Tunaanza na huyu anayeruhusu udukuzi ufanywe na wahuni! Udukuzi unafanyika lakini sio kihuni huni namna hii! Watu huwa wanadukua kwa serious national security issues lakini sio kwa issue za kipumbavu kama za mwenyekiti wa chama kuhisi eti anafanyiwa kampeni ili asigombee tena 2020!Ukiwa na halotel au airtel ndio hutadukuliwa? Tuache masihala kwenye mambo ya hatari
Vp maxence Melo angewaza Kama ww huko mahakamani anako sota kila siku????Ona huu ujinga yani umeshabebwa na mazwazwa ya kisiasa tayari?
Wewe una siri gani Mpaka voda wahangaike kuliweka hadharani?
Pumbavu kabisa! Basi usitumie simu kabisa, maana kama una baya lolote utapatikana tu.
Mm siwezi kuhangaika eti nisuse mtandao kisa huo ujinga wenu wa siasa. Hivi kwa akili yako unafikiri kuna mtu anahangaika na kufuatilia kutongazana kwako kila siku na kina mwajuma.?
Huo udukuzi wa Komu na Kubenea ulifanyika kupitia mtandao gani wa simu?!MNGEANZA NA UDUKUZI WA KUBENEA NA KOMU ULIOWAFANYA WAVULIWE MADARAKA,HAPO MNGEKUWA NA HAKI YA KUPIGA KELELE LAKINI KWA KUWA MNA UGONJWA WA KUSAHAU ENDELEENI KUJAZA SERVER ZA MAXENCE
Masihala=masiharaUkiwa na halotel au airtel ndio hutadukuliwa? Tuache masihala kwenye mambo ya hatari
Kwa nini uteseka kila mtu si yupo huru kutumia Mtandao aupendao? Au hata huko mnataka kuleta UDKTETA WENU UCHWARA?Kuna mobb inaendelea ambayo inahimiza kutotumia line ama service za vodacom.
Anayehimiza hivi ni either hana uelewe Wa namna mitandao ya simu inavyofanya kazi au anafanya makusudi.
Cha kwanza
Kama ni kweli Kua vodacom wanavujisha taarifa za wateja Kwa serikali au mtu mwingine yeyote Basi mitandao yote inavujisha.
Huwez kuhama mtandao mmoja kwenda mwingine na ukawa salama.
Njia pekee ya kuwa salama ni kutotumia cm au kuhama nchi.
Kwa Akili zenu nyingi nyie akina Lema na wengine , mnadhan kuhamia Tigo au ttcl ndio kukwepa serikal kukujua upo wapi ? Bulls*t.
Tumien Akili kidogo ,ndio maana mipango yenu inafail Kila mara, serikal watakuwa wanacheka sana ,namna mnavoshupaa kuwahimiza wananchi wahamie Tigo utadhan Tigo iko chini ya zra ya Zambia na sio trca ya Tanzania.
Wanahimiza watu Waende ttcl na Tigo utadhan haya makampuni yako Marekan na sio Tanzania East Africa.
Let me make this clear , hamia ttcl , Zantel ,blablah tel etc ,kama kweli watataka kukusikiliza Wala hatachukua hata sekunde 100.
La msingi mlitakiwa kuhoji kisheria,kua kama kweli vodacom hizi tuhuma ni za kweli ! Serikal kupitia tcra mbona haiiadhibu vodacom ?
Na kama tuhuma hizi sio za kweli Kwa vodacom mbona serikal pia ipo kimya ?
Am optimistic Kwa jambo Moja ,tunaweza kuwasakama vodacom na kumuacha mbaya wetu .
Si vodacom huyu huyu kiongoz wao mkuu alikamatwa Kwa ihujumu uchum?
Kama wako vizur na serikali hayo yangetokea ?
Huenda vodacom ni mhanga mkubwa Wa serikali hii.
Mchawi ni tcra ,atuambie je ni kweli wan rekod mazungumzo ya watu ?
Je ni kweli watu hao ni threat Kwa usalama Wa taifa Leo au ni threat kwa masilah ya siasa tu ?
