macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 29,232
- 60,334
Biashara ta usafiri wa abiria ni biashara moja ambayo bado wamiliki wako karne iliyopita. Bado wako zile zama za kudhani abiria ndiyo anatakiwa kunyenyekea mwenye gari. Hawajali lolote kuhusu abiria. Halafu wafanyakazi wengi wa mabasi bado kabisa hawajui ni nini maana ya mteja. Hata yale mabasi yanajifanya yana exclusive service bado utakuta huduma zina upungufu mwingi. Wakiingia wamiliki wenye huduma standard kama nchi zilizoendelea watapata soko zuri sana.Ukipanda Dar Lux lazima ulale njiani kwa safari ya Mwanza Dar..