Mbalamwezi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2007
- 800
- 171
Wana JF, naomba tushirikiane kujibu swali hili, hasa tukizingatia hali ilivyokuwa kabla ya taasisi hii na hali ilivyo baada ya uwepo wake, tukizingatia ukweli na hali halisi. Tutumie mifano hai bila ushabiki wa kisiasa au wa namna yoyote, na ni vema pia kama tutatumia takwimu. Badala ya kupotezeana muda kutoa kauli za kubeza, tutumie muda huo kuonyesha ukweli na kukosoa kwa ushahidi.
Mods naomba mu edit hapo kwenye topic isomeke "Kama" na si "Kame"
Mods naomba mu edit hapo kwenye topic isomeke "Kama" na si "Kame"