Kampala international university

Dah,nimechoka. Nitatafuta prospectus yao niitundike muione.
Sasa kama vyuo vyote ni bomu na nafasi ni finyu udsm,ni bora kusoma kiu au kuacha tu kabisa.
 
nimewapata wadau,unajua somtimz wabongo hmpendi vitu vizuri bcoz vna ugumu wake,nawaomba na kuwasisitiza sana hembu jaribuni kuwapeleka vijana wenu DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY zamani DAR ES SALAAM TECHNICAL COLLEGE,NINA UHAKIKA WATOTO WENU HAWATATOKA BURE
MD ICTRONICS.
 
Tatizo la wabongo vyuo wanavyovipeni vile lecturer akiingia class,anaanza kusema mmejaa sana sijawahi kufundisha darasa kama hili,suplimentary kibao,ndio tunaamini chuo kizuri
 
Vyuo e.g mzumbe nimesoma hovyo,kuna mtu anasoma MBA hajui what is accounts,mtumishi wa wizara ya aridhi anatumia pesa,sibora kiu
 
Tanzania tuna vyuo vifuatavyo: udsm, sua ,muhimbili na kwa mbali saana saut vingine ni bora liende
 
Jamani anayejua ukweli kuhusu KIU atusaidie, tusijekujuta kujaza apo.me nataka kujaza BAED apo coz ada imeshushwa mpaka 1,440,000/=.
 
Mtoa mada je una ushahidi na unachokisema? au ni kama yale ya magazeti ya udaku wanaandika habari wanakuambia chanzo cha habari ni jirani na mpita njia?

Tukiacha suala la ada kubwa KIU ni mkombozi wa elimu ya juu Tanzania.Nitakutolea mfano,Kijana kasoma shule ya serikali ambayo ina mwalimu 1 tu wa biologia,kajitahidi kamalia f6 PCB ana EDD,kijana amefaulu anataka kuomba B Pharm,Muhimbili wanachukua wanafunzi 60,akienda CUHAS(Catholic university)wanachukua wanafunzi 15,lakini akija KIU chuo kina uwezo wa kuchukua wanafunzi 550 kwa mwaka kozi ya BPharm.

Kwa hiyo ukiangalia kwa jicho makini KIU haichukui vilaza ila wana uwezo wa kuchukua wanafunzi wengi ambapo hata Muhimbili wangeweza kuchukua BPharm wanafunzi 800 basi cutpoint ingekuwa 4.5 kama ya KIU je tungewaita Muhimbili vilaza?

Suala la KIU hakijasajiliwa na TCU sithani kama ni kweli mana nina mdogo wangu yuko pale anaingia mwaka wa pili BPharm na anamkopo.

Jaribuni kuingia website ya TCU download undergraduate admissions guidebook for higher education institute in Tz,nenda page no 70 utawakuta KIU utakuta kozi nyingine wanachukua wanafunzi 600 tena za ualimu ukiwa na EEE utaachwa kweli.
 
Back
Top Bottom