Kampuni ya Dar Lux ruti ya Mwanza-Dar muache ubabaishaji

Kampuni ya Dar Lux ruti ya Mwanza-Dar muache ubabaishaji

Shida ni kwamba gari haziruhusiwi kusafiri usiku baada ya saa sita, sasa unakuta inayoenda Dar ndio imelala Shinyanga, so lazima msubiri apo, ije nyegezi, ioshwe na service inapobidi.
kwahyo hiyo kampuni ina basi moja tu? yaan gari inatoka dar inafika mwanza halafu inageuza.
 
Nimepanda gari ya kahama dar.Niwasifu dar lux.gari iko comfortable,full kiyoyozi na bites za kutosha.Na ucheshi wa Mr Baraka nasi nili enjoy safar.
Hongereni sana Dar Lux.
Napendekeza kwa route ndefu kama dsm mwanza muwe na gari mbili mbili ili msi wa delay abiria kungojea iliyolala njian.
 
USIOMBE KUSAFIRI SAFARI ZA MASAFA MAREFU NA BINTI MDADA MREMBO UTAJUTA KWA KUKOSA KUONGEA NAEE





Nakumbuka mwezi wa nane mwaka huu nilienda mwanza nyumbani kutokea DAR kwa basi la DAD LUX pale shekirango tuliondoka saa 7 mchana kwenda mwanza , sasa ndani ya basi alikuwamo binti mmoja mzuri mithili ya miss Tanzanian a probably atakuwa UNIVERSITY STUDENT hapa,, sasa lets go huku👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👉🏾👉🏾👉🏾👉🏾👉🏾👉🏾 sasa ndani ya basi mie nilikaa siti za katikati upande wa kulia yeye akakaa upande wa kushoto mwa gari kama siti mbili kutoka kwangu , sasa ki ukweli nilitokea kutamani kuongea nae huyo mdada probably hata aniambie jina lake tuuuu sasa kulinhana na hile shobo ya macho ya watuuu MKAKA WA WATU SIMU YANGU IKAISHIWA CHAJI NIKAMWOMBA ANICHAJIE SASA DAH KI UKWELI SIKU ILEEEE NILITAMANI SANA HATA KUONGEA NAE JAPO NIJUE JINA LAKE TUU maana safari nzima nilikaa siti moja na mzee mmoja hivi ila yye alishukia shinyanga dah basi NIKAAMBULIA TUU YEYE KUNICHAJIA SIMU YANGU



Tulipofika mwanza pale ofisi za dar lux nyegezi lilikuwa saa 5 mchana , basi tukashuka sasa sijui binti alinielewa ,, au sijui ninii aseeeeeeeeeee mie harakatii zangu hata sikuwa na idea kuwa nmeshaelewek sijui nisemeje tuuuuuu dah DAH KWA KWELI NI SAFARI AMBAYO ILIENFA VIBAYA SANA KWANGU JAPO ALINISAIDIA KUCHAJI SIMU,,. .



HEY ww ka bintii ka rembo tulio safiri pamoja kutoka dar kwenda mwanza na basi la dar lux na wote tukashukia nyegezi dar lux offices PLEASEEEEE KAMA HUMO HUMU JAMII FORUMS *******NIKUMBUKE MIMI YULE MKAKA PROBABLY THE SAME AGE ,, ,, , NILIEKUOMBA UNISAIDIE KUCHAJI SIMU YANGU NDANI YA BASI , , JAPOOO NAOMBA TUFAHAMIANE TUU KAMA UPO HAPA DSM MAANA TOU LOOK A UNIVERSITY GIRL,,,,, PLEASEEEEEEE NJ IN BOX AU UNAWEZA NI. TAG HAPAA
wakati wa kushuka kwa nini hukumtongoza? umeshindwa kumtongoza ana kwa ana unataka kupitia jf acha uoga kijana.
 
Kila leo kuna abiria wapya na ni ngumu kujua kama lina shida mpaka uwe na safari za mara kwa mara. Kusafiri nalo once a year likachelewa kuondoka huoni kama ni hasara unapotezea. Na kinachowapa kiburi bus za Mwanza zote ndani ni mbaya mno
unachosema ni kweli nimekuwa mzoefu wa ruti za huko, magari luxuary ni mbeya dar au mtwara dar.
 
Hahaha hili gari niliwahiga panda 2013, kumbe bado lipo. Nilihc nipo kwenye tracker naelekea kimbiji shambani
Nyuma imeandikwa "The Pride of Mwanza" ...hiyo hakuna kuharibika njiani na ikiharibika ina technical staffs wa kutosha
 
Basi kuna gari zina roho ya paka.
Chuma ya fundi hiyo ...kuna kampuni zinatakiwa kupewa tuzo kwa kutoa huduma katika mazingira yote ya jua na mvua maana Super Najmunisa amekuwepo tangu lami inaanzia Shinyanga mpaka imekamilika yupo na imeshaanza kuchakaa (safari za Mwanza ni wachache hudumu aisee na ndio maana kila mwaka kuna kampuni inaibuka na kushika njia alafu baadae inageuka kuwa kimeo tena)
 
Chuma ya fundi hiyo ...kuna kampuni zinatakiwa kupewa tuzo kwa kutoa huduma katika mazingira yote ya jua na mvua maana Super Najmunisa amekuwepo tangu lami inaanzia Shinyanga mpaka imekamilika yupo na imeshaanza kuchakaa (safari za Mwanza ni wachache hudumu aisee na ndio maana kila mwaka kuna kampuni inaibuka na kushika njia alafu baadae inageuka kuwa kimeo tena)
Ni kweli mkuu hili gari nimekuwepo mda sana. pongezi kwao
 
