babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,221
- 3,167
- Thread starter
- #21
Sikatahi kwamba BEVs are the future! Lakini market capitalisation ya Tesla ni ridiculous! And I can bet soon it will join Apple and Amazon to the trillion territory!!!Tesla's future is promising .
Tuneelekea dunia ya matumjzj ya gari za umeme nobody will give a damn about Gas cars
Hio Toyota yako inaweza baki jina
Miaka 10 Hadi 15 ijayo utaelewa nachuambia
Kila Zama na kitabu
Sioni justification ya Tesla kuwa na thamani mara 14 ya kampuni ya Mercedes zaidi ya battery.
Hata ukianza ku compare models za makampuni mengine zinazo tumia Battery utaona wana fanya vizuri. Na hii imechangia Tesla kushuka mauzo 2020 baadhi ya sehemu za Europe. Tatizo haya makampuni makubwa walichelewa ku invest kwenye electric. Na ndio kosa linaloendelea kufanywa na Ferrari.
Mfano compare hizi SUV za makampuni mengine na Tesla:
Mercedes EQC:
Jaguar I-PACE:
Full battery ni 298 mile range, price ni approx £58,000
Tesla model X:
Full battery ni 251 -351 mile range, price inaanzia £74,000