Think think think, don't just jump kwenye mtumbwi wenye nyoka na kujirusha kwenye mto wenye mamba wenye njaa.
Mbona unahaha? Sisi tunahamia tigo ili tuwafundishe voda namna ya kutunza privacy za wateja. Wakitufuata huko tunahamia kwingine. So usipende kututisha, tuna uhuru wa kuhamia mtandao wowote
"-----watu wachache kuhimizana kuacha voda"? Unajua ni wangapi?Same shit happening to Voda ingekua na hasara kuibishia serikali kuliko kuitii kisha watu wachache kuhimizana kuiacha Voda.
Acha ujinga wewe! Nakuuliza wakudukue wewe una kipi? Wamedukuliwa wenye nafasi zao, na bado watadukuliwa hata wakihamia sijui mtandao gani, hizo ishu zipo dunia nzima, muulize hata Lisu.
Sasa wewe ambae kila siku maongezi yako ni kuulizia mihogo yako shamba I inaendeleaje nawe eti unasusia lain Kuigopa kudukuliwa?
Hivi vi kampeni uchwara vyenu Vunavyoishaga bila matokeo chanya huwa vinawaaibisha sana!
Hizi kampeni Mngekuwa mnaanzisha kudai tume huru ya uchaguzi Mngeinekana mna akili sana.
Narudia tena, wateja wa voda wanamtegemea voda kwa huduma zake siyo kwa sababu watu flani wa natumia voda.
voda wapuuzi sana
Kuna mobb inaendelea ambayo inahimiza kutotumia line ama service za vodacom.
Anayehimiza hivi ni either hana uelewe Wa namna mitandao ya simu inavyofanya kazi au anafanya makusudi.
Cha kwanza
Kama ni kweli Kua vodacom wanavujisha taarifa za wateja Kwa serikali au mtu mwingine yeyote Basi mitandao yote inavujisha.
Huwez kuhama mtandao mmoja kwenda mwingine na ukawa salama.
Njia pekee ya kuwa salama ni kutotumia cm au kuhama nchi.
Kwa Akili zenu nyingi nyie akina Lema na wengine , mnadhan kuhamia Tigo au ttcl ndio kukwepa serikal kukujua upo wapi ? Bulls*t.
Tumien Akili kidogo ,ndio maana mipango yenu inafail Kila mara, serikal watakuwa wanacheka sana ,namna mnavoshupaa kuwahimiza wananchi wahamie Tigo utadhan Tigo iko chini ya zra ya Zambia na sio trca ya Tanzania.
Wanahimiza watu Waende ttcl na Tigo utadhan haya makampuni yako Marekan na sio Tanzania East Africa.
Let me make this clear , hamia ttcl , Zantel ,blablah tel etc ,kama kweli watataka kukusikiliza Wala hatachukua hata sekunde 100.
La msingi mlitakiwa kuhoji kisheria,kua kama kweli vodacom hizi tuhuma ni za kweli ! Serikal kupitia tcra mbona haiiadhibu vodacom ?
Na kama tuhuma hizi sio za kweli Kwa vodacom mbona serikal pia ipo kimya ?
Am optimistic Kwa jambo Moja ,tunaweza kuwasakama vodacom na kumuacha mbaya wetu .
Si vodacom huyu huyu kiongoz wao mkuu alikamatwa Kwa ihujumu uchum?
Kama wako vizur na serikali hayo yangetokea ?
Huenda vodacom ni mhanga mkubwa Wa serikali hii.
Mchawi ni tcra ,atuambie je ni kweli wan rekod mazungumzo ya watu ?
Je ni kweli watu hao ni threat Kwa usalama Wa taifa Leo au ni threat kwa masilah ya siasa tu ?
Think think think, don't just jump kwenye mtumbwi wenye nyoka na kujirusha kwenye mto wenye mamba wenye njaa.
Bora umemjibu kistaarabu,me ningemjibu hovyo sn huyu bullshit.
Unapotoa malalamiko halafu hayafanyiwi kazi maana yake ni nini kama si mapuuza.Upuuzi ni upi?