USIOMBE KUSAFIRI SAFARI ZA MASAFA MAREFU NA BINTI MDADA MREMBO UTAJUTA KWA KUKOSA KUONGEA NAEE





Nakumbuka mwezi wa nane mwaka huu nilienda mwanza nyumbani kutokea DAR kwa basi la DAD LUX pale shekirango tuliondoka saa 7 mchana kwenda mwanza , sasa ndani ya basi alikuwamo binti mmoja mzuri mithili ya miss Tanzanian a probably atakuwa UNIVERSITY STUDENT hapa,, sasa lets go huku[emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1485][emoji1485][emoji1485][emoji1485][emoji1485][emoji1485] sasa ndani ya basi mie nilikaa siti za katikati upande wa kulia yeye akakaa upande wa kushoto mwa gari kama siti mbili kutoka kwangu , sasa ki ukweli nilitokea kutamani kuongea nae huyo mdada probably hata aniambie jina lake tuuuu sasa kulinhana na hile shobo ya macho ya watuuu MKAKA WA WATU SIMU YANGU IKAISHIWA CHAJI NIKAMWOMBA ANICHAJIE SASA DAH KI UKWELI SIKU ILEEEE NILITAMANI SANA HATA KUONGEA NAE JAPO NIJUE JINA LAKE TUU maana safari nzima nilikaa siti moja na mzee mmoja hivi ila yye alishukia shinyanga dah basi NIKAAMBULIA TUU YEYE KUNICHAJIA SIMU YANGU



Tulipofika mwanza pale ofisi za dar lux nyegezi lilikuwa saa 5 mchana , basi tukashuka sasa sijui binti alinielewa ,, au sijui ninii aseeeeeeeeeee mie harakatii zangu hata sikuwa na idea kuwa nmeshaelewek sijui nisemeje tuuuuuu dah DAH KWA KWELI NI SAFARI AMBAYO ILIENFA VIBAYA SANA KWANGU JAPO ALINISAIDIA KUCHAJI SIMU,,. .



HEY ww ka bintii ka rembo tulio safiri pamoja kutoka dar kwenda mwanza na basi la dar lux na wote tukashukia nyegezi dar lux offices PLEASEEEEE KAMA HUMO HUMU JAMII FORUMS *******NIKUMBUKE MIMI YULE MKAKA PROBABLY THE SAME AGE ,, ,, , NILIEKUOMBA UNISAIDIE KUCHAJI SIMU YANGU NDANI YA BASI , , JAPOOO NAOMBA TUFAHAMIANE TUU KAMA UPO HAPA DSM MAANA TOU LOOK A UNIVERSITY GIRL,,,,, PLEASEEEEEEE NJ IN BOX AU UNAWEZA NI. TAG HAPAA
Sijawahi kuona domo zege anaefanikiwa kupata demu ipatikanapo nafasi. Hivi madomo zege huwa mnataka demu ndo aanze kuwaongelesha na kuwatongoza sio?
 
Wapo watu wachache wanaotuchafua Daima sisi Dar lux tutajitaidi kutoa huduma bora kwa wananchi
Tunafuatilia hoja zenu tutazifanyia kazi
Poleni sana wateja wetu tunawapenda sana
Msichoke kutushauri kama wateja wetu
Mtaona mabadiliko makubwa
Nyie Dar Lux nashangaa kuona watu wengi wanasema mnachelewaga kutoka sasa mbona kuna siku nilitaka nisafiri na kampuni yenu nikafika Mbezi Mwisho saa 12 kamili nikaona kimya baada ya dk kama 10 hv nikapiga eti naambiwa mmeshapitaaa na kibaya zaidi rti hamkurudisha nauli yangu.

Niliwamaindi nyiee ngoja nitawaendea kwa SUNATRA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kampuni imekua na tabia ya kuondoka jijini Mwanza kuanzia saa tatu asubuhi karibia safari zote. Imekua ni tabia sugu mno.
Hili sio jambo la kiungwana.
Ni usumbufu kwa abiria na uharibifu wa ratiba za abiria.
kama kuna namna mamlaka ya usafiri inaweza kukomesha hili wanajamvi naomba muongozo ntalisimamia hili mpaka wanyooke.
Peleka malalamiko Sumatra
 
Wivu tu. Dar lux ni kampuni bora sana, sioni wa kulinganisha naye kwa 'ruti' ya Dar - Mwanza.
Hamna lolote. Darlux wamekuwa jeuri sana. Wamelewa sifa.
Nimekuwa nikitumia sana usafiri wa Darlux, lkn sasa inabidi niachane nao.

Wakati mmoja walinipita Usanda. Pamoja na taarifa za kuwepo pale dereva hakujali.

Nimeshuhudia zaidi ya mara tatu, basi linaloingia usiku halifanyiwi matengenezo. Hufagiwa na kuoshwa tayari kwa safari asbh yake. Hali kama hii ni hatari sana kwa abiria.

Usiwatetee, Darlux wamelewa sifa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndiyo maana nailipenda kidia one, hakuna kulemba lemba njiani yaani mwendo mchibuyu mwanzo mwisho, hakuna kulala shinyanga wala morogoro goma lazima lilale nyegezi au ubungo
 
Back
Top Bottom