Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,877
- 5,694
Napoteza muda wangu bure kushindana na mwehu kama wewe.
Mkuu huna hoja we na chama chako karibu kiroba
Napoteza muda wangu bure kushindana na mwehu kama wewe.
Lema huyu huyu au kuna mwingine? Mkuu hii nchi siyo ya majaribio.
Nimekuambia wapo wengi ambao Lowasa hata akisikia jina la Dr Slaa anatetemeka mwili mzima
Mkuu huna hoja we na chama chako karibu kiroba
Wanywe viroba,wahuni,majambazi kama wewe wamejaa ccm
Slaa hana mvuto tena, hawezi kuhimili mikiki mikiki mbona hata yeye anajua
Uraisi uliambiwa ni kama mashindano ya umiss wanaangalia mvuto Lowasa ndo ana mvuto?
THE NEXT PRESIDENT .....LOWASA ..Nyie kaen JF mamilion ya waTZ wanamuhitaj
Lowassa ni kiongozi shupavu na mifano yake mmeiona shule za kata, sasa hao wako hata majimbo yanawashinda itakuwa nchi.
Lowassa mwisho wa woote
Lowasa hizo shule alijenga na pesa zake za mfukoni?
Ukiona mtu anamtetea Lowassa ujue ni mmasai au ni njaa tu inamsumbua
Rais wetu ni lowasa tu wengne tupa kuleeeeeeeeee....ccm wakmtosa watajua watanzania na tutampa urais ata kuptia chama kimojawapao cha ukawa au mgombea bnafs....ata akgombea kuptia TADEA au TLP sisi shda yetu ni lowassa si ccm
MBNA mama yako anampigia debe Ina maana na mama yako Ni mmasai au njaa ndo inamuongoza
Siku zote hazikuwepo na pesa zilikuwepo mbona hawakutoa hiyo idea??
tunawogopa kwa sababu ni fisadi kama walivyo mafisadi wenzake ndani ya ccmKumbe ukawa ujanja wote kiboko yao ni Lowassa?
Lowasa ni mchafu ataendelea kuwa mchafu daima hata mngemwosha na magadi hawawezi kung'aa .kutoa idea ndo umeona alifanya la maana watoto wake wamesoma kwenye hizo shule za kata?
Hayo maigizo yameishaSasa hao viongozi wa chama chako walichofanya cha maana ni nini miaka 33 tangu chama kimeanzishwa bado wamepanga mtaa wa ufipa chimbo la mateja hata majimbo yamewashinda.
Mateja wapo ccm ndo maana mwenyekiti wenu wa ccm alimsadie Rays matibabu bure akawaache mateja wengine kama wewe na wote wanaomtetea mbunge wa monduli.Sasa hao viongozi wa chama chako walichofanya cha maana ni nini miaka 33 tangu chama kimeanzishwa bado wamepanga mtaa wa ufipa chimbo la mateja hata majimbo yamewashinda.