUKOSA KUONGEA NAEE





Nakumbuka mwezi wa nane mwaka huu nilienda mwanza nyumbani kutokea DAR kwa basi la DAD LUX pale shekirango tuliondoka saa 7 mchana kwenda mwanza , sasa ndani ya basi alikuwamo binti mmoja mzuri mithili ya miss Tanzanian a probably atakuwa UNIVERSITY STUDENT hapa,, sasa lets go huku[emoji116]🏾[emoji116]🏾[emoji116]🏾[emoji116]🏾[emoji116]🏾[emoji116]🏾[emoji117]🏾[emoji117]🏾[emoji117]🏾[emoji117]🏾[emoji117]🏾[emoji117]🏾 sasa ndani ya basi mie nilikaa siti za katikati upande wa kulia yeye akakaa upande wa kushoto mwa gari kama siti mbili kutoka kwangu , sasa ki ukweli nilitokea kutamani kuongea nae huyo mdada probably hata aniambie jina lake tuuuu sasa kulinhana na hile shobo ya macho ya watuuu MKAKA WA WATU SIMU YANGU IKAISHIWA CHAJI NIKAMWOMBA ANICHAJIE SASA DAH KI UKWELI SIKU ILEEEE NILITAMANI SANA HATA KUONGEA NAE JAPO NIJUE JINA LAKE TUU maana safari nzima nilikaa siti moja na mzee mmoja hivi ila yye alishukia shinyanga dah basi NIKAAMBULIA TUU YEYE KUNICHAJIA SIMU YANGU



Tulipofika mwanza pale ofisi za dar lux nyegezi lilikuwa saa 5 mchana , basi tukashuka sasa sijui binti alinielewa ,, au sijui ninii aseeeeeeeeeee mie harakatii zangu hata sikuwa na idea kuwa nmeshaelewek sijui nisemeje tuuuuuu dah DAH KWA KWELI NI SAFARI AMBAYO ILIENFA VIBAYA SANA KWANGU JAPO ALINISAIDIA KUCHAJI SIMU,,. .



HEY ww ka bintii ka rembo tulio safiri pamoja kutoka dar kwenda mwanza na basi la dar lux na wote tukashukia nyegezi dar lux offices PLEASEEEEE KAMA HUMO HUMU JAMII FORUMS *******NIKUMBUKE MIMI YULE MKAKA PROBABLY THE SAME AGE ,, ,, , NILIEKUOMBA UNISAIDIE KUCHAJI SIMU YANGU NDANI YA BASI , , JAPOOO NAOMBA TUFAHAMIANE TUU KAMA UPO HAPA DSM MAANA TOU LOOK A UNIVERSITY GIRL,,,,, PLEASEEEEEEE NJ IN BOX AU UNAWEZA NI. TAG HAPAA
Ban
USIOMBE KUSAFIRI SAFARI ZA MASAFA MAREFU NA BINTI MDADA MREMBO UTAJUTA KWA KUKOSA KUONGEA NAEE





Nakumbuka mwezi wa nane mwaka huu nilienda mwanza nyumbani kutokea DAR kwa basi la DAD LUX pale shekirango tuliondoka saa 7 mchana kwenda mwanza , sasa ndani ya basi alikuwamo binti mmoja mzuri mithili ya miss Tanzanian a probably atakuwa UNIVERSITY STUDENT hapa,, sasa lets go huku[emoji116]🏾[emoji116]🏾[emoji116]🏾[emoji116]🏾[emoji116]🏾[emoji116]🏾[emoji117]🏾[emoji117]🏾[emoji117]🏾[emoji117]🏾[emoji117]🏾[emoji117]🏾 sasa ndani ya basi mie nilikaa siti za katikati upande wa kulia yeye akakaa upande wa kushoto mwa gari kama siti mbili kutoka kwangu , sasa ki ukweli nilitokea kutamani kuongea nae huyo mdada probably hata aniambie jina lake tuuuu sasa kulinhana na hile shobo ya macho ya watuuu MKAKA WA WATU SIMU YANGU IKAISHIWA CHAJI NIKAMWOMBA ANICHAJIE SASA DAH KI UKWELI SIKU ILEEEE NILITAMANI SANA HATA KUONGEA NAE JAPO NIJUE JINA LAKE TUU maana safari nzima nilikaa siti moja na mzee mmoja hivi ila yye alishukia shinyanga dah basi NIKAAMBULIA TUU YEYE KUNICHAJIA SIMU YANGU



Tulipofika mwanza pale ofisi za dar lux nyegezi lilikuwa saa 5 mchana , basi tukashuka sasa sijui binti alinielewa ,, au sijui ninii aseeeeeeeeeee mie harakatii zangu hata sikuwa na idea kuwa nmeshaelewek sijui nisemeje tuuuuuu dah DAH KWA KWELI NI SAFARI AMBAYO ILIENFA VIBAYA SANA KWANGU JAPO ALINISAIDIA KUCHAJI SIMU,,. .



HEY ww ka bintii ka rembo tulio safiri pamoja kutoka dar kwenda mwanza na basi la dar lux na wote tukashukia nyegezi dar lux offices PLEASEEEEE KAMA HUMO HUMU JAMII FORUMS *******NIKUMBUKE MIMI YULE MKAKA PROBABLY THE SAME AGE ,, ,, , NILIEKUOMBA UNISAIDIE KUCHAJI SIMU YANGU NDANI YA BASI , , JAPOOO NAOMBA TUFAHAMIANE TUU KAMA UPO HAPA DSM MAANA TOU LOOK A UNIVERSITY GIRL,,,,, PLEASEEEEEEE NJ IN BOX AU UNAWEZA NI. TAG HAPAA
Bangi mbaya sana!!
 
Back
Top Bottom