Kampeni ya kuikataa Vodacom

Hivi mfano uvamiwe na majambazi halafu huwezi kupiga simu polisi na huduma yako ya mawasiliano yamesitishwa kwa mda huo,kuna haja gani ya kutumia huo mtandao?hivi wale kina Membe na nape wanatumia mtandao gani
 
Mnaikataa leo tena kwa hayo tu?
Voda mwenyewe ni yule yule ..Mak..na imetumiwa kwa mengi tu...sasa hivi kategewa mumo mumo..kapatikana..ndio kelele mingi....

Utakatishaji fedha na mengineyo mengi ...ilikuwa kimya!
Hongera voda...mmebatiza kwa moto mbatizaji kwa maji!

Mwanzo wa mwisho huooo....pole pole!
Washamba wana ndabo kweli!
Wameshaharibu kote... kwa muundaji na muundwaji!
 
chonde chonde, vunjeni laini zao, hamieni popote ili iwe funzo kwao, mimi sitaki kuwasikia kabisa hawa wapumbav
VODACOM ni sawa na SHETANI, DAMU YA AZORY, BEN SAA NANE, BOSI WA JUZI NA WALE WA VCIROBA WAO NDIO WALIKUWA WANAVUJISHA MAWASILIANO.
 
Muda wa kulalamika umepita,. Washtakiwe ndio wataingia adabu
 
ungekuwa wewe Vodacom ukapewa amri kutoka huko zinakotoka ungekataa??

hebu acheni unafiki wakumnunia mnamjua voda mnamtwisha lawama bure tu.

haya mtoke voda muende wapi ttcl, Airtel, tigo, zantel Kati ya hao Kuna mwenye ubavu wakukataa maagizo kutoka huko yanapotaka
 
Kwa hiyo na wewe kwa akili yako unaona voda inaweza kufa sababu wateja watahama kwakuwa hawatunzi faragha zao?
. Zipi hasa?
1. Nimeongea kwa principle zaidi.

2. Vida inaweza kufa kwa sababu hiyo kama Watanzania wanajitambua.

3. Watanzania wengi hawajitambui, kwa hiyo Vida isipokufa sitashangaa.

4. Ni kawaida ya mtu asiyeelimika kujiona hana faragha.

5. Kila mtu ana faragha zake. Ni sehemu ya utu. Ndiyo maana tunavaa nguo na hatutembei uchi wa mnyama kama hayawani.
 
USIVUNJE LINE YA VODA BILA KUKOPA TUWATIE HASARA KWANZA MBwWA HAWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…