youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
Mwana ukawa yeyote kuanzia leo Tarehe 25/09/2015_25/10/2015 unaombwa kumnadi mgombea wetu Edward Lowassa ili aweze kushinda Uchaguzi Mkuu Mwezi Ujao.
Ni muhimu kuwaelezea kiundani zaidi hasa watu wa vijijini kwani wamedanganywa na mgombea wa ccm kuwa wakiichagua Chadema nchi itakuwa kama Libya, Hivyo kwa uelewa mdogo wa watu wa vijijini wameingiwa na uoga na kurudisha majeshi nyuma [fear of unknown] kwa juhudi zako tunaomba kura 5 kutoka kijijini kwako, tunaamini kama kwa sasa tupo milion 4.1 na kila mtu akaongeza watu watano inamaana tutafika million 20.5 ambayo ni sawa na asilimia 89 ya watu wote million 23 waliojiandikisha kupata vitambulisho.
Nawasilisha.
Ni muhimu kuwaelezea kiundani zaidi hasa watu wa vijijini kwani wamedanganywa na mgombea wa ccm kuwa wakiichagua Chadema nchi itakuwa kama Libya, Hivyo kwa uelewa mdogo wa watu wa vijijini wameingiwa na uoga na kurudisha majeshi nyuma [fear of unknown] kwa juhudi zako tunaomba kura 5 kutoka kijijini kwako, tunaamini kama kwa sasa tupo milion 4.1 na kila mtu akaongeza watu watano inamaana tutafika million 20.5 ambayo ni sawa na asilimia 89 ya watu wote million 23 waliojiandikisha kupata vitambulisho.
Nawasilisha.