Chadema mutawadanganya kilimanjaro tu miaka nenda miaka rudi lakini ccm hawana ubaguzi shule, hospitali, tutawajengea na kuzidi kuwaletea maji matamu zaidi.
kura kwa kikwete na ccm!!!!!!
crap
Chadema mutawadanganya kilimanjaro tu miaka nenda miaka rudi lakini ccm hawana ubaguzi shule, hospitali, tutawajengea na kuzidi kuwaletea maji matamu zaidi.
kura kwa kikwete na ccm!!!!!!
kwa mtindo huu kikwete si ajiondoe mwenyewe tuu....
Asiposhinda slaa kwa umati huu pataachimbika, ngoja tuone
[size=+0]hata mwaka 2005 ilikuwa hihivi wakati mbowe anagombea urais na matokeo yake------------tunachukuwa,,,,tunaweka,,,,waaaaa,,,,,,halafu tarehe 1 november tunajuwa chadema wataanza kushangilia ushindi hewa kuanzia asubuhi maana nec itakuwa bado haijatangaza rasmi nani ameshinda na ndipo mutakapo shangaa hapo tarehe 2 au 3 au 4 au 5 ccm kutangazwa mshindi na chadema ndipo mutakapo jiju!![/size]
jamani musikasirike hiyo ndiyo demokrasia kuna kushinda na kushindwa lazima mukubali kushindwa kwani kama ni mahundurio ya watu ndio ushindi munataka kunambia mwaka 1995 wakati lyatonga mrema anagombea urais na ibrahim lipumba 2000 na 2005 na sasa dr.slaa nani alipata mahudhurio makubwa?
Salma mwenzao/ndugu yao kila siku yuko kwenye mashuka ya watu mikoani.
hivi huyu kadogoo kalogwa??? Kweli na kadogo ka kufikiri... Kwanza umekula leo wewe?? Wenzio wanashabikia thithiemu halafu wanalipwa sa we unajikomba tu na kuwafagilia wanakufanya ngazi ya kupadia mav8 yao while unaendelea kulala na njaa. Watu wa moshi big up sana... Nilisikia watu wakishangilia katika kila bar leo wakati tbc1 kwa shingo upande walipoonyesha nyomi iliyokuwepo leo moshi ktk taarifa ya habari saa mbili...
Aisee mbona mgombea na wananchi wanashika vichwa kwenye hiyo picha ya kwanza hiyo ni ishara ya nini lol!
Nadhani hapo anaashiria ya kuwa wananchi wamepigika sana kimaisha kutokana na sera mbovu za CCM, ndio maana wanajishika vichwa. Mimi napenda wapiga kura wa Kilimanjaro.... Hebu angalia hayo mabango hapo chini
[size=+0]hizo pombe walizokuwa wakinywa ktk mabaa ya mjini moshi ni malipo ya kushiriki huo mkutano! Ndesamburo alimwaga pesa kibao ktk kila baa na kuwaelekeza wenye mabaa wawanyweshe mashabiki wao baada ya huo mkutano! Baa za soweto, shunti town, majengo, pasua, mji mpya, kiboriloni, karanga, kawawa road, na za mjini ni miongoni mwa baa zilizopewa fedha za chadema!! [/size]
[size=+0][/size]
sijui hawa takukuru wanafanya nini!! Yaani huu ni ufisadi na rushwa ya waziwazi!!