Breki sina
Member
- Jun 3, 2013
- 96
- 31
Akizungumza VoA muda mfupi anadai hajawaagiza chadema kupeleka ushahidi wao kwa Rais bali ni ushauri tu huku akijikanyanga kuwa kabla ya siku moja aliongea na mh Lema na kumwambia kuwa anaushahidi kuwa polisi hawakuhusika anamshangaa tena kubadilisha hiyo kauli yake,huku akidia mh mbowe alimweleza kuwa anafahamu kuwa polisi hawahusiki huyu si mwingine bali ndiyo huyu baada ya kifo cha Mwangosi kule Nyororo alisimama kwenye vyombo vya habari akikanusha kuwa mwandishi marehemu Mwangosi hajauwawa na polisi bali kuna kitu kizito kilitokea upande ule wa pili akimaanisha cdm nani anaweza kumuamini Chagonja kwa sasa,mfano wa pili kuonyesha kuwa Chagonja haaminiki ni kuhusu lile tukio la majeneza mjini Tarime kutelekezwa barabarani huko Nyamongo mie nilikuwepo Chagonja kwa sehemu kubwa alihusika kwenye mpango ule kwa kutorosha majeneza ya marehemu usiku wa manane,na maiti hizo zikatelekezwa njiani ambapo polisi walihusika na mauaji yale ni nani anaweza kumuamini Chagonja na timu huyo iliyoundwa na IGP,kuwa itatenda haki.