Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 7,005
- 9,263
Hamna lolote. Darlux wamekuwa jeuri sana. Wamelewa sifa.
Nimekuwa nikitumia sana usafiri wa Darlux, lkn sasa inabidi niachane nao.
Wakati mmoja walinipita Usanda. Pamoja na taarifa za kuwepo pale dereva hakujali.
Nimeshuhudia zaidi ya mara tatu, basi linaloingia usiku halifanyiwi matengenezo. Hufagiwa na kuoshwa tayari kwa safari asbh yake. Hali kama hii ni hatari sana kwa abiria.
Usiwatetee, Darlux wamelewa sifa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli ni kuwa Dar Lux wamechoka sahivi, wanaujinga flani et asubuh unatumiwa text safari saa 4, walikuaga na jeuri sanaa kipindi hicho
Sasa hivi kuna Isamilo, Tungi ndio atleast