Kwa ulimwengu wa digital, huwezi ukadanganya kwa mbinu za enzi ya ujima,
Jamaa wamejifunza propaganda kwa enzi za zamani ambapo kufukia ukweli ni kutikisa tu ulimi,
Ushahidi wa Mwangosi kilichowaumbua ni ile video, na hawakuwa na pakutokea,
Hili la Arusha nalo ni hivyo hivyo maana kazi kubwa wanayofanya ni kujua video iko wapi kisha waharibu ushahidi.
Sasa ukimpa raisi video ili iweje, inamaana yeye hajui au ni kutafuta tu kujua jamii inajua kiasi gani hicho anachojua.
Kati ya vitu ambavyo huwezi kuviamini hata siku moja ni
1. police
2. ccm
3. wanaohusiana kwa ukaribu na hivi vyombo viwili.
Hili lizee na tumbo lake linaniuzi sana
Hapo kwenye Red - naomba nikusaidie kusema kwa uwazi - JK na Pinda
hivi chagonja anajisikiaje anaposimama kwenye public ambayo inafahamu udhaifu wake kuhusiana na kauli zake kuhusu kifo cha mwangosi pamoja na scandal ya mkewe? Kweli kuna watu hawana aibu.
Sent from my blackberry 9860 using jamiiforums
Kwa maneno aliyoyatamka Pinda, na kwa historia aliyojiwekea ya kulidanganya bunge, siwezi kupinga hapo
Jeshi la polisi limekosa haki ya kulinda raia na mali zake, wananchi tumekosa imani kabisa na polisi kama wanafanya kazi kwa weledi
hadi sasa najiuliza kwanini polisi walipiga mabomu na risasi majumbani kwa raia, kwenye maeneo ya biaashara na hata kwenye vituo vya mabasi. Polisi wanasajau wanaidhi mitaani na raia,
Nasema mingekuea nimempangishia polisi au jamaa wa polisi nyumba juzi ninge ngoa molango yote na kumupndoa na familia yake usiku huo wa jizi, polosi hawana hutuma na rsia. Hivi tukimuuliza Chagonja kisa cha kututesa Wana wa Arusha ni nini atakuwa na jibu au ataendeleza kiburi na propaganda kama alivyo zowea? Lakoni niseme CHEO NI DHAMANA NI POLISI ELEWENI HATAKUWA NA HIZO NAFASI MILELE.
Halafu huyo Nape mimi sijui kama ni binadamu wa kawaida walah .
Inashangaza kuona kuwa Chagonja hajui kama wananchi hatuna imani na jeshi la polisi. Hii haijatokea kwa bahatimbaya ila ni kutokana na mtiririko wa matukio yaliyodhihirisha kuwa polisi wanafanya kazi bila weledi, hawana uhuru wa kufanya maamuzi ila wanafuata mashinikizo ya chama goigoi. Polisi wamekuwa wakatili wepesi wa kubambikizia kesi wananchi wasio na hatia huku wakiwaangalia mafisadi wa uchumi wetu na wezi wa rasilimali kama mashuja kwao.
Pamoja na matukio makubwa ya kiusalama yaliyowahikutokea mengi yakiwahusisha polisi moja kwa moja hakuna la maana walilowahi kulifanya katika mateso, mauaji na dhuruma.
Haishangazi kuwa Mwigulu bado anadunda mtaani na ndani ya vikao vya bunge.
Chagonja, angalia maandishi ukutani!
Akizungumza VoA muda mfupi anadai hajawaagiza chadema kupeleka ushahidi wao kwa Rais bali ni ushauri tu huku akijikanyanga kuwa kabla ya siku moja aliongea na mh Lema na kumwambia kuwa anaushahidi kuwa polisi hawakuhusika anamshangaa tena kubadilisha hiyo kauli yake,huku akidia mh mbowe alimweleza kuwa anafahamu kuwa polisi hawahusiki huyu si mwingine bali ndiyo huyu baada ya kifo cha Mwangosi kule Nyororo alisimama kwenye vyombo vya habari akikanusha kuwa mwandishi marehemu Mwangosi hajauwawa na polisi bali kuna kitu kizito kilitokea upande ule wa pili akimaanisha cdm nani anaweza kumuamini Chagonja kwa sasa,mfano wa pili kuonyesha kuwa Chagonja haaminiki ni kuhusu lile tukio la majeneza mjini Tarime kutelekezwa barabarani huko Nyamongo mie nilikuwepo Chagonja kwa sehemu kubwa alihusika kwenye mpango ule kwa kutorosha majeneza ya marehemu usiku wa manane,na maiti hizo zikatelekezwa njiani ambapo polisi walihusika na mauaji yale ni nani anaweza kumuamini Chagonja na timu huyo iliyoundwa na IGP,kuwa itatenda haki.
wadau tujiulize,
hibi huyu chagonja alikuja arusha kumtaguta lema na mbowe au alikuja kuchunguza chanzo cha mlipuko soweto?
Haya ni matumizi mabaya ya kodi zs wstanzania huyu jama hastahili kuwa askari, nina mashaka sana na elimu yake, hata akiwa anaongea unaona kabisa yuko wazi huko kichwani
Hata hivyo Serikali imejifunza kuhusiana na hizi timu za uchunguzi. Walimpa kazi mzee wa polanium kuhusu Rich.. na akatenda kweli nusura serikali ing'ooke. Unadhani leo watatuma mtu ambaye yuko serious tena ili watikisike?
Alifanya nini hadi kupata hizo nyota? ni nyota au ni vishikizo? maana sioni umahili wake katika kazi yake. Mtoto wangu wa miaka mitano anaweza kufanya kazi nzuri kuliko huyu jamaa.
Ukitaka kujua watumishi wa umma waliozeeka vibaya ni mojawapo huyu Paul Chagonja.
Mmh Asante mkuu sasa nimeelewa manake nilikua Napata shida sana kumfahamu mtu huyu.Nikusaidie kidogo kuhusu Nape....ni mbwa koko asiye na haya, aliyefilisika, asiye na hoja,ambaye yuko tayari kumlamba yeyote miguu mradi awe anampa ahadi za kijinga za kumpandisha cheo. Ni kijana mwenye mawazo ya kizee, mpuuzi saaaana..... He is full of shit!........kwa mbaaaali that is Nape!
Wana JF mimi naomba kuuliza hivi huyu muheshimiwa Kagonja alichokuja kufanya Arusha haswa haswa ni kitu gani?kwasababu tangu juzi namsikia akisema Mbowe na Lema wajisalimishe polisi pamoja na kuleta ushahidi wanaodai wanao,nadhani alichotakiwa kufanya ni kutafuta ushahidi wake kwa kutumia makachero alionao kupata the truth behind the curtains,lakini sio jinsi anavyofany yeye,i think kama ndo aina ya viongozi tulionao ndo huu,i doubt their credibility seriously
Ungemuulizia Chagonja ningekujibu, ila kagonja hata simjui!