omarilyas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2007
- 2,130
- 145
Tunajua Mama Batilda anauzoefu wa kuwazuia wabunge wasijadili hoja ya RICHMOND.Ukiniuliza sababu za Omarlyas kumtetea Mama Batilda nashindwa kuelewa na pengine hii ni sababu tosha ufisadi unaendelea kutamalaki Tanzania.
Mtu yuko tayari kumtetea fisadi kwasababu ni ndugu yake,rafiki yake,jirani yake,kabila lake,dini yake,shangazi yake au mjomba.baba au chama chake.Omarlyas anaangukia katika kundi moja wapo niliyoyataja.Sina haja ya kubishana / ligi ya kipuuzi.
Na hili neno UFISADI nalo mnaelekea kulimaza makali yake na lisiwe na impact yoyote kwa mtanzania. Iweje utekelezai wa majukumu kama CHIEF WHIP likiwemo lile la kuhakikisha nidhamu miongoni mwa wabunge wa chama chake na pia lile la uwaziri ikiwemo kukubaliana na maamuzi ya pamoja ambayo Rais wake ameyatolea kauli ikawa UFISADI??? This shows kwamba hamna la kusema dhidi ya huyu mama ispokuwa kujaribu kutumia cheap propaganda na ubaguzi wa kijinsia kufanikisha maslahi yenu......Na inaonyesha ni jinsi gani mlivyo shallow katika masuala ya majukumu na maadili ya uongozi...