Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Wakuu nitajaribu kama net yangu itakuwa sawa. Nimepita pale uwanja wa Mashujaa na kukuta umati wa kweli. Nyomi ya kufa mtu. Kwa bahati mbaya niko on call hivyo sikuweza kukaa sana. Kaa mkao wa kupata picha hizo
View attachment 14142View attachment 14143