Jamani wakuu salaam,
kun hiki chuo kinaitwa kampala int university kipo gongo la mboto,kinatoa mafunzo kuanzia ngazi ya certificate hadi masters. Mnakionaje? Nilifanikiwa kucheki timetale ya masters program, wana lecturer mmoja tu ambaye n doctor,waliosalia ni mr au ms. Hamna prof hata mmoja.
Sasa nauliza hivi mmnadhani watatoa quality education kweli? Au ndo bora cheti?
kun hiki chuo kinaitwa kampala int university kipo gongo la mboto,kinatoa mafunzo kuanzia ngazi ya certificate hadi masters. Mnakionaje? Nilifanikiwa kucheki timetale ya masters program, wana lecturer mmoja tu ambaye n doctor,waliosalia ni mr au ms. Hamna prof hata mmoja.
Sasa nauliza hivi mmnadhani watatoa quality education kweli? Au ndo bora cheti?